whiteskunk
JF-Expert Member
- Jul 24, 2021
- 3,904
- 9,342
Mil 18 ni pesa ya gari 3 zilizosimamia kuchaMil 18 utapata usafiri ila hauwezi kupata Gari.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mil 18 ni pesa ya gari 3 zilizosimamia kuchaMil 18 utapata usafiri ila hauwezi kupata Gari.
Naitoa kwa 15M tu mkuu, sina tamaa.Bei gani hii?
Mungu awe nawe mkuu kwa msaada wako.Hot hatches ni Toyota blade, Runx, Rumion. Zote ni economy and reliable. Chukua moja wapo kati ya hizo ziko ndani ya budget yako kabisa.
Sawa umeiona hio Spacio lakiniMungu awe nawe mkuu kwa msaada wako.
Ngoja ni research mkuu. Nikujia tena kwa mrejesho
Asante extro ila sijakapenda kamuundo kake.Kama pesa uko nayo bank naweza kukupa hii spacio chassis number. Ukasajili mwenyewe tu. Engine ndogo wese inanusa tu. 1490cc
View attachment 2479811View attachment 2479812
Lipia 15M tu bei ya January.
Ahsante boss.. ngoja niziresearchSubaru impreza, Toyota rush, Rumion, ist, wish, Raum, spacio.
kama ni mimi ningeenda na spacio.
Ahaa hamna shaka mkuu, we angalia zingine hizo baina ya Rumion, Blade ama RunX tutafanya kazi.Asante extro ila sijakapenda kamuundo kake.
Mkuu unaga analyse za kupepesa,yan mle mle+Hot hatches ni Toyota blade, Runx, Rumion. Zote ni economy and reliable. Chukua moja wapo kati ya hizo ziko ndani ya budget yako kabisa.
Worry outAhaa hamna shaka mkuu, we angalia zingine hizo baina ya Rumion, Blade ama RunX tutafanya kazi.
Extro ni mtaalamMkuu unaga analyse za kupepesa,yan mle mle+
Mil 18 ni pesa ya gari 3 zilizosimamia kucha
kwa bajeti ya 18 M? Mbona unampoteza mkuu hayo ulotaja mbele ya 23 M kwa ushuru wa sasa wa TharahehiSpecify
Unaishi maeneo gani!!mabomde kuinama au Lami mpaka vichochoroni??
Sedan au SUV??
La Familia,Kazi nzito(shamba) au misele ya hapa na pale??
All in all I recommend, Go for Vanguard,Rav 4,harrier
Ngoja waje wataalam
Umekaa kama dada poaNaitoa kwa 15M tu mkuu, sina tamaa.
Tako la nyani 🤣🤣Haha hii ni ipi boss?
Dah[emoji28][emoji28]Nunua Toyota Monkey Butt Mkuu.
Yaani hapa kazi inayofanywa, utakuta gari ni 11Mil mil zilizobakia ni za wataalam wa mambo na kamati mbalimbali... Kiukweli siwapendi nyie watuAhsante boss.. ngoja niziresearch
Thank u man
Yaani MTU ana mil 18 bado mnamwambia hapati kitu kizuri. I hate this movekwa bajeti ya 18 M? Mbona unampoteza mkuu hayo ulotaja mbele ya 23 M kwa ushuru wa sasa wa Tharahehi