Mara ya kwanza kutumia vilevi tofauti tofauti haya ndio yaliyonikuta

Mara ya kwanza kutumia vilevi tofauti tofauti haya ndio yaliyonikuta

incredible terminator

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2016
Posts
2,498
Reaction score
4,162
Mara ya kwanza kutumia kilevi aina ya Ulanzi ilikuwa mwaka mwaka 2012 mkoani mbeya nilikuwa mwanafunzi shule X huko jijini mbeya tulitoroka usiku tukaenda na wanangu chimbo flani ivi wana wakaagiza ulanzi tukaanza kupiga mambo, mimi nilikuwa mgeni, ila kulikuwa na kautam flani, ajabu nashangaa silewi kama wengine walivyowahi kudai ni kilevi.

Basi bana nikala vitu kama birika moja hivi lita 1.5 ile sasa imefika time ya kuondoka ndo kimbembe kikafuata kila nikijaribu kunyanyuka ngoma haiendi joint zote za mwili nilihisi zimetenguliwa yaani kila nikinyanyuka nahisi magoti hamna mifupa, wana waliniburuza hadi shule walipofika wakapanda ukuta wakaingia wakaenda hostel wakachukua magodoro wakaja wakatandika kwa ndani kisha wakaninyanyua wakanipandisha ukutani na kunisukumia ndani kama kiroba cha mahindi maana pasipo kufanya hivyo nikikutwa nje msala utakuwa wa wote, hapa ilipita wiki nzima naumwa.

SIKU niliyovuta Weed nakumbuka ilikuwa 2015 niko mkoa X kule kilimo cha weed ni kama zao la kawaida tu wanapiga mixer weed na mahind na life nilaenda, nakumbuka siku hiyo na mwana tumejipanga tuibuke kwao kigori flani kutangaza nia ya kuchumbia jamaa angu akanambia tuvute weed ndio tutapata confidence ya kuzungumza kwa wakwe, hapo wote tukaona wazo la mwana liko dope, tukazama chimbo tukala mjani wa kutosha, ile tumetoka mimi nikaona njia nzima imejaa maji yaani kuna madimbwi ya maji kibao kila ninapokanyaga, hapo ikumbukwe ni mida ya saa nane mchana jua kali ila mwamba naona njia nzima ni madimbwi ya maji, basi kidume nikakunja suruali nikaanza kuruka njia nzima nakwepa maji yaani nilitembea kwenye pembe za barabara nikiruka huku natua kule naruka kule natua hapa.

Yote ni safari ya kwenda ukweni, kimbembe tumefika naona mji mzima uko bwawani hadi wanapoweka viti naona ni maji tupu mwamba nikarukia kwenye ukingo wa msingi wa nyumba, mda wote mazungumzo yanaendelea mwamba niko nabembea tu ukutan nikono kutafta balance ya kusimamia pembe ya ukuta, hadi mzee wa mji alipokuja akatutimulia mbali, walihisi nimerogwa maana nilikuwa ndio nimerudi nyumbani baada ya kumaliza kidato cha sita. kesho yake habari ziliosambaa nimewehuka na ilikuwa aibu ya karne kwangu.

SIKU kwanza Kunywa K VANT, ilikuwa 2017, kuna manze alinizungusha almost miezi minne ila mungu si Athuman akajaa 18 sasa mwamba nikakumbuka zile stori za vijiweni kuwa ukila vant shoo shoo, nikakimbia kwa mangi nikachukua zangu Vant chupa ndogo hapo ni baada ya kuchukua room tayari kwa ajili ya kazi maalum, nikaigudua chap kabla manzi hajafika maana tayari nilimpa location ya room namba.

