Marafiki wa kweli ni wa utotoni

Write your reply...mshana umenikumbusha mbali ,nina rafiki yangu huyo miaka saba tulikuwa tunaongoza wote kwenda na kurudi.mda mwingine mnapita mtoni kuoga mkirudi macho mekundu wanajua hawa leo walipita mtoni,mpaka kesho ni rafki yangu .
 
Duuuh poleee dear, hope utapata tyuuh rafiki mzuri.
 
Hata hao wa utotoni pia mkue mkiwa katika level za kiuchumi ambazo hazipashani sana., mwenzako akitoboa alafu wewe bado hauna ramani ushapoteza rafiki hapo maana ataanza kujichanganya na watu wapya wa level yake
 
Kuna mtu ni Rafiki yangu Sana tangu 1998 hasa mama yake alituacha 2001 nimesoma nae Hadi o level!ndio jamaa ninae wasiliana nae kuliko hata ndugu zangu AISEH!

Siku nikipata u namba MOJA nitamuweka karibu Sana!

Sidhani kama atanisaliti AISEH!

Huyu jamaa Dah!kwao walikuwa matawi ya juu Sana!Sasa sio kiviile ndio mtu pekee ninaweza mwambia Siri nzito kuliko hata ndugu yeyote yule Jamaa!!
 
Daah kumbe sipo peke yangu.
Nimewahi kuwa na rafiki wa kweli mmoja tu.
Nasikitika maisha yalitutenga tukapotezana...Danel/Danyo popote ulipo
Mi pia alikuwepo huyo tu Frida.... sijui shetani gani alipita kwakweli, sijawahi kuwa na mtu mwingine kama yeye alikua ni yeye tu. Siku hizi naishi kama nipo kaburini mwenyewe mwenyewe....ila am okay
 
Sisi wa geti kali tusemeje sasa 🌬️🤣🤣

Mi pia alikuwepo huyo tu Frida.... sijui shetani gani alipita kwakweli, sijawahi kuwa na mtu mwingine kama yeye alikua ni yeye tu. Siku hizi naishi kama nipo kaburini mwenyewe mwenyewe....ila am okay
Polee.
Unaweza kucheka au kuwa na kampani ya watu wengi na watu wakafikiri una marafiki wengi kumbe huna hata mmoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…