Mara ghafla Mbowe, Mnyika, Lissu na Heche wasimamishwa uongozi Chadema, msajili aridhia

Hawa CCM hawaoni aibu, wanatamani kuifuta chadema hata Kesho, ila mbinu za Chadema ndiyo zinawashinda kila wanavyopanga mashambulizi yanabuma. Hata hivyo niwaase chadema na watanzania kwa ujumla tunao wajibu wa kupambania taifa hili dhidi ya mbinu za kijinga kama hizi. Taifa letu kwa sasa halima standards, sheria hazifuatwi, katiba inasiginwa hadharani na inaonekana kwao ni kawaida tu. Na haya mambo kadri tunavyoya-entertain ndivyo tunashindwa kuwa taifa lililostaarabika kisa tu maslahi ya watu wachache wanaofaidika na kuendesha uhuni kama huu.
 

Kuhusu Chadema iacheni wengi walijaribu kuiua chadema wakafa wao.
 
Wanaweza kuwa na mipango hiyo,lakini wanashindwa waiingieje.Maana CDM huanza na Mungu na kumalizia na Mungu.
 
Heche na Lissu ni pandikizi ya dola, yanajifanya kuwa mapinzani kumbe Kila siku yanatoa taarifa kijitonyama.
 
Madai yakijinga sana,wakati munawafukuza wakinaMdee mulimuita Kaimu msajili,sasa alivyoitwa NCCR kunaubaya gani?au kwa sababu atia Mbatia!
 
Kwa chadema hawataweza,wakifuta hawataweza kuzima kelele,chadema leo hata wakibadili jina la chama watafutwa na wafuasi wengi na watafuatwa na wafuasi wao maana wamejijenga. Tanzania hii ukisikia ile nyumba ni wapinzani kinachokuja akilini ni chadema .
 
Mbowe atawafurusha wote hao mmoja baada ya mmoja, chama cha ba’mkwe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…