Mara: Mkuu wa Mkoa ashangaa Wanafunzi wa Darasa la 7 kutowafahamu Waziri Mkuu na Rais wa Zanzibar

Mara: Mkuu wa Mkoa ashangaa Wanafunzi wa Darasa la 7 kutowafahamu Waziri Mkuu na Rais wa Zanzibar

Research psychologist angesema njia ya kuuliza swali labda siyo sahihi. Alipaswa kuwa more calm wakati wa kuuliza .
Kiongozi huyo wa Mkoa, Meja Jenerali Suleiman Mungiya Mzee ameyaeleza hayo wakati akizungumza na Walimu wa shule tofauti Mkoani hapo.

Amesema amewauliza wanafunzi wengi na wameonekana hawana ufahamu juu ya Sikukuu ya Mapinduzi, kutomfahamu Waziri Mkuu wa Tanzania wala Rais wa Zanzibar.

Amesema “Nimezunguka shule tatu tofauti nimepata mmoja tu ndio mjanja nikampa na Tsh. 10,000. Mtoto wa Darasa la Saba, mwaka huu anafanya mtihani kuhingia kidato cha kwanza lakini hana historia ya Nchi yetu, inaumiza.

“Tusiishie uangalia tu madaftari na sare za shule, nyie ni walimu, hii ni aibu.”

Chanzo & Video: Jambo TV
 
Watafuatilia vipi wakati budget zake hutumika kwenye matumizi mengine. Hii ndio athari ya kupuuzia mambo ya kitaifa. Zamani wakati nasoma siku ya uhuru na siku nyingine tunaimba na nyimbo kabisa tukikutana shule tofauti. Siku hizi hamna hizo mambo
Tunabana matumizi, huku tukipuuza matukio ya kihistoria muhimu kwa nchi.
 
Kiongozi huyo wa Mkoa, Meja Jenerali Suleiman Mungiya Mzee ameyaeleza hayo wakati akizungumza na Walimu wa shule tofauti Mkoani hapo.

Amesema amewauliza wanafunzi wengi na wameonekana hawana ufahamu juu ya Sikukuu ya Mapinduzi, kutomfahamu Waziri Mkuu wa Tanzania wala Rais wa Zanzibar.

Amesema “Nimezunguka shule tatu tofauti nimepata mmoja tu ndio mjanja nikampa na Tsh. 10,000. Mtoto wa Darasa la Saba, mwaka huu anafanya mtihani kuhingia kidato cha kwanza lakini hana historia ya Nchi yetu, inaumiza.

“Tusiishie uangalia tu madaftari na sare za shule, nyie ni walimu, hii ni aibu.”

Chanzo & Video: Jambo TV
Wawafahamu ili iweje? Wanamaanabu gani ya kufahamika?
Majina yao hsyapo kwenye mitaala ya shule
 
Unalaumu walimu badala ya kulaumu mfumo wa elimu yakiwemo maslahi na idadi yao, hawa wanasiasa ni shida......
 
Kiongozi huyo wa Mkoa, Meja Jenerali Suleiman Mungiya Mzee ameyaeleza hayo wakati akizungumza na Walimu wa shule tofauti Mkoani hapo.

Amesema amewauliza wanafunzi wengi na wameonekana hawana ufahamu juu ya Sikukuu ya Mapinduzi, kutomfahamu Waziri Mkuu wa Tanzania wala Rais wa Zanzibar.

Amesema “Nimezunguka shule tatu tofauti nimepata mmoja tu ndio mjanja nikampa na Tsh. 10,000. Mtoto wa Darasa la Saba, mwaka huu anafanya mtihani kuhingia kidato cha kwanza lakini hana historia ya Nchi yetu, inaumiza.

“Tusiishie uangalia tu madaftari na sare za shule, nyie ni walimu, hii ni aibu.”

Chanzo & Video: Jambo TV
Kumjua raisi wa Zanzibar kunamsaidia nini mtanganyika (mwananchi) wa mkoa wa Mara!
 
Hakuna umuhimu wa wanafunzi hao wa Tanganyika kuelewa chochote kuhusu viongozi wa Zanzibar, au ndo kujipendekeza kwakua anaewalambisha asali ni wa huko?
 
Kiongozi huyo wa Mkoa, Meja Jenerali Suleiman Mungiya Mzee ameyaeleza hayo wakati akizungumza na Walimu wa shule tofauti Mkoani hapo.

Amesema amewauliza wanafunzi wengi na wameonekana hawana ufahamu juu ya Sikukuu ya Mapinduzi, kutomfahamu Waziri Mkuu wa Tanzania wala Rais wa Zanzibar.

Amesema “Nimezunguka shule tatu tofauti nimepata mmoja tu ndio mjanja nikampa na Tsh. 10,000. Mtoto wa Darasa la Saba, mwaka huu anafanya mtihani kuhingia kidato cha kwanza lakini hana historia ya Nchi yetu, inaumiza.

“Tusiishie uangalia tu madaftari na sare za shule, nyie ni walimu, hii ni aibu.”

Chanzo & Video: Jambo TV
Acha hiyo kuna sehemu wanajua Rais bado ni Nyerere.
 
Back
Top Bottom