Mapokezi ya Kihistoria aliyoyapata Rais Samia katika ziara yake ni Uthibitisho wa Watanzania wanavyomkubali

Mapokezi ya Kihistoria aliyoyapata Rais Samia katika ziara yake ni Uthibitisho wa Watanzania wanavyomkubali

Chadomo lazima mtapinga [emoji16][emoji16]
Wewe mlamba viatu tu
FB_IMG_1608708500589.jpg
 
Ndugu zangu watanzania Rais Samia amepata mapokezi ya Kihistoria, mapokezi ya kishindo, mapokezi ya aina yake, mapokezi yaliyoacha Alama ,mapokezi yaliyotikisa Kanda ya ziwa mpaka mwisho wa reli, mapokezi yaliyo isimamisha Tanzania, Mapokezi yaliyosimamisha kila kitu ,Mapokezi yaliyo tetemesha, Mapokezi yaliyowafanya watu kutimua mbio kuwahi eneo Atakapokuwa Rais ili kumsikiliza

Mapokezi yaliyomfanya Rais Samia kujiwekea rekodi yake, kujiandikia Ukurasa wake wa Kihistoria ambao umeonyesha ukubwa wake, uzito wake, Nyota yake, mvuto wake, ushawishi wake, kukubalika Kwake na kupendwa kwake na watanzania na namna watanzania wanavyomhitaji Rais Samia Kuendelea kuwatumikia.

Hii inatokana na namna Rais Samia alivyofanya kazi kubwa na ya kutukuka yenye kugusa maisha ya watanzania ndani ya muda mfupi Sana tangia alipoapishwa kuwa Rais wetu,Rais Samia kagusa mioyo ya watanzania, kagusa kila kundi, kaweka mikono yake katika kila kundi, kaweka baraka zake kila eneo, kapelela pesa kila eneo ambako watanzania wapo, kila eneo limetazamwa na kupewa uzito wake, kila eneo limepewa mgao wa keki ya Taifa, mtanzania popote Alipo na anapojishughulisha amefikiwa na Mkono wa Rais Samia, amefikiwa na juhudi za Rais Samia kumuinua mtanzania kiuchumi

Rais Samia kawasha mwanga mahali kwenye Giza kwa kupeleka umeme.kaponya wagonjwa waliokuwa wanahangaika kupata matibabu kwa kuwajengea vituo vya Afya, kupeleka madakitari,vifaa Tiba na madawa kwa wakati. Rais Samia kaleta matumaini kwa wakulima kwa kuhakikisha mbolea zinashuka Bei na soko zuri linapatikana kwa mazao ya mkulima,

Hakuna mtoto anayekaa nyumbani bila kwenda shule kwa kuwa Hana Ada au kwa kuwa katoka familia ya kipato Cha chini maana Rais Samia kafuta Ada mpaka kidato Cha sita na kuongeza mikopo kwa Elimu ya juu, kawagusa wafanyabiashara kwa kuwawekea mazingira mazuri ya kibiashara, vijana nao vivvyo hivyo wamepewa kipaombele Cha kutosha Kama ambavyo Tumeona utoaji wa ajira serikalini Kama alivyotoa ajira zaidi ya elfu 40, japo hawezi kumaliza kuajiri vijana wote lakini juhudi zake zinaonekana katika kutoa nuru kwa vijana ikiwepo kuimarisha secta binafsi na kuvutia wawekezaji ili kusaidia kutengeneza ajira nyingi kwa vijana

Hii ndio sababu ya mafuriko ya wananchi waliojitokeza kumlaki na kumpokea Rais wetu mpendwa mama Samia, kwa kuwa watanzania Wana imani na matumaini makubwa Sana na Rais Samia kutokana na kuwa Rais wetu Ni kiongozi wa vitendo tu na kila neno litokalo katika kinywa chake linakuwa Ni la kweli na la kuaminika, anahakikisha linatekelezwa na kuleta furaha kwa watanzania,

