Maraga asajili kesi ya dharula dhidi ya uchaguzi, Raila awa mpole ghafla...kunanii

Maraga asajili kesi ya dharula dhidi ya uchaguzi, Raila awa mpole ghafla...kunanii

Hata kura zifanyike Kesho Supreme Court bado itazitupilia nje
efd8ad44b517c4c27cc8ad480d807cd1.jpg
32d1f104b32c9b5fcf43813cc0d708c3.jpg
3e658d525b5504e48e2fcba30bb6e191.jpg
ceccd12da5445ea04cd1e5b13a8b89d4.jpg



Wameogopa haya ndio maana leo wamejaribu kumuuwa Deputy chief Justice Philomena Mwilu ili asitokee kortini!!

Wakapepeta Gari lake marisasi hakua ndani ikauwa mchungaji wake .......

Wacha uchumu uanguke kama jubilee haichukulii
Wakamba
Waluo
Wakisii
Wamijikenda
Wapokomo
Wataita
Waluhya
Waturkana kama wakenya wacha uchumi irudi mpaka 20bn$ ndio tuheshimiane huku ndani


8673aa07f55aa1696ecdf23de1098deb.jpg
 
DCJ mwilu ndio walikuwa wana Target

KENYA imekuwa Kama Narcos Series

Kuuwa watu wasio na hatia ilikutuma messages kwa wengine

1404b7077a5aa89ff5c55315086ee705.jpg
d3df4dbd96fa4af38be2c41c6ede4ec0.jpg
99546d9e56d5a3c581782cfddb19e4d1.jpg
 
Saa hii Matatu sacco za Nairobi
Zinalipisha
Upto 7000kshs kupanda matatu kuenda Kisumu ama Kisii kakamega ama Migori
Na upto 2500/- kwa watu wanao enda kitui ama machakos ama makueni

Lakini wakikuyu wanao enda Nyeri, Muranga Kiambu ni free of charge yaani haulipo chochote kuenda huko 230kms away free....wanao enda eldoret wanalipa 40/-

Nairobi to Eldoret 40/-
305km
Nairobi to Kisii 3400/-
378km
Nairobi to Chuka 20/-
212km

Hvi ndio watutsi na wahutu rwanda walianza .....na Jubilee inapo peleka wakenya sio kuzuri

Shangilieni hapo kwa chuki zenu towards Raila zisizo kuwa na Sababu ila tu magufuli na Raila ni marafiki sasa unaona umepata reason ya kuweka comment yako hapa ya ufala ....

.....

Kenya haiki vizuri na Haitawai rudi unless kuwe na obidience of Rule of Law
Na pili watu wote walio uliwa na Polisi wapate Haki na Familia zao wawe wezi ama wawe peacefull demonstrators haufai kuuwa mtu!!!

Short of this ....

By 2022 Kenya haitakuwa moja tutagawanyika!!!

That is a fact!!
 
Saa hii Matatu sacco za Nairobi
Zinalipisha
Upto 7000kshs kupanda matatu kuenda Kisumu ama Kisii kakamega ama Migori
Na upto 2500/- kwa watu wanao enda kitui ama machakos ama makueni

Lakini wakikuyu wanao enda Nyeri, Muranga Kiambu ni free of charge yaani haulipo chochote kuenda huko 230kms away free....wanao enda eldoret wanalipa 40/-

Nairobi to Eldoret 40/-
305km
Nairobi to Kisii 3400/-
378km
Nairobi to Chuka 20/-
212km

Hvi ndio watutsi na wahutu rwanda walianza .....na Jubilee inapo peleka wakenya sio kuzuri

Shangilieni hapo kwa chuki zenu towards Raila zisizo kuwa na Sababu ila tu magufuli na Raila ni marafiki sasa unaona umepata reason ya kuweka comment yako hapa ya ufala ....

.....

Kenya haiki vizuri na Haitawai rudi unless kuwe na obidience of Rule of Law
Na pili watu wote walio uliwa na Polisi wapate Haki na Familia zao wawe wezi ama wawe peacefull demonstrators haufai kuuwa mtu!!!

Short of this ....

By 2022 Kenya haitakuwa moja tutagawanyika!!!

That is a fact!!

na wewe nunua gari zako uwabebe hao wajaluo na wakisii wenzako bure
 
Pôle Sana kwa jamii ya dereva aliyepoteza maisha.....Mungu aiweke roho yake pahali pema....
 
