Mshuza2
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 11,261
- 17,202
Najua wengi wetu tuko mijini kiutafutaji,lakini kiasili tuna maeneo yetu ya asili ambayo tunatokea,wengine husema kwenye asili ya ukoo.binafsi weekend iliyopita nilikua huko.
Haijalishi kama babu na bibi walishafariki au la lakini bado naamini kuna ndugu wapo..je unakumbuka mara ya mwisho kwenda kijijini kwenu ni lini?
Haijalishi kama babu na bibi walishafariki au la lakini bado naamini kuna ndugu wapo..je unakumbuka mara ya mwisho kwenda kijijini kwenu ni lini?