Lamentations
JF-Expert Member
- Mar 12, 2023
- 285
- 848
haya mambo mnayatoa wapi hivi?
upendo wa wazazi kwa mtoto au watoto ni kimatendo zaidi
upendo wa wazazi kwa mtoto au watoto ni kimatendo zaidi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnaiga umagharibi na hizo gender studies zenu halafu mnataka kuyaleta Africa. Magharibi kumeoza chakushangaza eti ndio mifano yetu. Unafikiri mtoto hana inteligensia kichwani, anayo tangu miaka 3.Salam Wakuu,
Katika malezi ni muhimu sana mtoto ajihisi kupendwa na wazazi wake ama na yoyote anayemlea. Ni ngumu kwa mzazi/mlezi kuwapenda watoto wote sawa, lakini ni muhimu kwa watoto wote kujihisi wanapendwa na kujaliwa na wazazi/walezi wao.
Mtoto anayepata mapenzi na upendo kutoka wa wazazi wake; kwanza anakuwa huru kueleza changamoto zake pale anapokwama, lakini pia ni rahisi kwa wewe mzazi kugundua mapema kama kuna tatizo kubwa linamsumbua hata asiposema, sababu tayari una ukaribu naye kiasi cha kuona tofauti pindi asipokuwa sawa.
Mtoto anafikisha mpaka miaka 15 hajawahi kusikia hata siku moja mama au baba yake wake anamwambia anampenda, mtoto huyu akikutana na mtu akaonyesha kumjali na kumpa upendo wa kuziba nafasi yako unafikiri atashindwa kumrubuni?
Na usitegemee kwamba wa kumrubuni anaweza akawa kwenye mazingira ya hapo karibu tu, mtoto wako anaweza kupata rafiki mtandaoni ambae ataona kuna mwanya huo akautumia vizuri. Mwanzo ataanza kumuonesha upendo na mapenzi, na mtoto akishamuamini ni rahisi kumfanyia chochote. Wengine wanaweza kwenda mbali kabisa mtoto akatekwa ukibahatika kumpata ni maiti, lakini hayo ilifikaje huko, ni kwa sababu mtu alipata mwanya ambao ni wajibu wako kuufanya akautumia vizuri.
Na ikishatokea hivyo mtoto wala hatakwambia kuwa nimekutana na mtu amesema moja, mbili, tatu kwasababu atakuwa mtu muhimu kwake anaemtendea vema kuliko wazazi wake, kwanini asimuamini zaidi na kuhamisha upendo, mapenzi na kumthamini mtu huyo kuliko wazazi wake?
Kibaya ni kwamba mtu huyo aliyeaminiwa anaweza kufanya ukatili kwa mtoto wako wala usijue, mpaka unakuja kushtuka unakuwa umechelewa, mtoto ameshaharibiwa kwa miaka na wewe upo hapo hapo, wakati ungetoa muda wako na kuonesha upendo kwa mtoto wako ungeweza kuepusha mambo mengi.
Kuna watu wapo azma yao ni kutafuta watoto kuwafanyia ukatili ama kuwafanya bidhaa kwa watu wengine wenye matamanio hayo maovu, wengine wanaweza kuwa ni wafanyabishara haramu ya viungo vya binadamu, anakuja kuziba nafasi yako vizuri, anampa mtoto upendo wako wote lakini lengo lake sio kusaidia, tuwe makini.
Mzazi unafurahi na kuhadithia kabisa, yaani mtoto wangu anampenda fulani kuliko mimi, nikimuacha kwake nafanya kazi zote hata hasumbui, JITAFAKARI. Wazazi hasa wanaume wanaona hili halina maana, tubadilike. Mtoto wako wa kike au wa kiume akijua baba na mama wananipenda unatengeneza ukaribu kati yenu na kufanya iwe ngumu kurubuniwa na watu wengine na kumuepusha na vitu vingine vibaya vinavyoweza kutokea, tuwe macho.
Narudisha swali kwenu wazazi na walezi, mara ya mwisho kumwambia mtoto wako unampenda ni lini?
Ni kweli, na ni muhimu pia akajua. Usije kuashum kuwa anajua sababu tu unatimiza wajibu wako kama babaMtoto muoneshe Kwa Vitendo upendo atauona tu . Kumtamkia unampenda haitoshi
Umejuaje kama wanajua? Kama kila siku anakuuliza hivyo huoni kunashida yoyote?Mi siwaambii ila wanajua nawapenda. Kuna huyu wa kiume ye ndo huwa kila mara lazima aniambie "mama nakupenda".Mdogo wake pia akimaliza ananiuliza "mama na we unanipenda?"
Mbali na matendo akisikia kutoka kwako ni vizuri zaidi.... Si kwa ubaya, ni kumhakikishia upo hapo kwa ajili yao. Inaweza ukawa unaashumu wao wanajua lakini ikawa siyo hivyo. Tujitahidi kuongea na watoto wetuhaya mambo mnayatoa wapi hivi?
upendo wa wazazi kwa mtoto au watoto ni kimatendo zaidi
Kumwambia mtoto wako unampenda ni kuiga umagharibi? Halafu mtoto akikua akiwa anampenda mzazi mmoja mnaanza kulaumu. Mbali na kutimiza majukumu yako kuhakikisha anavaa, kula nk, unaongea na mwanao? Mtoto wako anafeel your presence kwao?Mnaiga umagharibi na hizo gender studies zenu halafu mnataka kuyaleta Africa. Magharibi kumeoza chakushangaza eti ndio mifano yetu. Unafikiri mtoto hana inteligensia kichwani, anayo tangu miaka 3.
Kumwambia mtoto wako unampenda ni kuiga umagharibi? Halafu mtoto akikua akiwa anampenda mzazi mmoja mnaanza kulaumu. Mbali na kutimiza majukumu yako kuhakikisha anavaa, kula nk, unaongea na mwanao? Mtoto wako anafeel your presence kwao?