Hakika Rais Samia Amejitoa na kujitolea kuwatumikia watanzania, ndio sababu unaona akifanya kazi usiku na mchana bila kupumzika, ndio sababu unamuona wakati wote yupo kutatua matatizo na kero za wananchi, wakati wote yupo kazini kuleta mwanga mahali palipo na Giza, kuleta matumaini palipo na kukata tamaaa, kuleta umoja mahali palipo na utengano, kutoa majibu kwenye maswali na kuleta maendeleo kwa watanzania,

Usikivu wa Rais Samia umewaridhisha watanzania na kufanya wamuamini Sana na kuwa na Imani na uongozi wake, maana kila Taasisi,kila mtu na kila kundi Lina nafasi sawa katika masikio ya Rais samia, watanzania wote tunasikilizwa katika masikio ya mama Samia, sauti zote Zina nafasi kwake, ndio sababu ya kuona namna makundi yote yakimuunga mkono kumkubali na kumpenda Rais Samia,maana Hakuna anayehisi kupuuzwa Bali kila mtu, kundi au Taasisi zinaona zikisikilizwa na kuheshimiwa maoni au mawazo yake yenye lengo la kujenga Taifa letu

Kazi iendeleee,mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti

Lucas Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu
Rais Samia Suluhu amefanya mambo makubwa sana kigoma kwaiyo kigoma wana kila sababu ya kumpokea kwa shangwe zote
 
Umeongea pointi sana kazi ya Rais Samia Suluhu inatufanya sisi wazalendo kuziongelea lakini kwa wale waliozoea kupinga kila kitu wanaisi kila kitu ni kulipwa kwaiyo na wao wanalipwa kupinga
Itakuwa wanalipwa kuja hapa kutukana matusi na kupinga kila kitu kizuri kinachofanywa na mh Rais wetu mpendwa mama Samia, ndio maana wanahisi nasi wazalendo tunalipwa Kama wao
 
Umeongea ukweli kabisa, upinzani matumbo joto kwa Sasa wakiona namna mh Rais anavyoleta nuru kwa watanzania Kama alivyofanya huko kigoma
Rais Samia Suluhu amefanya mambo makubwa sana kigoma kwaiyo kigoma wana kila sababu ya kumpokea kwa shangwe zote
 
Ndugu zangu watanzania Rais Samia amepata mapokezi ya Kihistoria, mapokezi ya kishindo, mapokezi ya aina yake, mapokezi yaliyoacha Alama ,mapokezi yaliyotikisa Kanda ya ziwa mpaka mwisho wa reli, mapokezi yaliyo isimamisha Tanzania, Mapokezi yaliyosimamisha kila kitu ,Mapokezi yaliyo tetemesha, Mapokezi yaliyowafanya watu kutimua mbio kuwahi eneo Atakapokuwa Rais ili kumsikiliza

Mapokezi yaliyomfanya Rais Samia kujiwekea rekodi yake, kujiandikia Ukurasa wake wa Kihistoria ambao umeonyesha ukubwa wake, uzito wake, Nyota yake, mvuto wake, ushawishi wake, kukubalika Kwake na kupendwa kwake na watanzania na namna watanzania wanavyomhitaji Rais Samia Kuendelea kuwatumikia.

Hii inatokana na namna Rais Samia alivyofanya kazi kubwa na ya kutukuka yenye kugusa maisha ya watanzania ndani ya muda mfupi Sana tangia alipoapishwa kuwa Rais wetu,Rais Samia kagusa mioyo ya watanzania, kagusa kila kundi, kaweka mikono yake katika kila kundi, kaweka baraka zake kila eneo, kapelela pesa kila eneo ambako watanzania wapo, kila eneo limetazamwa na kupewa uzito wake, kila eneo limepewa mgao wa keki ya Taifa, mtanzania popote Alipo na anapojishughulisha amefikiwa na Mkono wa Rais Samia, amefikiwa na juhudi za Rais Samia kumuinua mtanzania kiuchumi