Ile nimetulia dakika chache manzi kaingia, namuona huyu ila hata nguvu ya kunyanyua kinywa kumsemesha siwezi, kichwa kizito macho yanafunguka kwa shida kijasho chembamba kinatoka hapa sikumbuki kilichoendelea ila nilikuja kustuka saa11 alasiri nipo peke yangu lorge na nimelala na viatu, koti mzula saa na kila kitu, afu kichwa kinauma hatari, na sina kumbukumbu nilimelala wapi na ilikuwaje, hapo nikaanza kusearch channel za kichwa ila kumbukumbu kama inakuja alafu inakata, cha kwanza nikajikagua mifukoni na kila kitu nikajikuta niko fresh, ile kushika simu nilikutana na bonge la messege ndio lililonipa picha kamili ya tukio zima ilivyokuwa, ila majibu ni kwamba nililala usingizinikaacha dem kwenye kiti akaamua kusepa na yeye baada ya kujaribu kuniamsha bila mafanikio.

Siku nimevuta FEGI, nakumbuka hapa sio mda sana ila tulikuwa na wana tunakula zetu nyama choma na serengeti lite zimejaa meza, na madem zetu jamaa angu anakula moshi mdogo mdogo kanipasia kidogo namimi nikajikakamua nikapiga fundo moja kisha nikameza moshi alafu nkauachia kidg puani, haloooooo, yale maumivu yake niliyoyapata kifuan mda ule moshi unashuka tumboni nilihisi kuna mtu anapiga drilling kifuani alafu nilikohoa hadi ushuzi ukatoka mbele ya dem wangu ile pwu pwu puuuyuh! kudadek niliumbuka na walinicheka sana pamoja kwama dem wangu aliumizwa sana na kitendo kile na kuniasa nisirudia ila mimi kichwani mwangu niliona aibu na nilijiapiza kutorudia.

Nisiwachoshe ila vilevi vyote vilinipga matukio hadi nilipoangukia kwenye serengeti lite, na vinywaji jamii ya wine tu ndivyo ninavyotumia tu. Kama na ww ulishawahi kupigwa tukio tiririka hapa.
 
Mara ya kwanza kutumia kilevi aina ya Ulanzi ilikuwa mwaka mwaka 2012 mkoani mbeya nilikuwa mwanafunzi shule X huko jijini mbeya tulitoroka usiku tukaenda na wanangu chimbo flani ivi wana wakaagiza ulanzi tukaanza kupiga mambo, mimi nilikuwa mgeni, ila kulikuwa na kautam flani, ajabu nashangaa silewi kama wengine walivyowahi kudai ni kilevi.

Basi bana nikala vitu kama birika moja hivi lita 1.5 ile sasa imefika time ya kuondoka ndo kimbembe kikafuata kila nikijaribu kunyanyuka ngoma haiendi joint zote za mwili nilihisi zimetenguliwa yaani kila nikinyanyuka nahisi magoti hamna mifupa, wana waliniburuza hadi shule walipofika wakapanda ukuta wakaingia wakaenda hostel wakachukua magodoro wakaja wakatandika kwa ndani kisha wakaninyanyua wakanipandisha ukutani na kunisukumia ndani kama kiroba cha mahindi maana pasipo kufanya hivyo nikikutwa nje msala utakuwa wa wote, hapa ilipita wiki nzima naumwa.

SIKU niliyovuta Weed nakumbuka ilikuwa 2015 niko mkoa X kule kilimo cha weed ni kama zao la kawaida tu wanapiga mixer weed na mahind na life nilaenda, nakumbuka siku hiyo na mwana tumejipanga tuibuke kwao kigori flani kutangaza nia ya kuchumbia jamaa angu akanambia tuvute weed ndio tutapata confidence ya kuzungumza kwa wakwe, hapo wote tukaona wazo la mwana liko dope, tukazama chimbo tukala mjani wa kutosha, ile tumetoka mimi nikaona njia nzima imejaa maji yaani kuna madimbwi ya maji kibao kila ninapokanyaga, hapo ikumbukwe ni mida ya saa nane mchana jua kali ila mwamba naona njia nzima ni madimbwi ya maji, basi kidume nikakunja suruali nikaanza kuruka njia nzima nakwepa maji yaani nilitembea kwenye pembe za barabara nikiruka huku natua kule naruka kule natua hapa.

