Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 33,092
- 96,127
πππππππHapa Hayati Dr John Pombe Magufuli alihamasisha ujenzi wa Kanisa na Msikiti kama alivyowahi kufanya Chato.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
πππππππHapa Hayati Dr John Pombe Magufuli alihamasisha ujenzi wa Kanisa na Msikiti kama alivyowahi kufanya Chato.
ππππππππππMwili wa Hayati Dr John Pombe Magufuli umaingia viunga vya Kata ya Chamwino Ikulu.
Mtaongea hadi kilugha ila Fisadi hatokatiza tena mbele ya watanzania
hapo awali tulikuwa hatuoni hata miradi inayotakiwa kukaguliwa na CAGUnasemaje? Kila siku tunapishana na mafisadi walioko serikalini. Unajua maana ya KLEPTOCRACY wewe? Hakuna mpambanaji na ufisadi anayezima kwanza uwazi (transparency) kwenye miamala mikubwa ya kitaifa.
Watanzania watajuaje ufisadi unaoendelea kwenye miamala isiyofanyiwa ukaguzi na CAG wala kujadiliwa Bungeni? Hizo ni porojo kwa ajili ya wanyonge bila shaka. Wao wakiona daraja, ndege, barabara, nk. Wanagaragara kwa furaha na kutukuza mtu. Hawana uwezo wa kuelewa wajibu wa mtendaji wala βvalue for moneyβ.
hapo awali tulikuwa hatuoni hata miradi inayotakiwa kukaguliwa na CAG
Hata mimi mkuu nikawaza amefufuka watu wanashangaa ameingia Dodoma..πNimeshtuka....mwili gani tena.
Mwaka Una MengiHuu mwaka imekuwa mzito hauishi Tu!
Ni maitiHuu mwaka imekuwa mzito hauishi Tu!
Rudia kusoma kwa sautiMtaongea hadi kilugha ila Fisadi hatokatiza tena mbele ya watanzania