Mara ya kwanza kubet ulijiskiaje?

Mara ya kwanza kubet ulijiskiaje?

Kabweka12

Member
Joined
Feb 16, 2018
Posts
91
Reaction score
85
Habarini wana jamvi?
Napenda tujuzane mara ya kwanza kubet ilikuwaje na ulijiskiaje baada ya game upizobetia kumalizika?

Binasfi mara ya kwanza kubet nilikuwa nakula bia mahala uku nacheki mechi za EPL mara jamaa yangu mmoja akaja na mkeka mkononi. Mida ya saa 2 unusu akacheka kwa kishindo etiii nimemuuuuua. Mhmm nikashtuka nikamuuliza vipi mzee unataka kufaaa?!? Akatoa mkeka wake duh laki 8 kama na arobaini hivi. Tamaa mbaya sana.

Nikatamani hatari hafu nikavuta picha ningekuwa mimi ndo nimekula hiyo laki 8 ingekuwaje. Nikaipangia bajeti pale fasta fasta ikaisha. Mhmmm next week nikaamua na mimi niweke mikeka miwili nipige 1.5M. Mhmmm pindi game zinaanza ndipo nilijua jamaa wanaobet hawana magonjwa yasiyoambukizwa. Yaan nilihisi pressure rise and fall.

Jasho hadi chini ya macho. Mbaya zaidi nikaaiiua hadi timu yangu hafu naona tunashindaaa kushangilia ilikuwa ngumu sana. Kuna mdau akaniuliza vipi leo mbona hupigi kelele? Nikajibu huoni game nyepesi hii? Mikeka yote ilichanika, 50000 yangu ikapotea. Ukweli sijajaribu tena.

Nipe yako mkuu.
 
Mwana duh!
Ilikuwa mwaka jana January , jamaa tunayefanya naye kazi tulikuwa tumepanga nyumba moja akawa haniambii anavyopata extra money. Nikamuuliza, inakuwaje?

Akanambia huwa na-bet, niliogopa kukwambia mapema nikihisi utaniona mpuuzi.

Nikamwambia akanifundisha, tukawa tunabet online.

Uefa ya mwaka jana baada ya kufundishwa jinsi ya kubet, nikapiga laki 4. Nikamuonesha akafurahi sana. Tukaenda kufanya shopping ya chakula.

Kuanzia hapo nikawa na-bet nawakati mwingi tunapata pesa za matumizi ya katikati ya mwezi kwa kubet tu.

Sasa juzi hapa jf kuna mtu alitoa mfumo mzuri wa kubet, nikaufatisha kama vile vile, utofauti ulikuwa kuchagua teams tu.
Yaani nimejikuta nakula bingo la laki 9 na points.

Kubeti hakumalizi shida zako ila ukifumania, zinasogeza malengo yako kiasi.
 
Mwana duh!
Ilikuwa mwaka jana January , jamaa tunayefanya naye kazi tulikuwa tumepanga nyumba moja akawa haniambii anavyopata extra money. Nikamuuliza, inakuwaje?

Akanambia huwa na-bet, niliogopa kukwambia mapema nikihisi utaniona mpuuzi.

Nikamwambia akanifundisha, tukawa tunabet online.

Uefa ya mwaka jana baada ya kufundishwa jinsi ya kubet, nikapiga laki 4. Nikamuonesha akafurahi sana. Tukaenda kufanya shopping ya chakula.

Kuanzia hapo nikawa na-bet nawakati mwingi tunapata pesa za matumizi ya katikati ya mwezi kwa kubet tu.

Sasa juzi hapa jf kuna mtu alitoa mfumo mzuri wa kubet, nikaufatisha kama vile vile, utofauti ulikuwa kuchagua teams tu.
Yaani nimejikuta nakula bingo la laki 9 na points.