Yote ni safari ya kwenda ukweni, kimbembe tumefika naona mji mzima uko bwawani hadi wanapoweka viti naona ni maji tupu mwamba nikarukia kwenye ukingo wa msingi wa nyumba, mda wote mazungumzo yanaendelea mwamba niko nabembea tu ukutan nikono kutafta balance ya kusimamia pembe ya ukuta, hadi mzee wa mji alipokuja akatutimulia mbali, walihisi nimerogwa maana nilikuwa ndio nimerudi nyumbani baada ya kumaliza kidato cha sita. kesho yake habari ziliosambaa nimewehuka na ilikuwa aibu ya karne kwangu.

SIKU kwanza Kunywa K VANT, ilikuwa 2017, kuna manze alinizungusha almost miezi minne ila mungu si Athuman akajaa 18 sasa mwamba nikakumbuka zile stori za vijiweni kuwa ukila vant shoo shoo, nikakimbia kwa mangi nikachukua zangu Vant chupa ndogo hapo ni baada ya kuchukua room tayari kwa ajili ya kazi maalum, nikaigudua chap kabla manzi hajafika maana tayari nilimpa location ya room namba.

Ile nimetulia dakika chache manzi kaingia, namuona huyu ila hata nguvu ya kunyanyua kinywa kumsemesha siwezi, kichwa kizito macho yanafunguka kwa shida kijasho chembamba kinatoka hapa sikumbuki kilichoendelea ila nilikuja kustuka saa11 alasiri nipo peke yangu lorge na nimelala na viatu, koti mzula saa na kila kitu, afu kichwa kinauma hatari, na sina kumbukumbu nilimelala wapi na ilikuwaje, hapo nikaanza kusearch channel za kichwa ila kumbukumbu kama inakuja alafu inakata, cha kwanza nikajikagua mifukoni na kila kitu nikajikuta niko fresh, ile kushika simu nilikutana na bonge la messege ndio lililonipa picha kamili ya tukio zima ilivyokuwa, ila majibu ni kwamba nililala usingizinikaacha dem kwenye kiti akaamua kusepa na yeye baada ya kujaribu kuniamsha bila mafanikio.

Siku nimevuta FEGI, nakumbuka hapa sio mda sana ila tulikuwa na wana tunakula zetu nyama choma na serengeti lite zimejaa meza, na madem zetu jamaa angu anakula moshi mdogo mdogo kanipasia kidogo namimi nikajikakamua nikapiga fundo moja kisha nikameza moshi alafu nkauachia kidg puani, haloooooo, yale maumivu yake niliyoyapata kifuan mda ule moshi unashuka tumboni nilihisi kuna mtu anapiga drilling kifuani alafu nilikohoa hadi ushuzi ukatoka mbele ya dem wangu ile pwu pwu puuuyuh! kudadek niliumbuka na walinicheka sana pamoja kwama dem wangu aliumizwa sana na kitendo kile na kuniasa nisirudia ila mimi kichwani mwangu niliona aibu na nilijiapiza kutorudia.

Nisiwachoshe ila vilevi vyote vilinipga matukio hadi nilipoangukia kwenye serengeti lite, na vinywaji jamii ya wine tu ndivyo ninavyotumia tu. Kama na ww ulishawahi kupigwa tukio tiririka hapa.

Dah we mwamba umenifanya nicheke kifala Sana dah...

Kwahiyo dem kaja mdomo haufunguki na macho Yana fumba yenyewe hahaha
 
Daaaah, heshimu gongo...!..

siku ya kwanza kuionja tuliruka fensi ya bwenini kwetu (form 6) tukaenda kwa mama mmoja hivyi hadi leo sipakumbuki vizuri ........ile tumepiga kitu cheupe mimi sikijui vile kichungu na kikali ila baadae kinakua kitamu saa 2 usiku mpaka saa 6 (nilisimuliwa maana sikujitambua) baada ya kurudi nikaenda kwa patron kumtukana......

kiufupi mtihani wa mwisho niliufanyia nje ya shule kama pc, baada ya shule nzima kunifahamu
 
