Maisha kweli yanakwaza watu...Hii kauli yako imenifanya niwaelewe wanaosema ndoa ni utapeli.
Mama yake marehemu na baba yake, na ndugu zake wote waliomsaidia miaka mingii hawana mamlaka tena ya kukanyaga ndani ya hiyo nyumba.
Nyumba iliyojengwa kwa miaka 10 Inakuwa mali ya mke alieishi na mume ndani ya hiyo nyumba mwaka mmoja tu wa ndoa yake
ATLEAST YOU HAVE A POINT.By the way hiyo hoteli haina kamera?
Pia huyo mtu ana simu, wanaweza wakatazama simu yake kabla ya mauti kumfika ilikiwa locations zipi, muda upi na duration gani...
Pia kama kajirusha dirishani, wanapaswa wacheck uwepo wa finger prints kila mahali hadi kwenye fremu za madirisha maana kwa mtu anayejirusha lazima walau ashike sehemu ya dirisha n.k
Watazame pattern ya damu, kwa mtu aliyeanguka toka juu muonekano wa dimbwi la damu huwa na pattern yake, ndugu wanaweza wakafanya uchunguzi binafsi pia kwa kuwafikia wale mashahidi wa mwanzo, i believe kuna waliopiga picha...
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]kmmmkSi wapo tanga hpo wasogee kwa msisi wakamalizane nao tu shida ipo wapi
Huyo shahidi aliyesema kuwa marehemu alisikika akisema anaogopa akae kwa machale kama ni planned assassination si ajabu naye akamfata marehemuAlisema walimtilia shaka Richard kwa kuwa tangu jioni alisikika akizungumza kwa sauti kubwa akiwa chumbani kwake akisema anaogopa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Vp Hotel hiyo haina cctv camera
Ova
Three issues involvedHuyo shahidi aliyesema kuwa marehemu alisikika akisema anaogopa akae kwa machale kama ni planned assassination si ajabu naye akamfata marehemu
Polisi wa bongo hawanaga hizi mbwembwe za kukagua murder scene ni kuzoa mzoga na kupeleka mochwari hakuna habari za kukagua viatu sijui fingerprints hizo hakuna mzoga ukipelekwa mochwari inapigwa post mortem ya mchongo imeisha hioBy the way hiyo hoteli haina kamera?
Pia huyo mtu ana simu, wanaweza wakatazama simu yake kabla ya mauti kumfika ilikiwa locations zipi, muda upi na duration gani...
Pia kama kajirusha dirishani, wanapaswa wacheck uwepo wa finger prints kila mahali hadi kwenye fremu za madirisha maana kwa mtu anayejirusha lazima walau ashike sehemu ya dirisha n.k
Watazame pattern ya damu, kwa mtu aliyeanguka toka juu muonekano wa dimbwi la damu huwa na pattern yake, ndugu wanaweza wakafanya uchunguzi binafsi pia kwa kuwafikia wale mashahidi wa mwanzo, i believe kuna waliopiga picha...
Nimewaza hivyo pia, ghorofa ya pili hapana aisee.Gorofa 2 mtu kufa labda Afanye kama anaogelea adive kichwa kitangulieee.. Otherwise its a murder case not suicide sema bongo ndo imeishaa hiyoo!! Na kishindo cha kujitupa hakuna mtu yeyote aliesikia kweli kwa yale mazingira ya ile hotel.
Uruke kutoka hapo juu mpaka chini afu ufe Mimi nimewahi kuruka sehemu km hapo na sikuvunjika hata kopeI smell fish, there is foul play here, ni rahisi kujua kama aliuliwa sehemu nyingine, harafu akaletwa hapo, Ila kama hili game limechezwa na kuhusisha polisi, hakuna ukweli utajurikana,
Nchi hii imekaa kijambazi Sana.
Kazi Maalum....,..2 na 3 Possible..Three issues involved
1. Mapenzi
2. Dili ya pesa ndefu
3. Kukataa kutoa ushirikiano
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ndio inaitwa Forensic Investigation?
Yote maisha tuRIP na ile nyumba yako nzuri ambayo umetumia miaka 10 kuijenga na kuishi kwa miaka 1 sasa ni mali halali ya wife wako uliyeishi nae miaka 2.