DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Ilikuwa 2017 nilipoingia Gerezani kwa mara ya kwanza kwa kosa la kutoa lugha ya kuudhi dhidi ya Rais wa Tanzania kipindi hicho John Pombe Magufuli.
Kweli wakuu Nilimtukana Rais wa JMT tena kwa lugha Kali hii ni baada ya Kupata hasira za hapa na pale.
Ilikuaje nikamtukana Rais maneno makali, hapa ni baada kusikia kuwa hela za Tetemeko tulizowachangia wahanga hazitowafikia hata senti 100.
Hakika jambo hili lilinifanya kumtukana Rais matusi ya kutosha.
Baada ya kumtukana Rais nilikamatwa na Makachero na kuniweka kizuizini siku 08 ndipo nilipewa dhamana.
Baada ya dhamana niliendelea kuripoti kituo Cha police kila siku.
Na baada ya hapo nilipelekwa mahakamani na kufunguliwa mashtaka 03 yote yanahusu kumtukana Rais na kumdhalilisha.
Baada ya kufika mahakamani nilikana kosa na kupelekwa Gerezani moja kwa moja maana nilikosa wadhamini.
Nilikaa Gerezani siku 23 ndipo nilipatiwa dhamana.
Kesi yangu ilichukua Mwaka 1 tu na niliachiwa huru na wale wote wapepelezi kutoka upande wa Jamhuri walifariki wote na Mwanasheria aliyeniachia huru kupitia Nole sahivi Ni jaji wa Mahakama kuu Maana aliteuliwa na Magufuli 2019.
Maisha ya jela
Ukweli Ni kwamba Gerezani Kuna watu wanaishi vizuri sana kama vile wapo nje pia kuna watu wanaishi motoni
ITAENDELEA
JE ILIKUAJE NIKAACHIWA HURU KWA KESI NZITO KAMA HIYO LICHA YA KUTOKUWA NA PESA.
Kweli wakuu Nilimtukana Rais wa JMT tena kwa lugha Kali hii ni baada ya Kupata hasira za hapa na pale.
Ilikuaje nikamtukana Rais maneno makali, hapa ni baada kusikia kuwa hela za Tetemeko tulizowachangia wahanga hazitowafikia hata senti 100.
Hakika jambo hili lilinifanya kumtukana Rais matusi ya kutosha.
Baada ya kumtukana Rais nilikamatwa na Makachero na kuniweka kizuizini siku 08 ndipo nilipewa dhamana.
Baada ya dhamana niliendelea kuripoti kituo Cha police kila siku.
Na baada ya hapo nilipelekwa mahakamani na kufunguliwa mashtaka 03 yote yanahusu kumtukana Rais na kumdhalilisha.
Baada ya kufika mahakamani nilikana kosa na kupelekwa Gerezani moja kwa moja maana nilikosa wadhamini.
Nilikaa Gerezani siku 23 ndipo nilipatiwa dhamana.
Kesi yangu ilichukua Mwaka 1 tu na niliachiwa huru na wale wote wapepelezi kutoka upande wa Jamhuri walifariki wote na Mwanasheria aliyeniachia huru kupitia Nole sahivi Ni jaji wa Mahakama kuu Maana aliteuliwa na Magufuli 2019.
Maisha ya jela
Ukweli Ni kwamba Gerezani Kuna watu wanaishi vizuri sana kama vile wapo nje pia kuna watu wanaishi motoni
ITAENDELEA
JE ILIKUAJE NIKAACHIWA HURU KWA KESI NZITO KAMA HIYO LICHA YA KUTOKUWA NA PESA.