Kubeti hakumalizi shida zako ila ukifumania, zinasogeza malengo yako kiasi.
Yaan mtu akiongelea hivyo natamani nijue kubet jamani ndio hivyo kichwa kizito
 
Mwana duh!
Ilikuwa mwaka jana January , jamaa tunayefanya naye kazi tulikuwa tumepanga nyumba moja akawa haniambii anavyopata extra money. Nikamuuliza, inakuwaje?

Akanambia huwa na-bet, niliogopa kukwambia mapema nikihisi utaniona mpuuzi.

Nikamwambia akanifundisha, tukawa tunabet online.

Uefa ya mwaka jana baada ya kufundishwa jinsi ya kubet, nikapiga laki 4. Nikamuonesha akafurahi sana. Tukaenda kufanya shopping ya chakula.

Kuanzia hapo nikawa na-bet nawakati mwingi tunapata pesa za matumizi ya katikati ya mwezi kwa kubet tu.

Sasa juzi hapa jf kuna mtu alitoa mfumo mzuri wa kubet, nikaufatisha kama vile vile, utofauti ulikuwa kuchagua teams tu.
Yaani nimejikuta nakula bingo la laki 9 na points.

Kubeti hakumalizi shida zako ila ukifumania, zinasogeza malengo yako kiasi.

Bora ulianza vizuri na ulikuwa na mentor mzuri. Mimi sjawahi kurudia kabisa.
 
Bora ulianza vizuri na ulikuwa na mentor mzuri. Mimi sjawahi kurudia kabisa.
Thanks
Yaani nimezungukwa na wafanyakazi wenzangu karibia 6 wote ni mafundi wa kubet.

Nakuwa napata tips mbalimbali za namna ya kubet.
 
Mwana duh!
Ilikuwa mwaka jana January , jamaa tunayefanya naye kazi tulikuwa tumepanga nyumba moja akawa haniambii anavyopata extra money. Nikamuuliza, inakuwaje?

Akanambia huwa na-bet, niliogopa kukwambia mapema nikihisi utaniona mpuuzi.

Nikamwambia akanifundisha, tukawa tunabet online.

Uefa ya mwaka jana baada ya kufundishwa jinsi ya kubet, nikapiga laki 4. Nikamuonesha akafurahi sana. Tukaenda kufanya shopping ya chakula.

Kuanzia hapo nikawa na-bet nawakati mwingi tunapata pesa za matumizi ya katikati ya mwezi kwa kubet tu.

Sasa juzi hapa jf kuna mtu alitoa mfumo mzuri wa kubet, nikaufatisha kama vile vile, utofauti ulikuwa kuchagua teams tu.
Yaani nimejikuta nakula bingo la laki 9 na points.

Kubeti hakumalizi shida zako ila ukifumania, zinasogeza malengo yako kiasi.
Weka link ya huo uzi wa kufundishana kubet na mimi nimpige muhindi
 
Weka link ya huo uzi wa kufundishana kubet na mimi nimpige muhindi
Ni hapa hapa jf. Kuna mtu alicomment kwenye uzi wa "wazee wa kuweka mizigo "(kubeti )

Alipanga teams vizuri hadi nikafuata mfumo.
Sema tu wanaotupia comments ni wengi sana kwenye ule uzi wa kubeti.
 
Mwana duh!
Ilikuwa mwaka jana January , jamaa tunayefanya naye kazi tulikuwa tumepanga nyumba moja akawa haniambii anavyopata extra money. Nikamuuliza, inakuwaje?

Akanambia huwa na-bet, niliogopa kukwambia mapema nikihisi utaniona mpuuzi.

Nikamwambia akanifundisha, tukawa tunabet online.

Uefa ya mwaka jana baada ya kufundishwa jinsi ya kubet, nikapiga laki 4. Nikamuonesha akafurahi sana. Tukaenda kufanya shopping ya chakula.

Kuanzia hapo nikawa na-bet nawakati mwingi tunapata pesa za matumizi ya katikati ya mwezi kwa kubet tu.

