mjenziwakale
JF-Expert Member
- Sep 24, 2015
- 954
- 1,469
Basi ngoja nikuache.....unajua afya yako kivipi hvi unajua magonjwa yapo mengi mnooo wewe, kujua HIV status tu ndo utakuwa umejua afya yako!!!!kwa taarifa yako sijawahi kupima toka nizaliwe na sina wasiwasi naporuka bila kondomu......wewe utakuwa below 25 kwa akili hziunakuwa unajua
.afya yako af unakuwa huna wasiwasi ata ukiluka bila kondom
njoo nikupime mimi sitotoa majibu kwa mtu yoyoteSijawahi kupima
Najiamini that's why
tusidanganyane bhna ww umalize mwezi ujapiga mh hapnaaaaaMoja au wawili, wakati mwingine naweza kaaa mwezi mzima sijapiga
kwani ulitangaziwa umeisha? mnachokitafuta mtakipatakama ukimwi
hupo au ndio ulipotea zambia
sawa mkuu kila mtu na mtazamo wakeBasi ngoja nikuache.....unajua afya yako kivipi hvi unajua magonjwa yapo mengi mnooo wewe, kujua HIV status tu ndo utakuwa umejua afya yako!!!!kwa taarifa yako sijawahi kupima toka nizaliwe na sina wasiwasi naporuka bila kondomu......wewe utakuwa below 25 kwa akili hzi
ila hatuamin kama upokwani ulitangaziwa umeisha? mnachokitafuta mtakipata
Mana unaweza kupata unachokitafuta πHaitakiwi kupima Mara kwa Mara mkuu
π Nlijaribu Ile challenge ya kukaaa bila kuslide nikakaaa siku 75(miezi miwili na nusu) bila kunyonga demutusidanganyane bhna ww umalize mwezi ujapiga mh hapnaaaaa
2018 nilipotaka kufanya operesheni nilipimaahahhaha mbona kawaida ni vile sina muda.ningekuwa napima kila siku
okooπ Nlijaribu Ile challenge ya kukaaa bila kuslide nikakaaa siku 75(miezi miwili na nusu) bila kunyonga demu
wewe chovya chovya tu ukiukwaa utapimwa utajulikana kaz kwako kuamua kua kila shimo umo au utulize kifanyiohapana
ila hatuamin kama upo
Sishiriki ngono kwa hiyo sijapima muda mrefu.
2018 nilipotaka kufanya operesheni nilipima
oh vzr ila mwaka uh bado why hospitalMm mara ya mwisho ilikuwa mwaka jana mwishoni hv nilipoenda hospitali kuchangia damu then nikapigiwa kuja kuchukua majibu
Kwa ubize nilio nao sipati muda wa kufanya hivyo. Labda niote ndotoni.kwahy unatibuje mahitaji yako ya kimwili
π€£π€£π€£ ahahah sawa mama mkwe sipimi tenawewe chovya chovya tu ukiukwaa utapimwa utajulikana kaz kwako kuamua kua kila shimo umo au utulize kifanyio
tupiga bhna kwamba ww dereva wa rais ππKwa ubize nilio nao sipati muda wa kufanya hivyo. Labda niote ndotoni.
Mkuu, suala la ujasiriamali lisikie tu, kila kitu ni one man army. Hakuna muda hata wa mahusiano au mambo yasiyo na tija.ahahahah una
tupiga bhna kwamba ww dereva wa rais ππ