Msiwatumie POLICE kumwaga Damu ya wananchi tena watuhumiwa.Kwani hao ndugu zako majambazi hawajui Katiba? Kama wao wanaua basi wauawe tu.
Ingekuwa kuua mtu ni jambo Rahisi kiivo, mbona SA100 anakwepa Kutia Saini watu walohukumiwa kunyongwa na mahakama wanyongwe Hadi kufa???🙃🙃🙃🙃