Mara ghafla Mbowe, Mnyika, Lissu na Heche wasimamishwa uongozi Chadema, msajili aridhia

Mara ghafla Mbowe, Mnyika, Lissu na Heche wasimamishwa uongozi Chadema, msajili aridhia

Johnny Sack

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2017
Posts
8,984
Reaction score
19,288
Hii ni mbinu wanayoitumia CCM kwa vyama vya upinzani hivi sasa, wakiona chama cha upinzani kinawaletea 'ukaidi'

Waliitumia kwa Maalim na CUF kipindi kile baada ya Maalim kugomea uchaguzi kipindi kile, wameitumia kwa Mbatia baada ya Mbatia kupingana sana na Samia kwenye mambo mengi ikiwamo kumuunga mkono Ndugai na kukigomea TCD na kikosi kazi

Mbatia ambaye kwa Magufuli alikuwa 'mpinzani laini' hadi kutuhumiwa na Chadema kuwa anatumika, kwa Samia ameonyesha msimamo mkali na kurudisha urafiki na Chadema

Kwa Chadema watu wanaweza kudhani haiwezekani ila hakuna wanachoshindwa CCM

Wanatangaza amani huku wameshika mapanga, wanazuga kuwaita wapinzani kutoa maoni kuhusu namna ya kuboresha mazingira ya siasa nchini, huku wakiwa wanawachinja wapinzani kwa silaha zile zile zinazojadiliwa

Kwa sasa Chadema kama kuna manung'uniko ya viongozi wao kuwa karibu sana na Ikulu, baadhi wakihisi 'amesha tulizwa' sasa CCM wanaweza kutumia manung'uniko hayo hayo ukashangaa wajumbe kadhaa wakapewa mlungula wengine ikafanyika forgery kama kawaida yao ukaitishwa mkutano, na hao watu kadhaa wakang'olewa na msajili akafanya hayo maamuzi kuwa 'official' na kuwaambia Chadema kama mna malalamiko nendeni mahakamani

Sababu za kuwang'oa unaambiwa ni 'kukisaliti chama na kuwa karibu ba ikulu' ili kuyafanya yaungwe mkono na wanachadema wanaolalamika sasa
 
Kwa chama la wezi wa kura, michezo michafu na ufisadi inawezekana kabisa wakafanya hivyo, sometimes najiuliza nani anaweza kuwazuia kuacha michezo michafu lakini sipati jibu, ila naamini Mwalimu angeweza kuwakataza na kuwaambia washindane kwa haki na wenzao na waache wizi wa kura, Mwalimu angekuwepo nafikiri asingekubali ule uhuni wa uchaguzi wa 2020 au kupigwa risasi kwa Lissu
 
Hii ni mbinu wanayoitumia CCM kwa vyama vya upinzani hivi sasa, wakiona chama cha upinzani kinawaletea 'ukaidi'

Waliitumia kwa Maalim na CUF kipindi kile baada ya Maalim kugomea uchaguzi kipindi kile, wameitumia kwa Mbatia baada ya Mbatia kupingana sana na Samia kwenye mambo mengi ikiwamo kumuunga mkono Ndugai na kukigomea TCD na kikosi kazi

Mbatia ambaye kwa Magufuli alikuwa 'mpinzani laini' hadi kutuhumiwa na Chadema kuwa anatumika, kwa Samia ameonyesha msimamo mkali na kurudisha urafiki na Chadema

Kwa Chadema watu wanaweza kudhani haiwezekani ila hakuna wanachoshindwa CCM

Wanatangaza amani huku wameshika mapanga, wanazuga kuwaita wapinzani kutoa maoni kuhusu namna ya kuboresha mazingira ya siasa nchini, huku wakiwa wanawachinja wapinzani kwa silaha zile zile zinazojadiliwa

Kwa sasa Chadema kama kuna manung'uniko ya viongozi wao kuwa karibu sana na Ikulu, baadhi wakihisi 'amesha tulizwa' sasa CCM wanaweza kutumia manung'uniko hayo hayo ukashangaa wajumbe kadhaa wakapewa mlungula wengine ikafanyika forgery kama kawaida yao ukaitishwa mkutano, na hao watu kadhaa wakang'olewa na msajili akafanya hayo maamuzi kuwa 'official' na kuwaambia Chadema kama mna malalamiko nendeni mahakamani

Sababu za kuwang'oa unaambiwa ni 'kukisaliti chama na kuwa karibu ba ikulu' ili kuyafanya yaungwe mkono na wanachadema wanaolalamika sasa
We unadhani CCM hawataki? Sema wanaogopa na kukosa pa kuanzia, ni sawa na kusema Republican wawavuruge Democrats never
 
Haiwezi kutokea Chadema kwasababu huwa hawafugi wasaliti, ukiwa Chadema ukaanza kuonesha vimelea vya usaliti unakandamizwa asubuhi na mapema.

