Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Bado wataanza kufutwa majumbani na kupewa kichapo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni mwendo wa kulipa kisasi.View attachment 3100963
Kwa nini wananchi hawakumsikiliza mlinda usalama wetu, tuache hasiri tuwasikilize polisi wetu
Usichojua hadi muda huu waliohusika watakuwa wametepeta kwa kipigo. Baadhi yao jela wataenda. Dereva na mwenye gari wanaweza kuwa na wakati mgumu zaidi baada ya hili tukio. Kimsingi kuna familia kadhaa zitapita kwenye msukosuko mkali mno. Nyie mashujaa wa mtandaoni endeleeni kusifia ujinga watu wazidi kuingia kwenye matatizo.Halali yake,waonevu sana!
Kwani yeye ni mahakama Hadi aseme abiria wataenda gerezani?Jeshi la Polisi mkoani Mara linawashikilia watu 18, wakiwemo dereva, kondakta na abiria 16, kwa tuhuma za kumpiga askari wa usalama barabarani aliyekuwa akikagua gari walilokuwa wamepanda. Tukio hilo lilitokea Septemba 18, 2024, saa 12 jioni katika mkoa wa Mara.
Akizungumza kuhusu tukio hilo, Ofisa Mnadhimu wa Jeshi la Polisi Trafiki Kuu, Butusyo Mwambelo, amesema kuwa askari huyo alikumbwa na kipigo wakati akijaribu kushusha abiria waliokuwa wamesimama kwenye gari. Hata hivyo, kondakta wa gari hilo alifunga mlango na wote waliokuwa ndani ya gari, akiwemo dereva, kondakta, na abiria, walianza kumshambulia askari huyo.
“Askari wetu alikuwa akitekeleza wajibu wake wa kuwataka abiria waliokuwa wamesimama kwenye gari washuke. Lakini ghafla walimzonga kwa maneno ya kebehi, na kondakta kufunga mlango wa gari. Ndipo dereva, kondakta na abiria wao wakaanza kumpiga askari akiwa ndani ya gari. Je, kweli tumefika hatua hiyo kama Watanzania?” alisema Mwambelo.
=============
Wananchi wanahasira sana hadi kufikia hatua ya kumtwaga askari mh tunapoelekea sasa ni balaa tupu!
Soma Pia: Abiria watakiwa kupaza sauti kwa Madereva wasiofuata Sheria za Usalama Barabarani
Umemaliza? Wewe ni nani kunihariri kipi niseme ama nisiseme?Usichojua hadi muda huu waliohusika watakuwa wametepeta kwa kipigo. Baadhi yao jela wataenda. Dereva na mwenye gari wanaweza kuwa na wakati mgumu zaidi baada ya hili tukio. Kimsingi kuna familia kadhaa zitapita kwenye msukosuko mkali mno. Nyie mashujaa wa mtandaoni endeleeni kusifia ujinga watu wazidi kuingia kwenye matatizo.
Kwa hii kesi ya abiria kusimama kwenye gari?! au hizo issues nyingine hizo sijasemea mkuu wangu.Acha iwe vyovyote vile chief. Tulipofikia hata usipowarushia ngumi, wanakuvalisha pingu wanaenda kukuua wakutupe ununio. Bora iwe rabsha rabsha na kashikashi hivi hivi.
Wewe jasiri uko hapa jamiiforums unajiita jina la viatu hata jina lako umeogopa kuandika mkuu.Acha uoga
Niko againsts askari kupigwa, si jambo zuri lakini kutokana na matukio ya hivi karibuni. Raia hawana imani , ile trust ya jamii kwa polisi imeshuka mno, na hii ni red alertKwanza askari kupigwa na wananchi ni aibu, habari kama hizi wazifiche huko huko vijijini, wavulana wa Dar don't try this at DAR.
Hawa Polisi ndio wanaopush polisi jamii, tusisahau mwezi huu katika maadhimisho ya miaka 60 ya jeshi la polisi walihamasisha kufanya matendo yatakayo rudisha imani katika jamii kama vile kutoa misaada kwenye vituo vya yatima, kufanya usafi, kuchangia damu, leo hii hata wiki haijaisha wako barabarani wanaonyesha magari yao yakurusha maji ya washa washa ? Hivi strategist wa nyie polisi ni nani ? Mkuu halafu kama sijakosea ulisoma BALE ? mmeshindwa kulisaidia jeshi la polisi ? kwenye hizi tabia za jeshi la kikoloni wakisahau watanzania ni baba zao, mama zao, dada zao na sisi kwa kodi zetu ndio tunawafanya wanunue hata mafuta ya kupaka sura zao ngumu.Niko againsts askari kupigwa, si jambo zuri lakini kutokana na matukio ya hivi karibuni. Raia hawana imani , ile trust ya jamii kwa polisi imeshuka mno, na hii ni red alert
Wanahitaji ku reform policy yao. Ukiwa mtu wa kutumia nguvu, na raia wata adopt, wata respond the same. Result ni mgogoro btn polis na raia.wHawa Polisi ndio wanaopush polisi jamii, tusisahau mwezi huu katika maadhimisho ya miaka 60 ya jeshi la polisi walihamasisha kufanya matendo yatakayo rudisha imani katika jamii kama vile kutoa misaada kwenye vituo vya yatima, kufanya usafi, kuchangia damu, leo hii hata wiki haijaisha wako barabarani wanaonyesha magari yao yakurusha maji ya washa washa ? Hivi strategist wa nyie polisi ni nani ? Mkuu halafu kama sijakosea ulisoma BALE ? mmeshindwa kulisaidia jeshi la polisi ?
Mimi ni baba yako halisi. Muulize mama yako atakupa siri.Umemaliza? Wewe ni nani kunihariri kipi niseme ama nisiseme?
Sijafurahishwa na tukio la kumpiga askari ila niseme tu watu wa mkoa wa Mara ni wastarabu sana, wenye upendo na utu. Ila hawapendi upuuzi na unafiki.Tatzo watu wakanda ya ziwa bdo wajastarabka matumiz ya nguvu inawasumbua na ukabla
Tatzo watu wakanda ya ziwa bdo wajastarabka matumiz ya nguvu inawasumbua na win
Angalia unachoandika n wingii huo.Hata pwani na mikoa mingn watu wa aina hyo wapo usijumuishe watu woteTatzo watu wakanda ya ziwa bdo wajastarabka matumiz ya nguvu inawasumbua na ukabla
Sina baba mjinga kama wewe, mama yangu ni marehemu bibi yako!Mimi ni baba yako halisi. Muulize mama yako atakupa siri.