Angekuwa hana akili asingefanya kazi na Mzee Nyerere na Mzee Mwinyi.
Huyo ni jembe la nguvu ndio maana kila rais anayeingia ikulu anamteua Wasira kwa kazi mbalimbali.
Haiwezekani Marais watano wote wamteue mtu ambaye hana akili.
Angekuwa hana akili asingefanya kazi na Mzee Nyerere na Mzee Mwinyi.
Huyo ni jembe la nguvu ndio maana kila rais anayeingia ikulu anamteua Wasira kwa kazi mbalimbali.
Haiwezekani Marais watano wote wamteue mtu ambaye hana akili.