Mara ya kwanza kuingia Gerezani 2017, sikulala hakika Sitosahau

Hebu Ngoja kwanza. Ni wewe au Unatuletea Hadithi za Kutunga.? Mambo ya. ITAENDELEA yanatoka wapi
Huu ni uzwazwa kuleta tamthilia za fasihi and andishi kama Stori za Shigongo ..sa kama hakujipanga kwa nn alete uni kam huu alafu atuahidi anarudi ..basi km vp apogee tu asirudi
 
Miaka 19 unauwezo wa kuandika rufaa za kesi, imekaaje hii[emoji848]
 
VAR inasemaje kuhusu malinda yako?
 
Anatuona sisi maphalerr huyu
 
Miaka 19 unauwezo wa kuandika rufaa za kesi, imekaaje hii[emoji848]
Rufaa Ni Kama barua mkuu hapo ni huwezo wako mzuri wa kuwasilisha hoja na kujua kuandika kizungu tu ebu fatiliya kwanza
 
Muongo, kwahiyo wewe pia ulihusika na kifo cha Magufuli?
 
Rufaa Ni Kama barua mkuu hapo ni huwezo wako mzuri wa kuwasilisha hoja na kujua kuandika kizungu tu ebu fatiliya kwanza
ww kweli ujielewi ujui hata kipi hasa unachokitetea humu kwa miaka yako wakati huo 19 kibongo bongo wengi kuwa na elimu gani umri huo.. ata kama kizungu kinapanda ndo ulikuwa unajua kabisa lugha ya kisheria na vifungu vyake hadi kuandikia barua za rufaa kwa kuonesha matobo ya kisheria tena kwa facts na vifungu kwenye hukumu ya mahakama ya wilaya kwa miaka 19 yako! au pengine mimi ndio sijui labda barua za kukata rufaa ya hukumu zinaandikwa kama barua ya hawara tu
 
Rufaa Ni Kama barua mkuu hapo ni huwezo wako mzuri wa kuwasilisha hoja na kujua kuandika kizungu tu ebu fatiliya kwanza
Rufaa? Hii hii rufaa?? Acha ujinga na uongo
Hapa umefeli, miaka 19 huwezi kuandika rufaa
 
Ngese sana hii dogo.
 
Rufaa Ni Kama barua mkuu hapo ni huwezo wako mzuri wa kuwasilisha hoja na kujua kuandika kizungu tu ebu fatiliya kwanza
Kiswahili hujui kizungu ndiyo utajua?
Huwezo ilitakiwa uandike uwezo.
Fatiliya ilitakiwa uandike fuatilia.

Enzi za Jiwe kuna hakimu au mtumishi yeyote ambaye angeweza kuwa upande wako?

Ulikuwa na miaka 19 na huna uzoefu wa kesi wala mambo ya mahabusu na mambo ya mahakamani huwezi kuandika rufaa ya mtuhumiwa.

Pia rufaa siyo barua,kuna lugha ya sheria na vifungu vya kisheria vinatakiwa viwepo.

Huu ni uongo mkubwa,labda kama unataka kutangaza uganga wako,wenye kesi wakutafute nao wakawaue wapelelezi wa kesi zao.
 
Ni kweli kuna watu huwa nguli wa masuala ya kisheria wanapokuwa jela lakini ni mpaka waishi humo kwa muda mrefu.

Wewe siku ulizokaa jumla ni mwezi mmoja huo uzoefu wa kuandikia watu rufaa ukaupataje?
 
Gereza ni sawa na kuzimu, nyampara kijana mdogo anampiga mzee mtu mzima bila heshima kwa kosa dogo, ila kuna ambao wanaona gereza ni paradiso, wanakula chakula cream na wana afya kuliko maisha yao ya nje. Nyampara ndio huishi vizuri gerezani
Hivi nyampara ni mfungwa mwenzako au askari magereza?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…