Mara yako ya kwanza kutongoza/kutongozwa ilikuwaje?

Mara yako ya kwanza kutongoza/kutongozwa ilikuwaje?

Nakumbuka nikiwa darasa la nne kulikuwa na wadada wawili marafiki sana walioshibana sasa kila mmoja akawa ananitaka ki mpango wake, na shule nilijulikana kwa vitu viwili, 1.Kuchelewa 2. na kushika namba moja kwa kila mtihani mpaka namaliza darasa la 7,

Basi wale wadada walikuwa wamenizidi madarasa mawili ila kiumri nilikuwa nimewazidi maana nilichelewa kuanza shule kisa kamali za karata (chafu tatu)
So siku moja kila mmoja akanifuata ki mpango wake kwa kuniambia anatamani tuwe wapenzi tena kwa kunipa vijisent

Me kutokana na ushamba harafu ndio mara yangu ya kwanza nikawa naogopa nikawa nawakwepa, wakiandika barua wakizituma sijibu, ikatokea siku moja mwanafunzi wa shuleni akafariki basi tukatawanyishwa mapema na njia ya kwenda home ilikuwa lazima upitie msitu wa secondary furani hivi, mmoja wa wale mademu akanifuata nyuma nyuma nilipofika kwa ule msitu nilikuwa peke yangu akanishika mkono akaanza kunikumbatia mara busu za lazima akanivuta mstuni ndani akavua nguo ile namuona uchi wake aisee nilikimbia mbio naogopa,

Rafiki yake alipofahamu kilicho tokea walizibuana wakawa maadui mpaka kwa wazazi maana waliishi karibu karibu.
Mpaka leo hii ukubwani tukikutana wananisimanga kuwa me domo zege,
mmoja amesha olewa, mwezake ndo kahaba wa kujiuza kwenye majiji makubwa huko
Nilizushiwa naendana na kademu kamoja hvi kila kona skuli wanatutania mimi na yule demu, nikajisemea apa acha niitumie hii chance ishu ikaja naanzaje???Namwambia nini?

Nikawazaaa nikaona huyu acha nitumie njia yetu ile nikachukua daftari langu nikachana katikati nikawa na karatasi kubwaaa ..... Sasa hapo naandika nini likawa swali jingine gumu kichwani mwangu nikaona nikimshirikisha mtu yeyote nitachekwa na ukikumbuka miaka hyo sio mchezo.

Naanza kuandika "Mimi nakupenda Sana nimevutiwa na wewe siku nyingi naomba uwe wa maisha yangu " hapo swaga zikawa zimeisha ile karatasi haijafka hata robo nikaona isiwe kesi ile space yote iliyobaki kwenye karatasi nikachora luv(kopa) kubwaaa kujaza karatasi yote halafu nikachora na mshale katikati.

Nikampa mwamba mmoja apeleke hyo tupo form nyoya apo basi nimekaa nasklizia majibu mara naona anakuja demu na marafiki zake kama 8 hvi nikasema leo kweli Mkulungwa03 nimepatikana wakafika nilipo huku wakicheka hatar kuwa eti ndo huyu kaandika kile kibarua cha kunitongoza DUUUH nilichekwa Hadi nikaichukia shule nikawa mtu wa kujificha Hadi clas kuzama naogopa ila nikajitaidi kujikaza likaisha hilo swala na mtoto hata sikumpata😂😁
 
First Time yangu kutongoza Ilinipa Funzo la Karma, What goes around alwayz comes back around asee

First time kutongoza niko pre form one, dem alikua mtoto wa mwalimu mweupee mkali kinoma shule nzima hakukua na pisi kama yeye,
Huyu binti Nilisoma nae Primary, alihamia tukiwa darasa la 6... Nilimzimia kinyama ila nilikua jeuri sikuwahi mtongoza primary yote.

Huko Primary Wana sasa walikuwa wanajitutumua wanapigwa kibuti, mpaka akaja mwana mmoja tulimuita mr. Misifa akamtokea dem akamuelewa wakajidetisha moaka tunamaliza la 7...