Anachotaka raila ni uchaguzi usifanyike nchi iende kwa care taker government Uhuru asiwe rais ,na hapo waingie wote kama wagombea wakawaida.
 
Saa hii Matatu sacco za Nairobi
Zinalipisha
Upto 7000kshs kupanda matatu kuenda Kisumu ama Kisii kakamega ama Migori
Na upto 2500/- kwa watu wanao enda kitui ama machakos ama makueni

Lakini wakikuyu wanao enda Nyeri, Muranga Kiambu ni free of charge yaani haulipo chochote kuenda huko 230kms away free....wanao enda eldoret wanalipa 40/-

Nairobi to Eldoret 40/-
305km
Nairobi to Kisii 3400/-
378km
Nairobi to Chuka 20/-
212km

Hvi ndio watutsi na wahutu rwanda walianza .....na Jubilee inapo peleka wakenya sio kuzuri

Shangilieni hapo kwa chuki zenu towards Raila zisizo kuwa na Sababu ila tu magufuli na Raila ni marafiki sasa unaona umepata reason ya kuweka comment yako hapa ya ufala ....

.....

Kenya haiki vizuri na Haitawai rudi unless kuwe na obidience of Rule of Law
Na pili watu wote walio uliwa na Polisi wapate Haki na Familia zao wawe wezi ama wawe peacefull demonstrators haufai kuuwa mtu!!!

Short of this ....

By 2022 Kenya haitakuwa moja tutagawanyika!!!

That is a fact!!
ata ushide uku ukibweka akuna siku uyu mtu atawai ongoza kenya.if u cant beat thm join them
 
Unafaa kupimwa mkojo wewe itakuwa una mimba. Huu umbea na kiherehere kutoka kwa mtz kwenye maswala ya Kenya, ambayo hayakuhusu, si kawaida kabisa.
Kenya nako mnapiwa?? Basi wewe tutakupima kama uko sawa hujaondolewa marinda ..inaonekana unavaa pampers sana hakuna marinda...
 
Niweke emotions kando kwanini

Punani wewe

Soma news za Kenya

Katiba ina ku allow kutumia demos pia mahakam sio suluhisho pekee

Katiba inakuruhusu kutumia demos
Kwa sababu demos zina Economic Value

Already demos zimesababisha 700bn KSHS ie 7bn$ ipotee katika uchimi wa Kenya
Na bado
9d3c9052378eb2dd82b7aafc70a9d8c1.jpg


Pili mahakama tayari ishasema watu wote walio andikwa na IEBC sio kwa njia halali lakini Jubilee inakiuka sheria na kuforce election remove this idiocy from your brain or stop quoting me!!!

Wengi wenu mko hapa kukemea Raila kwa sababu tu ni Rafiki na Magufuli hamna kingine!!!....



Sent from my SM-J105F using JamiiForums mobile app
Na kesho kura zina pigwa. .akileta fujo ataambulia kichapo.
 
Raila amekua akiahidi moto na kwamba kutakua na maandamano hayajawahi kutokea kwenye historia ya nchi hii, hapo mnamo tarehe 26 mwezi huu. Amekua akitema cheche na kuweka Wakenya wote kwenye mkao wa mapambano.

- Jana Marekani wakamwonya kwamba asizue vurugu na aheshimu tume ya uchaguzi
- Ghafla leo Raila akageuza gia angani na kusema hajawahi agiza maandamo yoyote siku ya uchaguzi na kwamba wafuasi wake wabaki nyumbani huku wakiwa watulivu na kuzingatia amani (maneno ya ajabu ambayo nimeshangaa yanamtoka mdomoni)
- Ghafla jaji mkuu amesajili kesi ya dharula ya kusitisha uchaguzi wa kesho kutwa

Sasa kwa wadadisi wa masuala ya kisiasa, itakua Raila alipata fununu ya hatua hizi za Maraga? Au kuna nini nyuma ya pazia. Nchi hii bana, yetu macho ilmradi msiichome maana tumeijenga tofali kwa tofali, bati kwa bati.

ICC ipo macho inammulika!!! lakini akipata kifungo The Hague kule atakuwa anakula vyakula vizuri na atapata huduma mzuri na za kisasa za hosipitali!!! Kuna jamaa wamemshtua kwani 2007/2008 alichomoka kimuujiza tu since alikuwa kiongozi wa zile vurugu!!
 
Back
Top Bottom