Kamgomoli
JF-Expert Member
- May 3, 2018
- 1,896
- 4,058
Kwanza niwape pole wachezaji na Watanzania wote kwa ujumla kwa matokea ya kuumiza kidogo ambayo hatukuyatarajia japo mimi binafisi nilishaona tulichemsha mwanzo kabsa baada ya kuona timu ilitoitwa ikiwa na Striker mmoja. Baadhi walipingana na mtazamo wangu. km mnavyojua tena kuna tofauti kati ya shabiki na mpenzi wa mpira. Kuna mtu akishaona wachezaji anaowapenda wameitwa baaasi atakwambia timu imekamilika. Kwa mtazamo wangu Kamgomoli hizi ndio sababu za msingi zilizoighalimu timu yetu.
1.Timu ilikosa striker muuwaji( Terminator). Chilunda anahitaji kuendelea kujifunza. Ni striker mzuri lakn anakosa uzoefu na match Fitnes.
2. Wachezaji wetu bado hawezi kucheza OBJECTIVE FOOTBAL. Bado wachezaji wetu hawana uwezo wa kumsoma mpinzani wawapo uwanjani. Kubadili mbinu kulingana na vipindi vya dk 15 za mwanzo 30, au 15 za mwisho n.k . Huwezi cheza stail moja tu mwanzo mwisho kwa timu ngumu km Sudan. Kwenye Objective football mchezaji anatambua afanye nn katika eneo gani. Wachezaji wetu wanacheza vzr sn kuanzia nyuma mpaka eneo la katikati. Wanavyozidi kukaribia eneo la 18 mbinu ni km zinawaishia. Sehemu ya kutoa pasi atabutua jishutu na kinyume chake. Mtu anatakiwa aingie nayo zaidi ndani ya 18 au 6 anapiga cross au kutoa basi butu bila hata kuangalia wenzake wako wapi na wamejipanga vp mwishowe mpira unapotea kirahisi kabsa. Kwenye Objective footbal nafasi 2 moja goli. Sasa sisi nafasi 10 hadi 15 utakuta hakuna goli hata moja.
3. Timu ya taifa kwa sasa haina beki mzuri wa pembeni kulia ukimuondoa Shomari ambaye roho yake kwasasa haipo timu ya taifa kutokana na kutelekezwa na TFF baada ya kuumia na Simba wakabeba jukumu la kuhangaika nae hadi akapona. Huo ndio ukweli japo ni mchungu kuongea.
Bonifasi Maganga licha ya mapungufu yake mengi anatatizo kubwa la msingi km beki wa pembeni, kwanza hana speed,pili hawezi kupiga cross kabsa. Jana kapiga cross nje zaidi ya mipira 4 bila kubughudhiwa na mtu. Sielewi ni sifa ipi inayofanya Ndailagije aendelee kumuita timu ya taifa kwangu ni beki wa kawaida sn.
4.Kukosa umakini kwa Idi Nado. Idi ni mchezaji mzuri ila tatizo lake kubwa na ambalo sjui km kocha amewahi kumwambia ni kukosa utulivu. Papara nyingi mno!! Ni mchezaji mwenye juhudi sn akiwa uwanjani tatizo lake kubwa hana utulivu. Anapata chances nyingi sn lakni mipira mingi anapiga nje!
5. Km taifa lazma tutafte washambuliaji wenye maumbo ya kina Mwaikimba. Baada ya Afcon kupita yalisemwa mengi sn kuhusiana maumbo ya wachezaji wetu. Jana tuliwaona Wasudani jinsi walivyo warefu.Mipira mingi wa juu waliicheza wao. Scouting ya nguvu inatakiwa ili kuwapata wachezaji wa maumbo makubwa ili tuweze kupambana na adui wa kila aina la sivyo tutaishia kusema tumeupigwa mwingi huku tumepoteza mechi.
1.Timu ilikosa striker muuwaji( Terminator). Chilunda anahitaji kuendelea kujifunza. Ni striker mzuri lakn anakosa uzoefu na match Fitnes.
2. Wachezaji wetu bado hawezi kucheza OBJECTIVE FOOTBAL. Bado wachezaji wetu hawana uwezo wa kumsoma mpinzani wawapo uwanjani. Kubadili mbinu kulingana na vipindi vya dk 15 za mwanzo 30, au 15 za mwisho n.k . Huwezi cheza stail moja tu mwanzo mwisho kwa timu ngumu km Sudan. Kwenye Objective football mchezaji anatambua afanye nn katika eneo gani. Wachezaji wetu wanacheza vzr sn kuanzia nyuma mpaka eneo la katikati. Wanavyozidi kukaribia eneo la 18 mbinu ni km zinawaishia. Sehemu ya kutoa pasi atabutua jishutu na kinyume chake. Mtu anatakiwa aingie nayo zaidi ndani ya 18 au 6 anapiga cross au kutoa basi butu bila hata kuangalia wenzake wako wapi na wamejipanga vp mwishowe mpira unapotea kirahisi kabsa. Kwenye Objective footbal nafasi 2 moja goli. Sasa sisi nafasi 10 hadi 15 utakuta hakuna goli hata moja.
3. Timu ya taifa kwa sasa haina beki mzuri wa pembeni kulia ukimuondoa Shomari ambaye roho yake kwasasa haipo timu ya taifa kutokana na kutelekezwa na TFF baada ya kuumia na Simba wakabeba jukumu la kuhangaika nae hadi akapona. Huo ndio ukweli japo ni mchungu kuongea.
Bonifasi Maganga licha ya mapungufu yake mengi anatatizo kubwa la msingi km beki wa pembeni, kwanza hana speed,pili hawezi kupiga cross kabsa. Jana kapiga cross nje zaidi ya mipira 4 bila kubughudhiwa na mtu. Sielewi ni sifa ipi inayofanya Ndailagije aendelee kumuita timu ya taifa kwangu ni beki wa kawaida sn.
4.Kukosa umakini kwa Idi Nado. Idi ni mchezaji mzuri ila tatizo lake kubwa na ambalo sjui km kocha amewahi kumwambia ni kukosa utulivu. Papara nyingi mno!! Ni mchezaji mwenye juhudi sn akiwa uwanjani tatizo lake kubwa hana utulivu. Anapata chances nyingi sn lakni mipira mingi anapiga nje!
5. Km taifa lazma tutafte washambuliaji wenye maumbo ya kina Mwaikimba. Baada ya Afcon kupita yalisemwa mengi sn kuhusiana maumbo ya wachezaji wetu. Jana tuliwaona Wasudani jinsi walivyo warefu.Mipira mingi wa juu waliicheza wao. Scouting ya nguvu inatakiwa ili kuwapata wachezaji wa maumbo makubwa ili tuweze kupambana na adui wa kila aina la sivyo tutaishia kusema tumeupigwa mwingi huku tumepoteza mechi.