Selected by gods
Senior Member
- Dec 23, 2022
- 140
- 321
Weka picha 12mb ni nyingi mno
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Generators will work efficiently. Asante CCM kwa kuwastua mapema CDM!Umeme utakatwa Kanda ya Ziwa yote hadi Jumapili
Ilishaokoa mwingine Ubungo alipanda kwenye mnara wa simu karibu na UBTKama ni kwel nashukuru kwa mara ya kwanza naona serikali ya tz inaokoa maisha ya mtu
Au huenda ni lastborn ana madeko(in Bashiru voice)Stress labda naye Kahonga demu iphone 14.
Inatakiwa serikali itoe tangazo mtu akipanda kwenye line ya umeme,ashushwe kwa risasi vijana ndio wanaona fasheni na kutafuta umaarufu wa kindezi.(joking usije mwaga povu la kwapa hapa)
hahahahahaAnaulizwa apewe nini ili ateremke?
Anajibu: "mna nini nyie?" huku akicheka kwa kebehi.
Mimi kama mjasiliamali wa kuprinti tisheti nimeanza kupokea order za kuprint tisheti zenye picha ya hayati Magufuli zitazovaliwa siku ya mkutano mkubwa wa Chadema pale jijini Mwanza.
Mtu mmoja aliyenipa order aliuliza.....
Tisheti za JPM zinauzwa wapi, ndio za kuvaa nyakati hizi za mikutano sasa, bila kujali upo mkutano gani, no matter what kuna ujumbe utapenya... tena wenye nguvu... usiobezeka..
Njooni Mwanza tuwalie hela zenu na mtueleze kwa nini mlishangilia kifo cha Magufuli, na mtueleze pia kwa nini watoto wa Mbowe ,Lisu na Lema ni raia wa Marekani.
Niko hapa naprint za kutosh
Huenda ni mwendawazimu yule, mtu mwenye akili timu hawezi kupanda juu huko bila shughuli maalumu. Huyu mtu angeweza kukata njia ya umeme huo kama akili zenyewe ndio hizo
Kumbe na sisi huwa tunaokoa watu sometimes,nikajua sisi huwa tunawaacha wajifie tuIlishaokoa mwingine Ubungo alipanda kwenye mnara wa simu karibu na UBT
Weka picha 12mb ni nyingi mno
Mkuu kwani kwenu ulipo hakuna machiziKwa akina Heche?