Chadema KK itaanza kukutandika, na ukikata rufaa baraza kuu bado hali ni ile ile, mpaka wajinga wanaichukia Chadema kwasababu ina wengi wanaojielewa, wanabaki kusingizia Mbowe... Mbowe.. Mbowe..
 
Hii ni mbinu wanayoitumia CCM kwa vyama vya upinzani hivi sasa, wakiona chama cha upinzani kinawaletea 'ukaidi'

Waliitumia kwa Maalim na CUF kipindi kile baada ya Maalim kugomea uchaguzi kipindi kile, wameitumia kwa Mbatia baada ya Mbatia kupingana sana na Samia kwenye mambo mengi ikiwamo kumuunga mkono Ndugai na kukigomea TCD na kikosi kazi

Mbatia ambaye kwa Magufuli alikuwa 'mpinzani laini' hadi kutuhumiwa na Chadema kuwa anatumika, kwa Samia ameonyesha msimamo mkali na kurudisha urafiki na Chadema

Kwa Chadema watu wanaweza kudhani haiwezekani ila hakuna wanachoshindwa CCM

Wanatangaza amani huku wameshika mapanga, wanazuga kuwaita wapinzani kutoa maoni kuhusu namna ya kuboresha mazingira ya siasa nchini, huku wakiwa wanawachinja wapinzani kwa silaha zile zile zinazojadiliwa

Kwa sasa Chadema kama kuna manung'uniko ya viongozi wao kuwa karibu sana na Ikulu, baadhi wakihisi 'amesha tulizwa' sasa CCM wanaweza kutumia manung'uniko hayo hayo ukashangaa wajumbe kadhaa wakapewa mlungula wengine ikafanyika forgery kama kawaida yao ukaitishwa mkutano, na hao watu kadhaa wakang'olewa na msajili akafanya hayo maamuzi kuwa 'official' na kuwaambia Chadema kama mna malalamiko nendeni mahakamani

Sababu za kuwang'oa unaambiwa ni 'kukisaliti chama na kuwa karibu ba ikulu' ili kuyafanya yaungwe mkono na wanachadema wanaolalamika sasa
Ndiyo maana namshangaa Mbowe kuwaamini CCM. Adui yako siyo wa kumuamini hata kidogo. Umekaa ndani miezi sita na leo unalilia maridhiano!!! Kuna maridhiano gani hapo? Kama siyo mashinikizo toka pande zote leo Mbowe angekuwa nje!!! Huko ccm walipiga kelele sana kuwa Mbowe ni gaidi!!!! Inabidi CDM wawe skeptical sana na CCM. Mimi ndiyo maana siwezi kuwa mwanasiasa. Unafiki sipendi hata kidogo. Nikiona huna time na mimi nami naku- shun away!!!! Ningekuwa mimi Mbowe ningekuwa nimesha acha lichama lao na kuendelea na biashara.
 
....................Ni mtazamo zamo tu mc usiogope kivuli..........
 
Hii ni mbinu wanayoitumia CCM kwa vyama vya upinzani hivi sasa, wakiona chama cha upinzani kinawaletea 'ukaidi'

Waliitumia kwa Maalim na CUF kipindi kile baada ya Maalim kugomea uchaguzi kipindi kile, wameitumia kwa Mbatia baada ya Mbatia kupingana sana na Samia kwenye mambo mengi ikiwamo kumuunga mkono Ndugai na kukigomea TCD na kikosi kazi

Mbatia ambaye kwa Magufuli alikuwa 'mpinzani laini' hadi kutuhumiwa na Chadema kuwa anatumika, kwa Samia ameonyesha msimamo mkali na kurudisha urafiki na Chadema

Kwa Chadema watu wanaweza kudhani haiwezekani ila hakuna wanachoshindwa CCM

Wanatangaza amani huku wameshika mapanga, wanazuga kuwaita wapinzani kutoa maoni kuhusu namna ya kuboresha mazingira ya siasa nchini, huku wakiwa wanawachinja wapinzani kwa silaha zile zile zinazojadiliwa

Kwa sasa Chadema kama kuna manung'uniko ya viongozi wao kuwa karibu sana na Ikulu, baadhi wakihisi 'amesha tulizwa' sasa CCM wanaweza kutumia manung'uniko hayo hayo ukashangaa wajumbe kadhaa wakapewa mlungula wengine ikafanyika forgery kama kawaida yao ukaitishwa mkutano, na hao watu kadhaa wakang'olewa na msajili akafanya hayo maamuzi kuwa 'official' na kuwaambia Chadema kama mna malalamiko nendeni mahakamani