Rais Samia kawasha mwanga mahali kwenye Giza kwa kupeleka umeme.kaponya wagonjwa waliokuwa wanahangaika kupata matibabu kwa kuwajengea vituo vya Afya, kupeleka madakitari,vifaa Tiba na madawa kwa wakati. Rais Samia kaleta matumaini kwa wakulima kwa kuhakikisha mbolea zinashuka Bei na soko zuri linapatikana kwa mazao ya mkulima,

Hakuna mtoto anayekaa nyumbani bila kwenda shule kwa kuwa Hana Ada au kwa kuwa katoka familia ya kipato Cha chini maana Rais Samia kafuta Ada mpaka kidato Cha sita na kuongeza mikopo kwa Elimu ya juu, kawagusa wafanyabiashara kwa kuwawekea mazingira mazuri ya kibiashara, vijana nao vivvyo hivyo wamepewa kipaombele Cha kutosha Kama ambavyo Tumeona utoaji wa ajira serikalini Kama alivyotoa ajira zaidi ya elfu 40, japo hawezi kumaliza kuajiri vijana wote lakini juhudi zake zinaonekana katika kutoa nuru kwa vijana ikiwepo kuimarisha secta binafsi na kuvutia wawekezaji ili kusaidia kutengeneza ajira nyingi kwa vijana

Hii ndio sababu ya mafuriko ya wananchi waliojitokeza kumlaki na kumpokea Rais wetu mpendwa mama Samia, kwa kuwa watanzania Wana imani na matumaini makubwa Sana na Rais Samia kutokana na kuwa Rais wetu Ni kiongozi wa vitendo tu na kila neno litokalo katika kinywa chake linakuwa Ni la kweli na la kuaminika, anahakikisha linatekelezwa na kuleta furaha kwa watanzania,

Hakika Rais Samia Amejitoa na kujitolea kuwatumikia watanzania, ndio sababu unaona akifanya kazi usiku na mchana bila kupumzika, ndio sababu unamuona wakati wote yupo kutatua matatizo na kero za wananchi, wakati wote yupo kazini kuleta mwanga mahali palipo na Giza, kuleta matumaini palipo na kukata tamaaa, kuleta umoja mahali palipo na utengano, kutoa majibu kwenye maswali na kuleta maendeleo kwa watanzania,

Usikivu wa Rais Samia umewaridhisha watanzania na kufanya wamuamini Sana na kuwa na Imani na uongozi wake, maana kila Taasisi,kila mtu na kila kundi Lina nafasi sawa katika masikio ya Rais samia, watanzania wote tunasikilizwa katika masikio ya mama Samia, sauti zote Zina nafasi kwake, ndio sababu ya kuona namna makundi yote yakimuunga mkono kumkubali na kumpenda Rais Samia,maana Hakuna anayehisi kupuuzwa Bali kila mtu, kundi au Taasisi zinaona zikisikilizwa na kuheshimiwa maoni au mawazo yake yenye lengo la kujenga Taifa letu

Kazi iendeleee,mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti

Lucas Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu
Hivi wewe hao mafisadi wanakulipa kwa siku, kwa wiki au kwa mwezi?
 
Silipwi chochote Bali Nasukumwa na uzalendo wangu kwa Taifa langu hasa baada ya kuridhishwa na utendaji kazi uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge inayofanywa na Rais Samia, Nimetambua na kuona namna Rais Samia alivyojitoa na kujitolea kuwatumikia watanzania, namna anavyo fanya kazi bila kupumzika ili kutuinua kiuchumi,

Rais Samia Ni zawadi kwetu watanzania, Tumuunge mkono badala ya kumkatisha tamaa, Tumtetee badala ya kumshambulia maana kila afanyacho Ni kwa Faida yetu watanzania
Hivi wewe hao mafisadi wanakulipa kwa siku, kwa wiki au kwa mwezi?
 
CCM hii ni ya wapigaji na uchawa tu
CCM hii chini ya uongozi shupavu wa mama Samia imedhamilia kuhakikisha kuwa hakuna mtanzania anayebaki nyuma Wala kubaki Alipo kiuchumi, lazima wote tuinuke kiuchumi na kusonga mbele
 
Back
Top Bottom