Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #21
Swali zuri ila halitajibiwaWe umewapa nini hadi wamekujuza dada?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Swali zuri ila halitajibiwaWe umewapa nini hadi wamekujuza dada?
Uandishi wako sometime if not all time huwa upo exaggerated sana jomba
Jeshi la polisi lianzie eneo la tukio lilipopaswa kuwa lindoni na kuna ushahidi usiotia shaka wa CCTV cameras, simple and straight.Vipi dereva yuko wapi !!! Kwann yeye risasi hazikumchubua hata. Kipande , chan ngozi
Na alitoka mzima mzima wakati risasi zote zili miminwa kwa upande wake zikamfikia abiria , dah hapa ni changa la macho ,,,paaaaaàh mazuzu.com hayoooooooooooooooooooooooo
Jeshi la polisi likikomalia hapa hakyanaani. Mate yaliyokuwa yanatupiwa kule chato hahhahaha yataokotwa tuuu....
Mkuu kwani unachangia uzi huu huu au umepotea njia , hicho cheo ulichokitaja mbona kwenye katiba ya Chadema hakimo ?Huyo ndo “propagandist “ wa chadema.
Jamaa ni muongo. Huwa wanashindana na “mmawia “ kwa uongo.
Sass kwanini risasi hazikumpata dereva ???? Hata kama cctv hazikuwepo on spot!?? Unajuaaa nyinyi mnafanya mazuzu.com , matahira.com yasiyojielewav,,,,,,, uki reply sema kwanini risasi zili miminwa upande wa dereva na zikafika kwa abiria hata hazikumchubua dereva ngoziii ...the. Dereva akafichwa kipindi kile wakati wa. Siro alisema dereva aletwe. CENTRAL either amechubuliwa na risasi huku anahema au kafa kwa risasi ....Jeshi la polisi lianzie eneo la tukio lilipopaswa kuwa lindoni na kuna ushahidi usiotia shaka wa CCTV cameras, simple and straight.
Servers huwa zinaweka kumbukumbu hata kama cameras zimeng'olewa, sasa kigugumizi kilitokea wapi kuweka hadharani footages za tukio zima?
Dereva yupo wapi , mbona amefichwa miaka nenda rudu au na yeye amemalizwa chini kwa chini!?? Kwa jinsi mlivyo na agenda za chini kwa chini za RED BRIGADEMkuu kwani unachangia uzi huu huu au umepotea njia , hicho cheo ulichokitaja mbona kwenye katiba ya Chadema hakimo ?
Alikusalitia ni nini?Ni Tanzania tu ambapo msaliti anafanyiwa mapokezi
Hahaha ila hakuna watu wako frustrated kama pro-CCM. Wanaishia kutukana TU hawana hoja..utasikia Ccm wanahoji kwanini Lissu kavaa koti la jeans?
Achana nae bado Yuko kwenye denial stageAlikusalitia ni nini?
Wewee unatakiwa utafutwe, mana ninyi ndiyo mnaoifanya serikali inapga risasi watu critics, Serikali itakutafuta na utapatikana tu. Utake usitake.!!Akileta mbbamba sahizi tutampiga risasi afutatu
Badilisheni kiwanja kwani Bulysga hapafai pamejaa maji ya mvua na ni padogo sana.Taarifa ikufikie kwamba Maandalizi ya Mapokezi kabambe ya Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu yamekamilika, ambako wanachama wa CHADEMA na wapiga kura wake waliomchagua kwa kishindo 2020 kabla ya Sarakasi za Dr. Mahera, wametakiwa kujipanga kuanzia uwanja wa ndege hadi Temeke.
Habari zaidi kutoka kwenye Kamati ya Mapokezi zinasema kwamba, baada ya kuwasili, Tundu Lissu ataenda moja kwa moja kwenye Mkutano wa Hadhara ulioandaliwa na chama chake Viwanja vya Bulyaga -Temeke, mkoani DSM, ambako anatarajiwa kuhutubia taifa.
Binafsi nimesikia gari la matangazo likipita mitaani kwetu huku Tandika Mwembeyanga likihamasisha Wananchi kumpokea Shujaa wao.
Zipo Taarifa kwamba Vyombo vya Habari vya Kimataifa, BBC, ALJAZEERA, CNN na CFI vitarusha moja kwa moja mapokezi ya Tundu Lissu.
Usiondoke JF kwa taarifa zaidi.
View attachment 2493397
Na atasisitiza nyie midume muolewe mapema.Hapo nadhani tutapata hotuba ya kweli ya kiupinzani. Tunaomba Lisu asituangushe.
Alisha lamba ukwaju siku nyingi huyu hana lolote zaidi ya kutoa mapovu tu. Sera nyeti kwake ni ushoga na haki ndoa za jinsia moja ndicho wafadhili wake wanaitaka. Media za Tanzania akifika tu airport ulizeni swali juu ya msimamo wake kuhusu midume kuolewa halafu muone atakavyong'ata LipsSawa Ccm Amani Wanaikosa Hapo
[emoji1787][emoji1787] wahi ukapime akili mwenyewe, ukichelewa utapelekwa na kamba.Yes , alipata zaidi ya kura mil 7.5 , jiwe alipata kura chini ya mil 4 , chache waligawana Rungwe na wenzake .
Waliojitokeza kupiga kura walikuwa mil 12 tu , Chukua hiyo !!
Duh !! Kumbee !!Yes , alipata zaidi ya kura mil 7.5 , jiwe alipata kura chini ya mil 4 , chache waligawana Rungwe na wenzake .
Waliojitokeza kupiga kura walikuwa mil 12 tu , Chukua hiyo !!
Sioni cha ajabu hapo. Kazi iendeleeTaarifa ikufikie kwamba Maandalizi ya Mapokezi kabambe ya Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu yamekamilika, ambako wanachama wa CHADEMA na wapiga kura wake waliomchagua kwa kishindo 2020 kabla ya Sarakasi za Dr. Mahera, wametakiwa kujipanga kuanzia uwanja wa ndege hadi Temeke.
Habari zaidi kutoka kwenye Kamati ya Mapokezi zinasema kwamba, baada ya kuwasili, Tundu Lissu ataenda moja kwa moja kwenye Mkutano wa Hadhara ulioandaliwa na chama chake Viwanja vya Bulyaga -Temeke, mkoani DSM, ambako anatarajiwa kuhutubia taifa.
Binafsi nimesikia gari la matangazo likipita mitaani kwetu huku Tandika Mwembeyanga likihamasisha Wananchi kumpokea Shujaa wao.
Zipo Taarifa kwamba Vyombo vya Habari vya Kimataifa, BBC, ALJAZEERA, CNN na CFI vitarusha moja kwa moja mapokezi ya Tundu Lissu.
Usiondoke JF kwa taarifa zaidi.
View attachment 2493397
Aa wapi. Kazi iendeleeSawa Ccm Amani Wanaikosa Hapo