Matendo yako ndiyo anguko lako! Kama unafanya zinaa hovyo bila tahadhari, unapaswa si kupima tu bali kuwasilisha gharama za mazishi yako kwa mwanasheria kabla hujafa!Nina mwaka sijapima ila leo nimeamua kupima natumia kipimo hiki cha mate vipimo vya kutoboana na sindano kwangu sivipendi.
Je, wewe mara ya mwisho kupima lini kama ujapima pima?
View attachment 3088593
aside juaa maana haambiwilabda kwa mtombwaj sio mtiaj.. ile kitu nyama kwa nyamaa acha kabisaaa.. usipime utamu wake
ahahha babu umetishaBinafsi huwa nina utaratibu wa kupima mara Kwa mara, na mara ya mwisho nilipima Mwezi July, 2024
Ila nimegundua DSM, pamoja na kupima HIV na Mpenzi wako Kuna haja mkapima na magonjwa mwengine ya UTI, na Gonorrhea
UTI ya DSM, nadhani ndiyo UTI Kali kuliko zote Tanzania hii
Ile UTI hata kama unampiga Katerero mpenzi wako, hakikisha unatumia Kondomu ndiyo umpige, vinginevyo utaondoka nayo tu 🙌
ahhaa labda nikichez lafuUnachokitafuta utakipata
uwakikaFor every meet!
View attachment 3088633
ahahah kabisa mkuu wake wawili wanatosha.kabisaHuamini kuwa kuna watu hawachepuki?
Au kila mtu akili ya madem tu I have 2 wives and I'm happy 😊
Najua inaweza kuja kwa njia yoyote lakini asilimia kubwa ni ngono zembe
Nimeishazeeka boss wangu
ahhaah bas naomba lambilambi yanguMatendo yako ndiyo anguko lako! Kama unafanya zinaa hovyo bila tahadhari, unapaswa si kupima tu bali kuwasilisha gharama za mazishi yako kwa mwanasheria kabla hujafa!
embu pima uhuu mwakaAugust 2024, nilienda kuchangia damu
Unachokitafuta utakipataNina mwaka sijapima ila leo nimeamua kupima natumia kipimo hiki cha mate vipimo vya kutoboana na sindano kwangu sivipendi.
Je, wewe mara ya mwisho kupima lini kama ujapima pima?
View attachment 3088593
ndio hujuiUkimwi Bado upo...?
Hahaha.............. tahadhali muhimu Mkuuahahha babu umetisha
lini naweza kukipataUnachokitafuta utakipata
Hahahaahhaahlini naweza kukipata
kabisa mkuuHahaha.............. tahadhali muhimu Mkuu
Sana tu na visa vya kijinga hakunaahahah kabisa mkuu wake wawili wanatosha.kabisa
Binafsi huwa nina utaratibu wa kupima mara Kwa mara, na mara ya mwisho nilipima Mwezi July, 2024
Ila nimegundua DSM, pamoja na kupima HIV na Mpenzi wako Kuna haja mkapima na magonjwa mwengine ya UTI, na Gonorrhea
UTI ya DSM, nadhani ndiyo UTI Kali kuliko zote Tanzania hii
Ile UTI hata kama unampiga Katerero mpenzi wako, hakikisha unatumia Kondomu ndiyo umpige, vinginevyo utaondoka nayo tu 🙌
Lambilambi ni nini?ahhaah bas naomba lambilambi yangu
Kwani hiyo August 2024 ni mwaka gani? Nachangia damu Kila baada ya miezi minne.embu pima uhuu mwaka