Labda wa kaya yakeNasikia alishinda urais dada?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda wa kaya yakeNasikia alishinda urais dada?
Hilo ndio tusi lao kuu wakishazidiwa !!Sasa amekufuata wewe wa Tz..... Ana change majuma lokole. Umefurahi?
Mlitaka na yeye mmpoteze kama mlivyowafanya wengine.Dereva yupo wapi , mbona amefichwa miaka nenda rudu au na yeye amemalizwa chini kwa chini!?? Kwa jinsi mlivyo na agenda za chini kwa chini za RED BRIGADE
hilo ni koti au jaketi?kuna utofauti mkubwa kati ya koti na jaketi.tuwe makini...utasikia Ccm wanahoji kwanini Lissu kavaa koti la jeans?
Kwani kuolewa ni lazima yeye akuambie? Kuolewa ni nyege zako tu. Hawa wote walioolewa mpaka sasa nani kawasisitiza?Na atasisitiza nyie midume muolewe mapema.
Unapoteza nguvu zako kulijibu zuzuJeshi la polisi lianzie eneo la tukio lilipopaswa kuwa lindoni na kuna ushahidi usiotia shaka wa CCTV cameras, simple and straight.
Servers huwa zinaweka kumbukumbu hata kama cameras zimeng'olewa, sasa kigugumizi kilitokea wapi kuweka hadharani footages za tukio zima?
Ungenyamaza tuu maana maandiko yako ni kichefuchefu. Risasi zilipigwa upande wa dereva? Hebu kamfulie nguo shemeji anatekutunzaSass kwanini risasi hazikumpata dereva ???? Hata kama cctv hazikuwepo on spot!?? Unajuaaa nyinyi mnafanya mazuzu.com , matahira.com yasiyojielewav,,,,,,, uki reply sema kwanini risasi zili miminwa upande wa dereva na zikafika kwa abiria hata hazikumchubua dereva ngoziii ...the. Dereva akafichwa kipindi kile wakati wa. Siro alisema dereva aletwe. CENTRAL either amechubuliwa na risasi huku anahema au kafa kwa risasi ....
What next is surprising......
Ikiwezekana nitoke mkoani kuja jijini kumpokea Mwamba huyo. Karibu Lissu mapambano dhidi ya udhalimu yanaendelea.Taarifa ikufikie kwamba Maandalizi ya Mapokezi kabambe ya Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu yamekamilika, ambako wanachama wa CHADEMA na wapiga kura wake waliomchagua kwa kishindo 2020 kabla ya Sarakasi za Dr. Mahera, wametakiwa kujipanga kuanzia uwanja wa ndege hadi Temeke.
Habari zaidi kutoka kwenye Kamati ya Mapokezi zinasema kwamba, baada ya kuwasili, Tundu Lissu ataenda moja kwa moja kwenye Mkutano wa Hadhara ulioandaliwa na chama chake Viwanja vya Bulyaga -Temeke, mkoani DSM, ambako anatarajiwa kuhutubia taifa.
Binafsi nimesikia gari la matangazo likipita mitaani kwetu huku Tandika Mwembeyanga likihamasisha Wananchi kumpokea Shujaa wao.
Usiondoke JF kwa taarifa zaidi.
View attachment 2493397
Hili nalo ni zuzu promax hatariiiiiUngenyamaza tuu maana maandiko yako ni kichefuchefu. Risasi zilipigwa upande wa dereva? Hebu kamfulie nguo shemeji anatekutunza
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Are u one of them?Dereva yupo wapi , mbona amefichwa miaka nenda rudu au na yeye amemalizwa chini kwa chini!?? Kwa jinsi mlivyo na agenda za chini kwa chini za RED BRIGADE
Endelea kubaki hapa hapa jfIkiwezekana uje utupe live updates
atakua kaanza vzr hivi, akianza kumsifia Bi Matozo naye tunatia kwenye kapu la takaLissu alikuwa Al Jazeera dakika chache zilizopita anadai kuruhusiwa kwa mikutano ya siasa ni pressure yao baada miaka 6 ya ukandamizaji wa Magufuli na Samia.
Kwa mujibu wa Lissu si kwamba Bi Tozo karuhusu tu alikuwa hana namna ya kuzuia nguvu ya umma kutaka mikutano ya hadhara.
Vita yake kuu akirudi ni katiba ya kidemokrasia.
Source: Tundu Lissu kupitia mahojiano yake na Al-Jazeera.
Vipi dereva yuko wapi !!! Kwann yeye risasi hazikumchubua hata. Kipande , chan ngozi
Na alitoka mzima mzima wakati risasi zote zili miminwa kwa upande wake zikamfikia abiria , dah hapa ni changa la macho ,,,paaaaaàh mazuzu.com hayoooooooooooooooooooooooo
Jeshi la polisi likikomalia hapa hakyanaani. Mate yaliyokuwa yanatupiwa kule chato hahhahaha yataokotwa tuuu....
Mungu Ibariki CHADEMA [emoji1545]Taarifa ikufikie kwamba Maandalizi ya Mapokezi kabambe ya Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu yamekamilika, ambako wanachama wa CHADEMA na wapiga kura wake waliomchagua kwa kishindo 2020 kabla ya Sarakasi za Dr. Mahera, wametakiwa kujipanga kuanzia uwanja wa ndege hadi Temeke.
Habari zaidi kutoka kwenye Kamati ya Mapokezi zinasema kwamba, baada ya kuwasili, Tundu Lissu ataenda moja kwa moja kwenye Mkutano wa Hadhara ulioandaliwa na chama chake Viwanja vya Bulyaga -Temeke, mkoani DSM, ambako anatarajiwa kuhutubia taifa.
Binafsi nimesikia gari la matangazo likipita mitaani kwetu huku Tandika Mwembeyanga likihamasisha Wananchi kumpokea Shujaa wao.
Usiondoke JF kwa taarifa zaidi.
View attachment 2493397