Nimwambie nampenda ili iweje? Ataambiwa na mama yake! Kwangu mimi ni utani kidogo na bakora kwa mbali..Salam Wakuu,
Katika malezi ni muhimu sana mtoto ajihisi kupendwa na wazazi wake ama na yoyote anayemlea. Ni ngumu kwa mzazi/mlezi kuwapenda watoto wote sawa, lakini ni muhimu kwa watoto wote kujihisi wanapendwa na kujaliwa na wazazi/walezi wao.
Mtoto anayepata mapenzi na upendo kutoka wa wazazi wake; kwanza anakuwa huru kueleza changamoto zake pale anapokwama, lakini pia ni rahisi kwa wewe mzazi kugundua mapema kama kuna tatizo kubwa linamsumbua hata asiposema, sababu tayari una ukaribu naye kiasi cha kuona tofauti pindi asipokuwa sawa.
Mtoto anafikisha mpaka miaka 15 hajawahi kusikia hata siku moja mama au baba yake wake anamwambia anampenda, mtoto huyu akikutana na mtu akaonyesha kumjali na kumpa upendo wa kuziba nafasi yako unafikiri atashindwa kumrubuni?
Na usitegemee kwamba wa kumrubuni anaweza akawa kwenye mazingira ya hapo karibu tu, mtoto wako anaweza kupata rafiki mtandaoni ambae ataona kuna mwanya huo akautumia vizuri. Mwanzo ataanza kumuonesha upendo na mapenzi, na mtoto akishamuamini ni rahisi kumfanyia chochote. Wengine wanaweza kwenda mbali kabisa mtoto akatekwa ukibahatika kumpata ni maiti, lakini hayo ilifikaje huko, ni kwa sababu mtu alipata mwanya ambao ni wajibu wako kuufanya akautumia vizuri.
Na ikishatokea hivyo mtoto wala hatakwambia kuwa nimekutana na mtu amesema moja, mbili, tatu kwasababu atakuwa mtu muhimu kwake anaemtendea vema kuliko wazazi wake, kwanini asimuamini zaidi na kuhamisha upendo, mapenzi na kumthamini mtu huyo kuliko wazazi wake?
Kibaya ni kwamba mtu huyo aliyeaminiwa anaweza kufanya ukatili kwa mtoto wako wala usijue, mpaka unakuja kushtuka unakuwa umechelewa, mtoto ameshaharibiwa kwa miaka na wewe upo hapo hapo, wakati ungetoa muda wako na kuonesha upendo kwa mtoto wako ungeweza kuepusha mambo mengi.
Kuna watu wapo azma yao ni kutafuta watoto kuwafanyia ukatili ama kuwafanya bidhaa kwa watu wengine wenye matamanio hayo maovu, wengine wanaweza kuwa ni wafanyabishara haramu ya viungo vya binadamu, anakuja kuziba nafasi yako vizuri, anampa mtoto upendo wako wote lakini lengo lake sio kusaidia, tuwe makini.
Mzazi unafurahi na kuhadithia kabisa, yaani mtoto wangu anampenda fulani kuliko mimi, nikimuacha kwake nafanya kazi zote hata hasumbui, JITAFAKARI. Wazazi hasa wanaume wanaona hili halina maana, tubadilike. Mtoto wako wa kike au wa kiume akijua baba na mama wananipenda unatengeneza ukaribu kati yenu na kufanya iwe ngumu kurubuniwa na watu wengine na kumuepusha na vitu vingine vibaya vinavyoweza kutokea, tuwe macho.
Narudisha swali kwenu wazazi na walezi, mara ya mwisho kumwambia mtoto wako unampenda ni lini?
Mwisho wa siku uje kulalamika mtoto anampenda sana mama ake kuliko wewe?Nimwambie nampenda ili iweje? Ataambiwa na mama yake! Kwangu mimi ni utani kidogo na bakora kwa mbali..
Unamuonyeshaje mapenzi ya baba Mkuu?Acheni mambo ya kuiga. Eti mimi baba nianze kumwambia dogo "nakupenda". Wajibu wangu ni kumuonyesha mapenzi ya baba
Makid ya now days. kizazi cha pampas. unawezaliambia litoto la kike likaona Mshua kaelewa Mzigo. Kifuatacho sasa!! hutakaa uamini. labda hizi zifanyike huko masaki,capripoint,forest, uhidini na place kaa hizo. lakini mbagala,bugalika,Matola, nyihogo, kanyenye,sombetini,Chogo au buzebazeba? utaishia kuchumishwa tunda na utalila tu kama Mwanangu Adamu wa pande za Eden mapindi yaleUsimwambie mtoto unampenda. Are you a crazy Westerner,or what?
Hakikisha anapata mahitaji muhimu, nguo kali, shule nzuri english medium, chakula kizuri, kumtomkaripia bila sababu ya maana, outing, kumpenda mama yake,kumfundisha kazi, kumjenga kiimani, kumtengenezea vision nk. Sio eti mwanangu Benard nakupenda.....kwanza dogo wangu ataniona nimeanza kudataUnamuonyeshaje mapenzi ya baba Mkuu?
Unafikiri wanaolalamika watoto wao hawaoni mchango wao na kuona mchango wa mama pekee hawafanyi yote hayo?Hakikisha anapata mahitaji muhimu, nguo kali, shule nzuri english medium, chakula kizuri, kumtomkaripia bila sababu ya maana, outing, kumpenda mama yake,kumfundisha kazi, kumjenga kiimani, kumtengenezea vision nk. Sio eti mwanangu Benard nakupenda.....kwanza dogo wangu ataniona nimeanza kudata