Mara: Kijana apanda kwenye grid ya taifa

Mara: Kijana apanda kwenye grid ya taifa

Kama anataka kufa si angeenda tu hapo Namanga akatembea na Malaya wamuambukize lile super gonorhea linalotikisa Namanga.
 
Ingekuwa awamu ile yangeongelewa mengi humu kuhusu ugumu wa maisha. Bado tutanyooka tu
 
Anaulizwa apewe nini ili ateremke?
Anajibu: "mna nini nyie?" huku akicheka kwa kebehi.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Hii nchi Raha sana
 
Back
Top Bottom