Mara yangu ya kwanza kukutana na malaika(1987)

Hakuna malaika jimama unifanyie mpango mkuu maana mtaan hali tetw
 
Tuelewe kuna tofauti kati ya KUJUA na KUAMINI
 
Ndugu yangu mtoa mada, ni vizuri kuishi kwa tahadhari hasa unapotokewa na viumbe wasio mwili, unatofautishaje Kati ya pepo mchafu na malaika? Au unafikiri shetani ni mwafrika na malaika ni mzungu?

Nakukumbusha tu, mwamedi alikuwa anamtafuta Mungu sana, wakati huo kulikuwa na Imani ya kikristo na kiyahudi, mafundisho yao aliyapenda Ila yalimchanganya, bahati mbaya hakujua kusoma.

Siku moja akiwa pangoni anamwomba Mungu alitokewa na kilichokutokea wewe, kikajiita malaika Gabriel (jibri), the rest is history.
Pima kila unachoambiwa kwenye neno la Mungu. Unachoongea ni Imani ya satanist
 
Mbuzi wa Azazel yuko kwenye ibada siku ya upatanisho tu..
Sasa hayo mafungu wapi ametajwa mbuzi wa Azazel
Unaonekana unajua habar ya Biblia, ukibadili picha uloweka kwenye avatar Yako, nitakuambia mwandishi unaejibizana nae ni nani Hasa.
 
Tangu 1987 ndiyo Leo unatueleza!!!acha kubuta kushabu vuta bangi
 
Hebu kuwa mkweli; huvuti bange kweli wewe?
 
Samahani; nahisi kama nakufahamu kama O level ulisoma Mwanza
 
Hongera mtoa uzi hakika nimepata kitu katika maisha yangu kubadilika, Mungu akubariki, naomba uniombee, Asante.
 
Ungemuuliza huyo malaika wako katumwa na Nani.
 
The fact that Putin is on your profile picture tells a lot about you.

You are just another joker fooling around.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…