Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
- Thread starter
- #41
mwambie kabisa aombe huko pm ila sio hadharani mzee na asitegemee kupata kazi humu sikuiz humu ni kama kijiwe cha bodaboda kuna watu wamekaa na cv za watu humu watu wanalalamika sana 😂😂😂Soma dogo ukimaliza uje uombe kazi humu sio kuja kutafuta wanawake