Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Ni Kama bajaji ifanye racing na land cruiser 😊☺️Bedford vs Fortunner new model
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni Kama bajaji ifanye racing na land cruiser 😊☺️Bedford vs Fortunner new model
Inaitajika DD mbili ili kuielewa 🏃🏃🏃🏃Mapokezi ya Heche Vs Wassira mkoani Mara, huku yanafanyika muda mmoja, eneo moja
Je mimi ndio sijaelewa peke yangu?
Sijawahi sikia huyo mzee akishauri jambo lolote kwa jamii.😁😁😁 Wasira atoe ushauri gani? Kama wanaitaji ushauri yupo jaji warioba na butiku wawafuate hao
Tyson bure kabisa😁😁Sojawahi sikia huyo mzee akishauri jambo lolote kwa jamii.
Akiwa Waziri wa Kilimo kukitokea ukame maeneo mengi ya nchi akajibu "kwani mimi ni waziri wa mvua"?
Jane! Good for all? Are you serious?Jane Ayaandae!
Acha hizo wee jamaa,huyo ni mtu wa Mara,sio kigomaKwa nini mapokezi ya Wassira yasifanyikie Kigoma?
Mzee wetu kipenzi belongs there!
TATIZO kuhudumu kwenye siasa muda mrefu apumzike mtu mwaka sabini alishakuwa mbunge mpaka Leo hana jipya gani Ina maana hakuna wengineUnajua tafauti ya Wasira na Trump ni mwaka mmoja tu.
Kitu pekee nakumbuka juu ya huyu mzee ni utabiri wake wa kifo cha CHADEMA kabla ya uchaguzi wa 2015Sijawahi sikia huyo mzee akishauri jambo lolote kwa jamii.
Akiwa Waziri wa Kilimo kulitokea ukame maeneo mengi ya nchi akajibu "kwani mimi ni waziri wa mvua"?
Nikamwona mzee wa hovyo alipolilia ubunge dhidi ya Ester Bulaya
Gombe & Mahale!!???Kwa nini mapokezi ya Wassira yasifanyikie Kigoma?
Mzee wetu kipenzi belongs there!
Wazee kama Wasira hawastahili kubebeshwa majukumu ya kudumu. Watumike kutoa ushauri wa hapa na pale tu!
TATIZO kuhudumu kwenye siasa muda mrefu apumzike mtu mwaka sabini alishakuwa mbunge mpaka Leo hana jipya gani Ina maana hakuna wengine
inakuwaje wasira awe masikini wa akili na Mali ?Unajua tafauti ya Wasira na Trump ni mwaka mmoja tu.
Wasira ana umasikini gani?!inakuwaje wasira awe masikini wa akili na Mali ?
Hujaelewa, fika hapo Gombe game reserve Kigoma utaelewa anamaanisha nini😀Acha hizo wee jamaa,huyo ni mtu wa Mara,sio kigoma
umekubaliana NAMI akili HanaWasia ana umasikini gani?!
Kuna mtu kakaa serikalini kwa awamu nne ,tangu Nyerere hadi Kikwete Bado akawa masikini?!
Wazee kama Wasira hawastahili kubebeshwa majukumu ya kudumu. Watumike kutoa ushauri wa hapa na pale tu!
CCM ni tatizo kubwa kwa ustawi wa watz.Pamoja na mkoa wa mara kutoa viongozi mashuhuri ila kimaendeleo upo duni.viongozi wengi waliozaliwa mkoa wa mara hamna la maana walichoisaidia jamii zao.
Wanachojua ni kuneemesha matumbo na familia zao.