Sababu za kuwang'oa unaambiwa ni 'kukisaliti chama na kuwa karibu ba ikulu' ili kuyafanya yaungwe mkono na wanachadema wanaolalamika sasa
Tabia hyo imezoeleka Kwa sasa sikubishii, USISHANGAE ukaamka siku moja na kusikia mkt wako wa KIJANI no.1 amefukuzwa Uanachama!!!🧐🧐🧐🧐
 
Hii ni mbinu wanayoitumia CCM kwa vyama vya upinzani hivi sasa, wakiona chama cha upinzani kinawaletea 'ukaidi'

Waliitumia kwa Maalim na CUF kipindi kile baada ya Maalim kugomea uchaguzi kipindi kile, wameitumia kwa Mbatia baada ya Mbatia kupingana sana na Samia kwenye mambo mengi ikiwamo kumuunga mkono Ndugai na kukigomea TCD na kikosi kazi

Mbatia ambaye kwa Magufuli alikuwa 'mpinzani laini' hadi kutuhumiwa na Chadema kuwa anatumika, kwa Samia ameonyesha msimamo mkali na kurudisha urafiki na Chadema

Kwa Chadema watu wanaweza kudhani haiwezekani ila hakuna wanachoshindwa CCM

Wanatangaza amani huku wameshika mapanga, wanazuga kuwaita wapinzani kutoa maoni kuhusu namna ya kuboresha mazingira ya siasa nchini, huku wakiwa wanawachinja wapinzani kwa silaha zile zile zinazojadiliwa

Kwa sasa Chadema kama kuna manung'uniko ya viongozi wao kuwa karibu sana na Ikulu, baadhi wakihisi 'amesha tulizwa' sasa CCM wanaweza kutumia manung'uniko hayo hayo ukashangaa wajumbe kadhaa wakapewa mlungula wengine ikafanyika forgery kama kawaida yao ukaitishwa mkutano, na hao watu kadhaa wakang'olewa na msajili akafanya hayo maamuzi kuwa 'official' na kuwaambia Chadema kama mna malalamiko nendeni mahakamani

Sababu za kuwang'oa unaambiwa ni 'kukisaliti chama na kuwa karibu ba ikulu' ili kuyafanya yaungwe mkono na wanachadema wanaolalamika sasa
Utasubiri sana chedema ni genge la mafia,watoto wa mjini,wamezaliwa ocean road
 
Haiwezi kutokea, Samia hawezi kumtosa Tundu Lisu hata siku moja, wametoka mbali, labda kama Tundu Lisu ndiyo awafukuze hao wengine chadema na Msajili kuridhia!
 
Haiwezi kutokea Chadema kwasababu huwa hawafugi wasaliti, ukiwa Chadema ukaanza kuonesha vimelea vya usaliti unakandamizwa asubuhi na mapema.

Chadema KK itaanza kukutandika, na ukikata rufaa baraza kuu bado hali ni ile ile, mpaka wajinga wanaichukia Chadema kwasababu ina wengi wanaojielewa, wanabaki kusingizia Mbowe... Mbowe.. Mbowe..
CDM wakifanyiwa uhuni wa NCCR ni rahisi sana ku-build case kwa wahisani na kueleweka zaidi, hasa ukizingatia credibility waliyo-jijengea kutokana na figisu za 2020 election. Itawafanya wahisani kuelewa jinsi serikali inavyotumia rushwa, hujuma, mamlaka yasiyo halali nk. Kiufupi watatengeneza crisis.
CDM ipo hapo kutokana na michango ya wengi ikiwemo ya baadhi ya wana CCM wenyewe, ambao wanaamini CDM ikifa hakutakuwa na upinzani imara na hvyo serikali isiyojali yeyote itazaliwa na wananchi wote watapoteza, Mfano-Kukosekana kwa chama imara cha kutetea maslahi ya wafanyakazi hupelekea au kuchangia maisha duni ya wafanyakazi kutokana na weak bargaining power.
Ni kichaa pekee mwenye maoni mafupi asiyeweza kuona faida ya strong opposing side mahala popote hasa kwenye siasa 🤣 🤣 , manake a strong opposition inamfaidisha mwananchi wa kawaida na wote katika nchi.
 
Haiwezi kutokea, Samia hawezi kumtosa Tundu Lisu hata siku moja, wametoka mbali, labda kama Tundu Lisu ndiyo awafukuze hao wengine chadema na Msajili kuridhia!
Wanetoka mbali wapi?
 
Tabia hyo imezoeleka Kwa sasa sikubishii, USISHANGAE ukaamka siku moja na kusikia mkt wako wa KIJANI no.1 amefukuzwa Uanachama!!!🧐🧐🧐🧐
Mkuu
Hiyo ITAKUWA
Technical know how and know why!!
Masterclass of the century!
Japo sidhani kama kuna mamlaka kama hiyo hapa nchini!!
 
Back
Top Bottom