Siku ya kwanza kunywa pombe noma pande za kimara korongwe kulikua na bar moja ina hit sana kipnd hicho daah weewh achaaa achana na mnyma valuu hii pombe sijui nan aliiletaa kwenye uso wa dunia maana noma Sana baada ya chupa kazaa nikaaga naenda toilet a aaaaah Mbona wana walinikuta nipo kimara bucha stand napiga debeee...........
Weed za mosh noma my first time nipo form one najifanya ganster nimetoka dar nawaona watu pori kama wa shamba si nikajiachanganya na wahuni wa kijiij nomaa sana nikapelekwaa kwa raster moja hiv yeye chumba chake ndo packing ya magunia ya bangi anasafirisha kwenda town mean ndo biashara yakee usiombee hii kitu usijaribu kama upo kindez maana hapa sio kuvuta ni kuvuna bangi.....yaani kililetwaa kiroba kizmaa na viberit kama ishirini hivi ilipigwaa shoo Kali sanaa....kimbembe shule nilitoka kwa kuruka ukuta ahahahah kurudi mbona nilipita getini maana nilikuta ukutaa mrefuuuuu balaaaaaaaa........mlinz akajidakiaaaa tuuuu .....
 
Huu Uzi unachekesha balaa
images-512.jpg
 
Siku ya kwanza kunywa pombe noma pande za kimara korongwe kulikua na bar moja ina hit sana kipnd hicho daah weewh achaaa achana na mnyma valuu hii pombe sijui nan aliiletaa kwenye uso wa dunia maana noma Sana baada ya chupa kazaa nikaaga naenda toilet a aaaaah Mbona wana walinikuta nipo kimara bucha stand napiga debeee...........
Weed za mosh noma my first time nipo form one najifanya ganster nimetoka dar nawaona watu pori kama wa shamba si nikajiachanganya na wahuni wa kijiij nomaa sana nikapelekwaa kwa raster moja hiv yeye chumba chake ndo packing ya magunia ya bangi anasafirisha kwenda town mean ndo biashara yakee usiombee hii kitu usijaribu kama upo kindez maana hapa sio kuvuta ni kuvuna bangi.....yaani kililetwaa kiroba kizmaa na viberit kama ishirini hivi ilipigwaa shoo Kali sanaa....kimbembe shule nilitoka kwa kuruka ukuta ahahahah kurudi mbona nilipita getini maana nilikuta ukutaa mrefuuuuu balaaaaaaaa........mlinz akajidakiaaaa tuuuu .....
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Una kichwa chepesii au akili ndogo ndo maana ukinywa inashindwa kuhimili vitu vikali.
Pombe sio yako usinywe mkuu.
Sio kila mtu anapendwa na pombe.
Sure..inasemekana mtu mwenye brain smart a.k.a magenius ngumu sana kumkuta kalewa..inasemekana ni utafiti wa kisayansi kabisa! Ukiona bia 3 tu ushalanduka hata class wewe ni hohehahe😒
 
Mara ya kwanza kutumia kilevi aina ya Ulanzi ilikuwa mwaka mwaka 2012 mkoani mbeya nilikuwa mwanafunzi shule X huko jijini mbeya tulitoroka usiku tukaenda na wanangu chimbo flani ivi wana wakaagiza ulanzi tukaanza kupiga mambo, mimi nilikuwa mgeni, ila kulikuwa na kautam flani, ajabu nashangaa silewi kama wengine walivyowahi kudai ni kilevi.

Basi bana nikala vitu kama birika moja hivi lita 1.5 ile sasa imefika time ya kuondoka ndo kimbembe kikafuata kila nikijaribu kunyanyuka ngoma haiendi joint zote za mwili nilihisi zimetenguliwa yaani kila nikinyanyuka nahisi magoti hamna mifupa, wana waliniburuza hadi shule walipofika wakapanda ukuta wakaingia wakaenda hostel wakachukua magodoro wakaja wakatandika kwa ndani kisha wakaninyanyua wakanipandisha ukutani na kunisukumia ndani kama kiroba cha mahindi maana pasipo kufanya hivyo nikikutwa nje msala utakuwa wa wote, hapa ilipita wiki nzima naumwa.