Basi, tukamaliza la saba
Pre form sasa baada ya kusikiliza sikiliza nyimbo za westlife na Celline Dion, akina Chriss Brown na Tyga nikajikuta mnyamwezi kimtindo na kingereza cha kwenye movie basi nkasema ngoja nmrukie binti...kwa hiki kingereza huenda akaelewa.

Ebhna niLikua nachat chat nae kawaida siku nyingi ila siku moja nikajilipua nikatuma text yangu mwenyewe ya mapendo ya kingereza huku nikiamini mtoto wa mwalimu anaweza akawa wangu

Lakini baada ya ile text Binti alinijibu "Sikuelewi unasemaje, English ya mtaani huwa siilewi"
Daaah Nilipigika moyoni kinoma, nikaona basi bhana suala la mapenzi na huyu Binti limefilisika tukabaki marafiki tuuu
Wakayi huohuo nasikia maneno kwa wadau kuwa Binti wanawachanganya Mr. Misifa na jamaa mmoja hivi mtoto wa askari na jamaa yetu mwingine hivi yeye alifaulu shule ya kipaji... Nafsi ilikuwa inauma ila sasa ningefenyeje?

Tukaingia sekondari, yeye alienda kusoma mbali lakini wale mashoga zake alokua nao (ushosti wao ulikua umeiva kweli kweli kiasi cha familia zao kujuana na kutembeleana) walianzia pale niliposoma mimi.
Mmoja akanitongoza waziwAzi asee, Daaaah dem alikua wa Chuga alinipga Swaga za maneno matam na ahadi nyingi kama anaomba teuzi daaah nilijihisi kudhalilika, lakini huwez amini nilikataa, huyu alikua mtoto wa askari akaniahidi atanipa chochote nnachotaka kidume nikakataa, akaja nae akahama sekondari..

Shoga ake wa pili akasoma mpaka form two nae akahama...

ila huyu wa pili akaja kujiseti tupo advance, nikatupa ndoano akanasa hakuchomoa, binti akafia penzini akawa hajiwezi masikini niseme nini mimi asifanye? hakuna...

Sasa tukakutana chuo (na yule alonambia haelewi english ya mtaani) akakuta mi na shoga ake Penzi Mubashara yaan bul bul na haikua siri, huko Whatsapp, Insta na Fb mambo yalikua dhahiri kwa kila mmoja.
Siku moja akanitumia text eti 'naona X kakuweka mpaka DP'
nikamjibu 'Hamna umeangalia vibaya hebu cheki na Insta uone kama kweli'

(Binti aliifanya pic yangu DP katika akaunti zake zote za sosho media)

Taarifa nilizokuja kuzipata ni kwamba alimnunia Dem wangu akawa haendi tena kwao,

Nae siku moja alinfungukia namna mjamaa aliyembikiri advance alivyomsaliti vikali kwa kutoka na T.O huku akimwambia maneno ya dharau kuidhihaki kazi ya mama yake na kozi anayoisoma jamaa alidhihaki mpaka vizawadi alivyokuwa anapewa na dem, yaani kila kitu dem alichofanya kwa mshikaji jamaa alikua anadharau tu

Ilimpata Fedheha akachekwa mpaka na Mashosti zake ikamharibu sana Kisaikolojia, Binti alipatwa na maumivu makali kiasi cha kukonda, kuboronga masomo yake na baya kuliko yote kutoyatamani tena mapenzi mpaka akaanzisha ka desturi ka kujitoa 'Out' mwenyewe kujiliwaza....

Aliniomba mara kadhaa kujumuika nae kwenye mikahawa ya KFC huku akiahidi ati atashughulikia Bili lakini kistaarabu nilikataa

Nikaamini kwamba Karma ni kweli...
 
Ni miaka kadhaa sasa imeshapita, wakati huo nipo kidato cha pili, shuleni kwetu akahamia mwalimu fulani wa kike kutoka Machame huko.......kuhamia kwake sio stori, stori ni binti yake aliyehamia nae.

Oliver alikuwa kidato cha tatu kanitangulia, mtoto wa kichaga alikuwa ni kisu balaa kila mmoja anajitahidi kwa kadri awezavyo kutupa vocal zake ili amnase Oliver, mi sikuwa na umaarufu wowote pale school, kucheza mpira sijui, darasani nilikuwa KILAZA mmoja mzuri tu, kwa hiyo sikuwa kwenye nafasi yyte ya kumshawishi nimgegede.

Ikaja bahati nzuri jumamosi moja amepita mitaa ya home akaniona akaja hadi pale, nyumbani tulikuwa na bustani kubwa tu iliyokuwa pia na miti ya matunda, akapenda zaidi Miwa, Tende na Mapera......nikasema hapahapa kaisha huyu, nikajipa kazi ya kila siku nabeba nampelekea, urafiki wetu si ndio ukaanzia hapo.

Shuleni muda wa mapumziko atanitafuta akinipata tunaenda darasani kwetu tunakaa wawili tu tunapiga stori nyiiiiiingi lakini kumtongoza nashindwa, rafiki zangu wakiniuliza kuhusu Oliver nawaambia nimeshapiga pale, habari zikavuma na mimi sasa nikaanza kupata umaarufu shuleni kwa kumgonga Supa staa Oliver.

Siku moja tuko wawili tu darasani (kumbe kuna watu huwa wanakuja kutuchungulia kujua tukibaki wawili huwa tunafanya nini) na siku hiyo mi nikawaza kuwa labda keshanielewa lakini anasubiri hadi nimwambie, na kumwambia ndio siwezi......nikaamua kwamba vitendo vitaongea tu na yeye ataeleweka.....

Siku hiyo ndio niliingia mlango wa kutokea......

Kwanza alishangaa namkumbatia, bado mshangao haujajiweka vizuri kichwani mwake nikawa nafanya juhudi kumlaza chini huku navuta sketi yake.......nilistukia kitu kama ubao mgumu umetua usoni, kumbe kanitandika kofi zito, wakati bado nyotanyota hazijaisha machoni akanikwida akanibamiza ukutani na kwa ghafla sana akaachia ngumi moja kali ikatua usoni, aisee Oliver alikuwa mbabe sana yule Mchaga.

Nikaona netiweka inapotea kwa haraka sana...

Nikajitutumua na mi kuachia ngumi nikawa mfupi mikono yangu haimfikii, akaachia ngumi nyingine nzito sana ikatua mdomoni, mdomo ukapasuka ukaanza kutoa damu, wakati nashangazwa na ile damu nikafanikiwa kutupa jicho dirishani nikaona wanafunzi wamejaa madirishani wanachungulia, wakati natafuta mbinu na mimi nioneshe ukakamavu kumbe nimekosea nikateleza.....chali yeye juu mimi chini.

Kanikaba kwenye koromeo pumzi haitoki nakung'utwa ngumi za uso, wanafunzi wanashangilia, uzalendo ukanishinda mwanaume nikapiga kelele hadi walimu wakaja kutuachanisha, hakuna aliyekuwa tayari kutaja sababu za ugomvi wetu, kwa hiyo tukajikuta wote tumepewa adhabu ya kufanana.


Aminini msiamini.....

Nimekuja kukutana na Oliver mwaka jana akiwa mrembo maradufu halafu ni mpole hana ubabe wake kama wa wakati ule, nikamgegeda kiulaini sana, japo nadhani wengi wenu mtakuwa mnazifahamu changamoto za baadhi ya hawa dada zetu wa kichaga kwenye kugegedana ni ZERO.
Acha uongo umemgegeda kweli?
 
First Time yangu kutongoza Ilinipa Funzo la Karma, What goes around alwayz comes back around asee

First time kutongoza niko pre form one, dem alikua mtoto wa mwalimu mweupee mkali kinoma shule nzima hakukua na pisi kama yeye,
Huyu binti Nilisoma nae Primary, alihamia tukiwa darasa la 6... Nilimzimia kinyama ila nilikua jeuri sikuwahi mtongoza primary yote.

Huko Primary Wana sasa walikuwa wanajitutumua wanapigwa kibuti, mpaka akaja mwana mmoja tulimuita mr. Misifa akamtokea dem akamuelewa wakajidetisha moaka tunamaliza la 7...

Basi, tukamaliza la saba
Pre form sasa baada ya kusikiliza sikiliza nyimbo za westlife na Celline Dion, akina Chriss Brown na Tyga nikajikuta mnyamwezi kimtindo na kingereza cha kwenye movie basi nkasema ngoja nmrukie binti...kwa hiki kingereza huenda akaelewa.

Ebhna niLikua nachat chat nae kawaida siku nyingi ila siku moja nikajilipua nikatuma text yangu mwenyewe ya mapendo ya kingereza huku nikiamini mtoto wa mwalimu anaweza akawa wangu

Lakini baada ya ile text Binti alinijibu "Sikuelewi unasemaje, English ya mtaani huwa siilewi"
Daaah Nilipigika moyoni kinoma, nikaona basi bhana suala la mapenzi na huyu Binti limefilisika tukabaki marafiki tuuu
Wakayi huohuo nasikia maneno kwa wadau kuwa Binti wanawachanganya Mr. Misifa na jamaa mmoja hivi mtoto wa askari na jamaa yetu mwingine hivi yeye alifaulu shule ya kipaji... Nafsi ilikuwa inauma ila sasa ningefenyeje?

Tukaingia sekondari, yeye alienda kusoma mbali lakini wale mashoga zake alokua nao (ushosti wao ulikua umeiva kweli kweli kiasi cha familia zao kujuana na kutembeleana) walianzia pale niliposoma mimi.
Mmoja akanitongoza waziwAzi asee, Daaaah dem alikua wa Chuga alinipga Swaga za maneno matam na ahadi nyingi kama anaomba teuzi daaah nilijihisi kudhalilika, lakini huwez amini nilikataa, huyu alikua mtoto wa askari akaniahidi atanipa chochote nnachotaka kidume nikakataa, akaja nae akahama sekondari..

Shoga ake wa pili akasoma mpaka form two nae akahama...

ila huyu wa pili akaja kujiseti tupo advance, nikatupa ndoano akanasa hakuchomoa, binti akafia penzini akawa hajiwezi masikini niseme nini mimi asifanye? hakuna...

Sasa tukakutana chuo (na yule alonambia haelewi english ya mtaani) akakuta mi na shoga ake Penzi Mubashara yaan bul bul na haikua siri, huko Whatsapp, Insta na Fb mambo yalikua dhahiri kwa kila mmoja.
Siku moja akanitumia text eti 'naona X kakuweka mpaka DP'
nikamjibu 'Hamna umeangalia vibaya hebu cheki na Insta uone kama kweli'

(Binti aliifanya pic yangu DP katika akaunti zake zote za sosho media)

Taarifa nilizokuja kuzipata ni kwamba alimnunia Dem wangu akawa haendi tena kwao,


Nae siku moja alinfungukia namna mjamaa aliyembikiri advance alivyomsaliti vikali kwa kutoka na T.O huku akimwambia maneno ya dharau kuidhihaki kazi ya mama yake na kozi anayoisoma jamaa alidhihaki mpaka vizawadi alivyokuwa anapewa na dem, yaani kila kitu dem alichofanya kwa mshikaji jamaa alikua anadharau tu

Ilimpata Fedheha akachekwa mpaka na Mashosti zake ikamharibu sana Kisaikolojia, Binti alipatwa na maumivu makali kiasi cha kukonda, kuboronga masomo yake na baya kuliko yote kutoyatamani tena mapenzi mpaka akaanzisha ka desturi ka kujitoa 'Out' mwenyewe kujiliwaza....

Aliniomba mara kadhaa kujumuika nae kwenye mikahawa ya KFC huku akiahidi ati atashughulikia Bili lakini kistaarabu nilikataa

Nikaamini kwamba Karma ni kweli...
Yeah! Karma is real!
 
