Mapokezi ya Tundu Lissu yapamba moto, apangiwa kuhutubia taifa jukwaani siku hiyo hiyo Temeke

Mapokezi ya Tundu Lissu yapamba moto, apangiwa kuhutubia taifa jukwaani siku hiyo hiyo Temeke

Vipi dereva yuko wapi !!! Kwann yeye risasi hazikumchubua hata. Kipande , chan ngozi


Na alitoka mzima mzima wakati risasi zote zili miminwa kwa upande wake zikamfikia abiria , dah hapa ni changa la macho ,,,paaaaaàh mazuzu.com hayoooooooooooooooooooooooo




Jeshi la polisi likikomalia hapa hakyanaani. Mate yaliyokuwa yanatupiwa kule chato hahhahaha yataokotwa tuuu....
 
Lissu alikuwa Al Jazeera dakika chache zilizopita anadai kuruhusiwa kwa mikutano ya siasa ni pressure yao baada miaka 6 ya ukandamizaji wa Magufuli na Samia.

Kwa mujibu wa Lissu si kwamba Bi Tozo karuhusu tu alikuwa hana namna ya kuzuia nguvu ya umma kutaka mikutano ya hadhara.

Vita yake kuu akirudi ni katiba ya kidemokrasia.

Source: Tundu Lissu kupitia mahojiano yake na Al-Jazeera.
 
Vipi dereva yuko wapi !!! Kwann yeye risasi hazikumchubua hata. Kipande , chan ngozi


Na alitoka mzima mzima wakati risasi zote zili miminwa kwa upande wake zikamfikia abiria , dah hapa ni changa la macho ,,,paaaaaàh mazuzu.com hayoooooooooooooooooooooooo




Jeshi la polisi likikomalia hapa hakyanaani. Mate yaliyokuwa yanatupiwa kule chato hahhahaha yataokotwa tuuu....
Jeshi la polisi lianzie eneo la tukio lilipopaswa kuwa lindoni na kuna ushahidi usiotia shaka wa CCTV cameras, simple and straight.
Servers huwa zinaweka kumbukumbu hata kama cameras zimeng'olewa, sasa kigugumizi kilitokea wapi kuweka hadharani footages za tukio zima?
 
Huyo ndo “propagandist “ wa chadema.
Jamaa ni muongo. Huwa wanashindana na “mmawia “ kwa uongo.
Mkuu kwani unachangia uzi huu huu au umepotea njia , hicho cheo ulichokitaja mbona kwenye katiba ya Chadema hakimo ?
 
Jeshi la polisi lianzie eneo la tukio lilipopaswa kuwa lindoni na kuna ushahidi usiotia shaka wa CCTV cameras, simple and straight.
Servers huwa zinaweka kumbukumbu hata kama cameras zimeng'olewa, sasa kigugumizi kilitokea wapi kuweka hadharani footages za tukio zima?
Sass kwanini risasi hazikumpata dereva ???? Hata kama cctv hazikuwepo on spot!?? Unajuaaa nyinyi mnafanya mazuzu.com , matahira.com yasiyojielewav,,,,,,, uki reply sema kwanini risasi zili miminwa upande wa dereva na zikafika kwa abiria hata hazikumchubua dereva ngoziii ...the. Dereva akafichwa kipindi kile wakati wa. Siro alisema dereva aletwe. CENTRAL either amechubuliwa na risasi huku anahema au kafa kwa risasi ....


What next is surprising......
 
Mkuu kwani unachangia uzi huu huu au umepotea njia , hicho cheo ulichokitaja mbona kwenye katiba ya Chadema hakimo ?
Dereva yupo wapi , mbona amefichwa miaka nenda rudu au na yeye amemalizwa chini kwa chini!?? Kwa jinsi mlivyo na agenda za chini kwa chini za RED BRIGADE
 
Taarifa ikufikie kwamba Maandalizi ya Mapokezi kabambe ya Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu yamekamilika, ambako wanachama wa CHADEMA na wapiga kura wake waliomchagua kwa kishindo 2020 kabla ya Sarakasi za Dr. Mahera, wametakiwa kujipanga kuanzia uwanja wa ndege hadi Temeke.

Habari zaidi kutoka kwenye Kamati ya Mapokezi zinasema kwamba, baada ya kuwasili, Tundu Lissu ataenda moja kwa moja kwenye Mkutano wa Hadhara ulioandaliwa na chama chake Viwanja vya Bulyaga -Temeke, mkoani DSM, ambako anatarajiwa kuhutubia taifa.

Binafsi nimesikia gari la matangazo likipita mitaani kwetu huku Tandika Mwembeyanga likihamasisha Wananchi kumpokea Shujaa wao.

Zipo Taarifa kwamba Vyombo vya Habari vya Kimataifa, BBC, ALJAZEERA, CNN na CFI vitarusha moja kwa moja mapokezi ya Tundu Lissu.

Usiondoke JF kwa taarifa zaidi.

View attachment 2493397
Badilisheni kiwanja kwani Bulysga hapafai pamejaa maji ya mvua na ni padogo sana.
 
Sawa Ccm Amani Wanaikosa Hapo
Alisha lamba ukwaju siku nyingi huyu hana lolote zaidi ya kutoa mapovu tu. Sera nyeti kwake ni ushoga na haki ndoa za jinsia moja ndicho wafadhili wake wanaitaka. Media za Tanzania akifika tu airport ulizeni swali juu ya msimamo wake kuhusu midume kuolewa halafu muone atakavyong'ata Lips
 
Yes , alipata zaidi ya kura mil 7.5 , jiwe alipata kura chini ya mil 4 , chache waligawana Rungwe na wenzake .

Waliojitokeza kupiga kura walikuwa mil 12 tu , Chukua hiyo !!
[emoji1787][emoji1787] wahi ukapime akili mwenyewe, ukichelewa utapelekwa na kamba.
 
Taarifa ikufikie kwamba Maandalizi ya Mapokezi kabambe ya Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu yamekamilika, ambako wanachama wa CHADEMA na wapiga kura wake waliomchagua kwa kishindo 2020 kabla ya Sarakasi za Dr. Mahera, wametakiwa kujipanga kuanzia uwanja wa ndege hadi Temeke.

Habari zaidi kutoka kwenye Kamati ya Mapokezi zinasema kwamba, baada ya kuwasili, Tundu Lissu ataenda moja kwa moja kwenye Mkutano wa Hadhara ulioandaliwa na chama chake Viwanja vya Bulyaga -Temeke, mkoani DSM, ambako anatarajiwa kuhutubia taifa.

Binafsi nimesikia gari la matangazo likipita mitaani kwetu huku Tandika Mwembeyanga likihamasisha Wananchi kumpokea Shujaa wao.

Zipo Taarifa kwamba Vyombo vya Habari vya Kimataifa, BBC, ALJAZEERA, CNN na CFI vitarusha moja kwa moja mapokezi ya Tundu Lissu.

Usiondoke JF kwa taarifa zaidi.

View attachment 2493397
Sioni cha ajabu hapo. Kazi iendelee
 
Back
Top Bottom