Mara yako ya kwanza kutongoza/kutongozwa ilikuwaje?

Bila shaka barua yenyewe ndio hii hapa [emoji23]
 
Mi nilikuwa mtaalamu wa kutongoza kwa barua. Nilikuwa Nina kadaftari kadogo nimeandika barua mbalimbali za kutongoza. Hadi masela wangu Walikuwa wananakili na wanafanikiwa
 
Hivi kwanini ukiwa unatongoza maneno yanakuwaga yanapotea! Yan unakuja jiuliza imekuaje naogopa mwanamke!
 
Mara ya Kwanza kwa msaada wa rafaiki yangu alinisaidia kuiandika barua alafu akaipelekaa bwanaa soon tu jibu la kukubaliwa likaja sasa mm Tena nikawa muogaa kinyama. Nikimuona namkwepaa yaani nikikaa nayee naongea vitu ambavyo hata havielewekii enzi za utopolo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
🤣🤣🤣🤣 hatari sana hiyo
 
Saizi vipi, mnawasiliana? Anasemaje?
Ameshaolewa na ticha mmoja hivi,
Hua nikikutana nae namsisitizia jinsi ninavyomkubali,
Tatzo chance ndio sipati maana anajifanya anaheshimu sana ndoa yake,
Naambuliaga kumtomasa tu endapo nikikutana nae cho cho
ila nikimstua tu kwenye mambo ya kumgegeda anaruka vibaya mno,

Sijui nitumie mbinu gani maana pombe hanywi wala namimi sinywi sijui nimpumbaze vipi maana hela anayo na mmewe anayo ya kutosha,

Yeye hua jibu lake ni kwamba hayo yalikwishapita nimekwisha chelewa huenda haikua bahati yangu, ila mm hua napinga hilo,

Kwahyo ili kunipoza poza hua ansnibarikia hata kumkubatia na kumshika baadhi ya maeneo endapo tukiwa sehemu iliyojificha kifogo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…