Aisee niliaibika saana maana nlikariri maneno mengii mazuriiiii... Nkawa nayarudia kila mara ili nkifika nishuke nayo Kama nguliii... Yaani nlivo muita tukawa tunaangaliana huku akisubiri niongee... Aisee kichwani sikuwa nakumbuka hata neno mojaaa... Akili ikanijia nimuambie samahani tutaongea siku ingineee.. ile namwambia nkashangaa sautii haitokii yaani nikawa kama namnongoneza... Ikabidi nimpungie tu kwamba byeee
🤣🤣🤣🤣🤣
 
Ni miaka kadhaa sasa imeshapita, wakati huo nipo kidato cha pili, shuleni kwetu akahamia mwalimu fulani wa kike kutoka Machame huko.......kuhamia kwake sio stori, stori ni binti yake aliyehamia nae.

Oliver alikuwa kidato cha tatu kanitangulia, mtoto wa kichaga alikuwa ni kisu balaa kila mmoja anajitahidi kwa kadri awezavyo kutupa vocal zake ili amnase Oliver, mi sikuwa na umaarufu wowote pale school, kucheza mpira sijui, darasani nilikuwa KILAZA mmoja mzuri tu, kwa hiyo sikuwa kwenye nafasi yyte ya kumshawishi nimgegede.

Ikaja bahati nzuri jumamosi moja amepita mitaa ya home akaniona akaja hadi pale, nyumbani tulikuwa na bustani kubwa tu iliyokuwa pia na miti ya matunda, akapenda zaidi Miwa, Tende na Mapera......nikasema hapahapa kaisha huyu, nikajipa kazi ya kila siku nabeba nampelekea, urafiki wetu si ndio ukaanzia hapo.

Shuleni muda wa mapumziko atanitafuta akinipata tunaenda darasani kwetu tunakaa wawili tu tunapiga stori nyiiiiiingi lakini kumtongoza nashindwa, rafiki zangu wakiniuliza kuhusu Oliver nawaambia nimeshapiga pale, habari zikavuma na mimi sasa nikaanza kupata umaarufu shuleni kwa kumgonga Supa staa Oliver.

Siku moja tuko wawili tu darasani (kumbe kuna watu huwa wanakuja kutuchungulia kujua tukibaki wawili huwa tunafanya nini) na siku hiyo mi nikawaza kuwa labda keshanielewa lakini anasubiri hadi nimwambie, na kumwambia ndio siwezi......nikaamua kwamba vitendo vitaongea tu na yeye ataeleweka.....

Siku hiyo ndio niliingia mlango wa kutokea......

Kwanza alishangaa namkumbatia, bado mshangao haujajiweka vizuri kichwani mwake nikawa nafanya juhudi kumlaza chini huku navuta sketi yake.......nilistukia kitu kama ubao mgumu umetua usoni, kumbe kanitandika kofi zito, wakati bado nyotanyota hazijaisha machoni akanikwida akanibamiza ukutani na kwa ghafla sana akaachia ngumi moja kali ikatua usoni, aisee Oliver alikuwa mbabe sana yule Mchaga.

Nikaona netiweka inapotea kwa haraka sana...

Nikajitutumua na mi kuachia ngumi nikawa mfupi mikono yangu haimfikii, akaachia ngumi nyingine nzito sana ikatua mdomoni, mdomo ukapasuka ukaanza kutoa damu, wakati nashangazwa na ile damu nikafanikiwa kutupa jicho dirishani nikaona wanafunzi wamejaa madirishani wanachungulia, wakati natafuta mbinu na mimi nioneshe ukakamavu kumbe nimekosea nikateleza.....chali yeye juu mimi chini.

Kanikaba kwenye koromeo pumzi haitoki nakung'utwa ngumi za uso, wanafunzi wanashangilia, uzalendo ukanishinda mwanaume nikapiga kelele hadi walimu wakaja kutuachanisha, hakuna aliyekuwa tayari kutaja sababu za ugomvi wetu, kwa hiyo tukajikuta wote tumepewa adhabu ya kufanana.


Aminini msiamini.....