SIKU niliyovuta Weed nakumbuka ilikuwa 2015 niko mkoa X kule kilimo cha weed ni kama zao la kawaida tu wanapiga mixer weed na mahind na life nilaenda, nakumbuka siku hiyo na mwana tumejipanga tuibuke kwao kigori flani kutangaza nia ya kuchumbia jamaa angu akanambia tuvute weed ndio tutapata confidence ya kuzungumza kwa wakwe, hapo wote tukaona wazo la mwana liko dope, tukazama chimbo tukala mjani wa kutosha, ile tumetoka mimi nikaona njia nzima imejaa maji yaani kuna madimbwi ya maji kibao kila ninapokanyaga, hapo ikumbukwe ni mida ya saa nane mchana jua kali ila mwamba naona njia nzima ni madimbwi ya maji, basi kidume nikakunja suruali nikaanza kuruka njia nzima nakwepa maji yaani nilitembea kwenye pembe za barabara nikiruka huku natua kule naruka kule natua hapa.

Yote ni safari ya kwenda ukweni, kimbembe tumefika naona mji mzima uko bwawani hadi wanapoweka viti naona ni maji tupu mwamba nikarukia kwenye ukingo wa msingi wa nyumba, mda wote mazungumzo yanaendelea mwamba niko nabembea tu ukutan nikono kutafta balance ya kusimamia pembe ya ukuta, hadi mzee wa mji alipokuja akatutimulia mbali, walihisi nimerogwa maana nilikuwa ndio nimerudi nyumbani baada ya kumaliza kidato cha sita. kesho yake habari ziliosambaa nimewehuka na ilikuwa aibu ya karne kwangu.

SIKU kwanza Kunywa K VANT, ilikuwa 2017, kuna manze alinizungusha almost miezi minne ila mungu si Athuman akajaa 18 sasa mwamba nikakumbuka zile stori za vijiweni kuwa ukila vant shoo shoo, nikakimbia kwa mangi nikachukua zangu Vant chupa ndogo hapo ni baada ya kuchukua room tayari kwa ajili ya kazi maalum, nikaigudua chap kabla manzi hajafika maana tayari nilimpa location ya room namba.

Ile nimetulia dakika chache manzi kaingia, namuona huyu ila hata nguvu ya kunyanyua kinywa kumsemesha siwezi, kichwa kizito macho yanafunguka kwa shida kijasho chembamba kinatoka hapa sikumbuki kilichoendelea ila nilikuja kustuka saa11 alasiri nipo peke yangu lorge na nimelala na viatu, koti mzula saa na kila kitu, afu kichwa kinauma hatari, na sina kumbukumbu nilimelala wapi na ilikuwaje, hapo nikaanza kusearch channel za kichwa ila kumbukumbu kama inakuja alafu inakata, cha kwanza nikajikagua mifukoni na kila kitu nikajikuta niko fresh, ile kushika simu nilikutana na bonge la messege ndio lililonipa picha kamili ya tukio zima ilivyokuwa, ila majibu ni kwamba nililala usingizinikaacha dem kwenye kiti akaamua kusepa na yeye baada ya kujaribu kuniamsha bila mafanikio.

Siku nimevuta FEGI, nakumbuka hapa sio mda sana ila tulikuwa na wana tunakula zetu nyama choma na serengeti lite zimejaa meza, na madem zetu jamaa angu anakula moshi mdogo mdogo kanipasia kidogo namimi nikajikakamua nikapiga fundo moja kisha nikameza moshi alafu nkauachia kidg puani, haloooooo, yale maumivu yake niliyoyapata kifuan mda ule moshi unashuka tumboni nilihisi kuna mtu anapiga drilling kifuani alafu nilikohoa hadi ushuzi ukatoka mbele ya dem wangu ile pwu pwu puuuyuh! kudadek niliumbuka na walinicheka sana pamoja kwama dem wangu aliumizwa sana na kitendo kile na kuniasa nisirudia ila mimi kichwani mwangu niliona aibu na nilijiapiza kutorudia.

Nisiwachoshe ila vilevi vyote vilinipga matukio hadi nilipoangukia kwenye serengeti lite, na vinywaji jamii ya wine tu ndivyo ninavyotumia tu. Kama na ww ulishawahi kupigwa tukio tiririka hapa.
🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom