mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
kabisa shangazi sintosahau wosia wako.... 😂Somo dogo, pisi zitakupenda ukiwa na hela tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kabisa shangazi sintosahau wosia wako.... 😂Somo dogo, pisi zitakupenda ukiwa na hela tu
Na mjomba ake hapoHakika shangazi mtu
Ok sawa......ila mimi sina sjaona kitu muhim apa duniani mpaka nisave nambaWowote tu
Ndio ndioHakika shangazi mtu
Yupi?Na mjomba ake hapo
Hata shangazi ni babaNdio ndio
Ahahaha wewe uhoni dishi limeyumba anaacha kwenda chooni kukujoa yeye anakojoa njiani tena sowetoAtajiongeza kama awez jiongeza hiyo shule haijamsaidia had sasa bora aache
Wewe hapo 😂😂Yupi?
Good boy👏kabisa shangazi sintosahau wosia wako.... 😂
Kwahiyo unaseve kwasababu ipiOk sawa......ila mimi sina sjaona kitu muhim apa duniani mpaka nisave namba
dogo **** sana 😂Ahahaha wewe uhoni dishi limeyumba anaacha kwenda chooni kukujoa yeye anakojoa njiani tena soweto
Unakuta majina yamejaa halafu yote yanakuangalia wewe kama msaada kwao..Wewe sasa ndio mtanzania sawa na mimi na kama mchongo naona mswahili nafuta namba
Ahahahah siku nyingine ukija kukamatwa na city usinisumbue msumbue mjomba wako Half americandogo **** sana 😂
Huwa na siku maalumu ya kufuta nambaUnakuta majina yamejaa halafu yote yanakuangalia wewe kama msaada kwao..
Sina mjomba wa hivyo mimiAhahahah siku nyingine ukija kukamatwa na city usinisumbue msumbue mjomba wako Half american
HUyu mtoto ana kitu 😅 atafika mbaliGood boy👏
Utafika mbali
KomaaWewe hapo 😂😂
🤣🤣Ahahaha wewe uhoni dishi limeyumba anaacha kwenda chooni kukujoa yeye anakojoa njiani tena soweto