Nimekuja kukutana na Oliver mwaka jana akiwa mrembo maradufu halafu ni mpole hana ubabe wake kama wa wakati ule, nikamgegeda kiulaini sana, japo nadhani wengi wenu mtakuwa mnazifahamu changamoto za baadhi ya hawa dada zetu wa kichaga kwenye kugegedana ni ZERO.
Hahahah
 
Nakumbuka mara ya kwanza kutongoza nilikula tunda kimasihara siku hiyo hiyo, tulikuwa tunacheza kombolela usiku ile wakati wa kujificha nikamfuata mdada mmoja (nilimpenda sana) tukawa tunabisha
Mimi: "ukinipa papuchi nakupasua"
Yeye: "huwezi kwanza wewe bado mtoto mdogo" (alikuwa darasa la 6 na mm wakati huo nipo darasa la 4)

Tukabishana weeee mwisho wa siku nikamwambia kama huamini hebu nipe uone, si akakubali bhana tukatafuta chimbo ambalo hakuna mtu angetuona akabinua sket kuelekea juu, harafu chupi ndo akavua na mimi nikatoa kabtula (sikuwa navaaga chupi kipindi hicho boksa sizijui wala)

Tukapiga shoo ila niseme wazi sikufurahia ukilinganisha na sasa maana kipindi hicho nilifanya tu mda mrefu bila kumaliza mpaka kadushe kakasinyaa sjui ndo nilikuwa sijabarehe

Tumekuja kutokeza watu wameshaahirisha kombolela wametutafuta hatuonekani, tukasambaa kwenda kulala kila mmoja kwao, ile kufika home nikamsimulia brother kuwa nimekula tunda akanibishia nikachomoa dushe nimuoneshe yale maji ya papuchi maji kama mafuta hivii yaliobakia (ikumbukwe sikujifuta)
 
MTU wa kwanza kuanza kumtongoza alikuwa mume wa MTU,nilitafuta namba ya simu kwa watu wake wa karibu...nikaanza chat nae alivyonitambua akajisogeza zaidi...haikuwa shida sana I just confessed to him.Yaan ilikuwa kama alikuwa anasubiri nitamke sikuzote...nakumbuka alinijibu tu haraka tuonane....aisee mbona baadae nikajikanda na maji ya moto yenye chumvi.Sikumtafuta tena,ila nilimpenda kiukweli uchu wake ulimponza
Alikufundisha kuwa uasherati ni dhambi😂😂😂😂.

Hapo ukujiuliza hali haliyonayo mke wake?
 
Kila mtu ana Zamani yake

Zamani yenye kufarahisha na Kuleta kumbukumbu ya kujicheka mwenyewe samytimez

Miaka yetu tunabalehe , vijisimu vya goroka ndiyo vilikuwa vinachangamka ,wale watoto wahuni tulikuwa tunavitumia kwa siri huku, wazazi wakipinga swala la mwanafunzi kumiliki simu

Mtu wangu wa kwanza kumtongoza wakati naanza kupata ashki za kimwili...bahati mbaya hakuwa na simu.🤣🤣🤣 tupo kidato cha kwanza.

Nakumbuka msichana huyo wa kwanza kumtongoza nilimuandikia barua, akanijibu YES,

Shida ikaja kila nikimuona yule shuleni au mtaani, lazima nibadili njia.

Yeye ndiyo akawa ananitafuta mimi.

Huyu mimi wa sasa mjanja mjanja najicheka nikikumbuka zamani yangu

#Enzi za ufala. Hebu share story yako hapa ilikuwaje mara yako ya kwanza?


Pia soma: Mwanaume usione aibu kutongoza, ni sehemu ya kutimiza wajibu wako
Wadada sioni wakitiririka wao ilikuaje kutongozwa kwa mara ya kwanza 😉😉
 
Aisee niliaibika saana maana nlikariri maneno mengii mazuriiiii... Nkawa nayarudia kila mara ili nkifika nishuke nayo Kama nguliii... Yaani nlivo muita tukawa tunaangaliana huku akisubiri niongee... Aisee kichwani sikuwa nakumbuka hata neno mojaaa... Akili ikanijia nimuambie samahani tutaongea siku ingineee.. ile namwambia nkashangaa sautii haitokii yaani nikawa kama namnongoneza... Ikabidi nimpungie tu kwamba byeee
[emoji1787][emoji1787][emoji23]Mkuu hii imenichekesha kinoma
 
Back
Top Bottom