Endeleeni kuhamisha magoli...sisi tutayafunga yoteWewe umesoma kiswahili shule za elimu ya watu wazima, au? Sema aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, MAREHEMU Dr. John Pombe Joseph Magufuli! Kikwete naMzee Mwinyi ni Marais Wastaafu!
Hakuna Nchi yenye Marais wawili! Rais wa Tanzania kwa sasa ni Mh. Samia Suluhu Hassan. Umeelewa?
Rekebisha Title, Magufuli sio Rais
Huyu enzi hizo yeye ndege JOHN MUSSA ALLAN (sijui mwana kapotelea wapi) na imhotep... duh! HAMY-D upo? Umepga U-turn ya hatari!
ha ha ha ha ha ha ha huu ni msiba tumeweka siasa zetu kando tumeenda kumuaga mzee haliyakuwa wengine tuna mabifu na ccmSometimes learn to accept truth.
Kwaio.mnacheza singeli na marehemu sioDar tupo na Dodoma tupo ....tutawachezesha SINGELI Hadi muelewe
Mimi sikimbii Vita mura 😁
Mimi sikimbii Vita mura 😁
Mtaweweseka sana safari hii! Yaani marehemu mnamtembeza barabarani kama vile ni sanamu ya maonesho! Mnatenda dhambi kubwa sana nyinyi maccm. Muda alitakiwa awe kitambo tu ameshapumzishwa kwenye nyumba yake ya milele! Mnacho kifanya ni udhalilishaji tu kwa marehemu.Endeleeni kuhamisha magoli...sisi tutayafunga yote
Pia kumbuka kulisifu taifa teule upate kubarikiwaha ha ha ha ha ha ha huu ni msiba tumeweka siasa zetu kando tumeenda kumuaga mzee haliyakuwa wengine tuna mabifu na ccm
Mwenye kiwewe ni wewe!Mtaweweseka sana safari hii! Yaani marehemu mnamtembeza barabarani kama vile ni sanamu ya maonesho! Mnatenda dhambi kubwa sana nyinyi maccm. Muda alitakiwa awe kitambo tu ameshapumzishwa kwenye nyumba yake ya milele! Mnacho kifanya ni udhalilishaji tu kwa marehemu.
Yote hii ni kutaka tu kumpoteza Rais Mpya!! Mh. Samia baada tu ya mazishi, hana budi kuwatimua wanafiki wote kwenye serikali yake. Bila kufanya hivyo, nyinyi mataga mtamkwamisha sana.
Mm ccm siielewagi ila huyu mwamba ameonesha uthubutu amekazaaKwakweli haijawahi kutokea, leo Watz kuna watu tumewafundisha kitu, hata wakijifanya wagumu kuelewa ila wameelewa.
Naam, sasa hivi freshNjoo uulizie tena
Jana Pale Uwanja Wa Uhuru Mbona Mkewe Alikuwepo Uwanjani Na WatotoSijaona family yake nikiwa na maana watoto wake kuaga mwili wa marehemu? Hapa kuna kitu gani kimejificha?
Title ya Rais, kama ilivyo kwa General, Major, Captain na vyeo vingine vya kijeshi huwa haifutiki mtu akishakuwa nayo. Kwa hiyo Kikwete bado anaitwa Rais ila kwa vile hana madaraka ni lazima kuweka kwenye mabano kuwa ni mstaafu. Kwa hiyo Magufuli naye kuitwa Hayati Rais Magufuli bado ni sahihi kabisa.Rekebisha Title, Magufuli sio Rais
Wapinzani tuache kujishtukiaCCM mbona mnahangaika sana na Huyo Hayati Magufuli? Hivi hamjui ashakufa badala muanze kumbrand Mama Samia Suluhu mpo busy na Magufuli au mnafikiri 2025 atakuwepo?
Inabidi mzoee kuwa jamaa ashakufa na upinzani hauna shida naye na wala siyo ajenda ya upinzani kwasasa, akizungumziwa anaongelewa Kama historia tu.