Sammuel999
JF-Expert Member
- Jun 1, 2016
- 3,481
- 2,347
Saa hii Matatu sacco za Nairobi
Zinalipisha
Upto 7000kshs kupanda matatu kuenda Kisumu ama Kisii kakamega ama Migori
Na upto 2500/- kwa watu wanao enda kitui ama machakos ama makueni
Lakini wakikuyu wanao enda Nyeri, Muranga Kiambu ni free of charge yaani haulipo chochote kuenda huko 230kms away free....wanao enda eldoret wanalipa 40/-
Nairobi to Eldoret 40/-
305km
Nairobi to Kisii 3400/-
378km
Nairobi to Chuka 20/-
212km
Hvi ndio watutsi na wahutu rwanda walianza .....na Jubilee inapo peleka wakenya sio kuzuri
Shangilieni hapo kwa chuki zenu towards Raila zisizo kuwa na Sababu ila tu magufuli na Raila ni marafiki sasa unaona umepata reason ya kuweka comment yako hapa ya ufala ....
.....
Kenya haiki vizuri na Haitawai rudi unless kuwe na obidience of Rule of Law
Na pili watu wote walio uliwa na Polisi wapate Haki na Familia zao wawe wezi ama wawe peacefull demonstrators haufai kuuwa mtu!!!
Short of this ....
By 2022 Kenya haitakuwa moja tutagawanyika!!!
That is a fact!!
Wow!!!....na wewe nunua gari zako uwabebe hao wajaluo na wakisii wenzako bure
AmenPôle Sana kwa jamii ya dereva aliyepoteza maisha.....Mungu aiweke roho yake pahali pema....
Amen
Mungu Halali
Am not engaging you idiot!!ulivyo na akili ya kinaswa naswa nawe unaitikia amen, kwa huyo dereva kafa?!
Am not engaging you idiot!!
Jipe shughli
Sawahahahah! umenaswa kwelkwel, kwa leo tu neno 'idiot' umeliandika zaidi ya mara 30.
hahaha! UHURUTO tano ingine.
Sawa
ata ushide uku ukibweka akuna siku uyu mtu atawai ongoza kenya.if u cant beat thm join themSaa hii Matatu sacco za Nairobi
Zinalipisha
Upto 7000kshs kupanda matatu kuenda Kisumu ama Kisii kakamega ama Migori
Na upto 2500/- kwa watu wanao enda kitui ama machakos ama makueni
Lakini wakikuyu wanao enda Nyeri, Muranga Kiambu ni free of charge yaani haulipo chochote kuenda huko 230kms away free....wanao enda eldoret wanalipa 40/-
Nairobi to Eldoret 40/-
305km
Nairobi to Kisii 3400/-
378km
Nairobi to Chuka 20/-
212km
Hvi ndio watutsi na wahutu rwanda walianza .....na Jubilee inapo peleka wakenya sio kuzuri
Shangilieni hapo kwa chuki zenu towards Raila zisizo kuwa na Sababu ila tu magufuli na Raila ni marafiki sasa unaona umepata reason ya kuweka comment yako hapa ya ufala ....
.....
Kenya haiki vizuri na Haitawai rudi unless kuwe na obidience of Rule of Law
Na pili watu wote walio uliwa na Polisi wapate Haki na Familia zao wawe wezi ama wawe peacefull demonstrators haufai kuuwa mtu!!!
Short of this ....
By 2022 Kenya haitakuwa moja tutagawanyika!!!
That is a fact!!
Wewe unahakika aliiba hizo kura?Mwenye kuleta taabu hii yote ni Kenyata kwa sababu aliiba kura na matokeo yakafutwa na mahakama kuu.
Kenya nako mnapiwa?? Basi wewe tutakupima kama uko sawa hujaondolewa marinda ..inaonekana unavaa pampers sana hakuna marinda...Unafaa kupimwa mkojo wewe itakuwa una mimba. Huu umbea na kiherehere kutoka kwa mtz kwenye maswala ya Kenya, ambayo hayakuhusu, si kawaida kabisa.
Na kesho kura zina pigwa. .akileta fujo ataambulia kichapo.Niweke emotions kando kwanini
Punani wewe
Soma news za Kenya
Katiba ina ku allow kutumia demos pia mahakam sio suluhisho pekee
Katiba inakuruhusu kutumia demos
Kwa sababu demos zina Economic Value
Already demos zimesababisha 700bn KSHS ie 7bn$ ipotee katika uchimi wa Kenya
Na bado
Pili mahakama tayari ishasema watu wote walio andikwa na IEBC sio kwa njia halali lakini Jubilee inakiuka sheria na kuforce election remove this idiocy from your brain or stop quoting me!!!
Wengi wenu mko hapa kukemea Raila kwa sababu tu ni Rafiki na Magufuli hamna kingine!!!....
Sent from my SM-J105F using JamiiForums mobile app
Ahh wapi? Navile navopenda K. na K. inavonipenda?Kenya nako mnapiwa?? Basi wewe tutakupima kama uko sawa hujaondolewa marinda ..inaonekana unavaa pampers sana hakuna marinda...
Raila amekua akiahidi moto na kwamba kutakua na maandamano hayajawahi kutokea kwenye historia ya nchi hii, hapo mnamo tarehe 26 mwezi huu. Amekua akitema cheche na kuweka Wakenya wote kwenye mkao wa mapambano.
- Jana Marekani wakamwonya kwamba asizue vurugu na aheshimu tume ya uchaguzi
- Ghafla leo Raila akageuza gia angani na kusema hajawahi agiza maandamo yoyote siku ya uchaguzi na kwamba wafuasi wake wabaki nyumbani huku wakiwa watulivu na kuzingatia amani (maneno ya ajabu ambayo nimeshangaa yanamtoka mdomoni)
- Ghafla jaji mkuu amesajili kesi ya dharula ya kusitisha uchaguzi wa kesho kutwa
Sasa kwa wadadisi wa masuala ya kisiasa, itakua Raila alipata fununu ya hatua hizi za Maraga? Au kuna nini nyuma ya pazia. Nchi hii bana, yetu macho ilmradi msiichome maana tumeijenga tofali kwa tofali, bati kwa bati.