Sasa juzi hapa jf kuna mtu alitoa mfumo mzuri wa kubet, nikaufatisha kama vile vile, utofauti ulikuwa kuchagua teams tu.
Yaani nimejikuta nakula bingo la laki 9 na points.


Kubeti hakumalizi shida zako ila ukifumania, zinasogeza malengo yako kiasi.
mkuu naomba nielekeze plse.
 
Daaaah mi nilianza mwaka 2014 niko jkt, company kubwa ya masela tukaanza kujifunza kubet, ya kwanza kabisa nilipigwa tukaendele. Kuna siku sasa karibu nidate nilichagua timu mbili tu barca na Bayern Munich, Bayern akawa tayari ameshashinda 4 bado barca hadi dk 81 bado hajapata goli, 81 mnt gooool na 87 la pili na Mimi nilikuwa nimeweka handicap na mzigo nimetia laki moja hela zenyewe za mawazo nikapiga laki saba na 88 elfu. Ndo ukawa mtaji wangu huo wa kubet.
Mbaya sanaaaa, mda mwingine ina pressure kubwa sanaaaa. Na kuwa addicted ni jambo rahisi mbaya.
Sahivi nabet kwa shida mke hataki kabisa.
 
Mwana duh!
Ilikuwa mwaka jana January , jamaa tunayefanya naye kazi tulikuwa tumepanga nyumba moja akawa haniambii anavyopata extra money. Nikamuuliza, inakuwaje?

Akanambia huwa na-bet, niliogopa kukwambia mapema nikihisi utaniona mpuuzi.

Nikamwambia akanifundisha, tukawa tunabet online.

Uefa ya mwaka jana baada ya kufundishwa jinsi ya kubet, nikapiga laki 4. Nikamuonesha akafurahi sana. Tukaenda kufanya shopping ya chakula.

Kuanzia hapo nikawa na-bet nawakati mwingi tunapata pesa za matumizi ya katikati ya mwezi kwa kubet tu.

Sasa juzi hapa jf kuna mtu alitoa mfumo mzuri wa kubet, nikaufatisha kama vile vile, utofauti ulikuwa kuchagua teams tu.
Yaani nimejikuta nakula bingo la laki 9 na points.

Kubeti hakumalizi shida zako ila ukifumania, zinasogeza malengo yako kiasi.
Mkuu mbinu gani hiyo ya kubet tufundushane
 
Mwana duh!
Ilikuwa mwaka jana January , jamaa tunayefanya naye kazi tulikuwa tumepanga nyumba moja akawa haniambii anavyopata extra money. Nikamuuliza, inakuwaje?

Akanambia huwa na-bet, niliogopa kukwambia mapema nikihisi utaniona mpuuzi.

Nikamwambia akanifundisha, tukawa tunabet online.

Uefa ya mwaka jana baada ya kufundishwa jinsi ya kubet, nikapiga laki 4. Nikamuonesha akafurahi sana. Tukaenda kufanya shopping ya chakula.

Kuanzia hapo nikawa na-bet nawakati mwingi tunapata pesa za matumizi ya katikati ya mwezi kwa kubet tu.

Sasa juzi hapa jf kuna mtu alitoa mfumo mzuri wa kubet, nikaufatisha kama vile vile, utofauti ulikuwa kuchagua teams tu.
Yaani nimejikuta nakula bingo la laki 9 na points.

Kubeti hakumalizi shida zako ila ukifumania, zinasogeza malengo yako kiasi.
Tupeane mbinu hiyo mkuu
 
nlianza kwa matarajio ya kupata mamilion nlichokutana nacho siwezi kusema !!hadi raffiki yng aliponipa fomula ya kubet na kuwini leo naweza kujiita mm ni mtaalam wa kubet!!kila siku nabet na matarajio ya kukosa hua ni asilimia ndogo sana
Nipe formula hiyo mkuu
 
Back
Top Bottom