Marais 20 na wasaidizi wao Afrika wafanyiwa ujasusi

Marais 20 na wasaidizi wao Afrika wafanyiwa ujasusi

Tunazo encryption units lakini zinatoka wapi? Zinatumia mitandao (networks) zipi?

Back to square one, damned if you do damned if you don't.

Sijakuelewa hapo uliposema, tuheshi minne, una maanisha nini? Nimeshawahi kukuvunjia heshima?
Hujawahi. kama sikosei nilitumia neno discipline nikimaanisha KUJIZUIA kuongea kiholela kutumia simu hasa kwa viongozi wetu. Maana mara nyingi wanajisahau! Sijatumia neno la kiswahili kama hilo labda makosa ya kutaipu! Samahani!
 
Tunazo encryption units lakini zinatoka wapi? Zinatumia mitandao (networks) zipi?

Back to square one, damned if you do damned if you don't.

Sijakuelewa hapo uliposema, tunaweza kuwa na discipline, una maanisha nini?
Katika kuongezea. Canada na simu zao za Blackberry na utaalamu wao wa ENCRYPTED communication. CIA na NSA walitoa jasho na kuwasihi sana ili waweze KU CRACK kwa ajili ya usalama wao.
India pia ilisihi sana na baadhi ya nchi za Kiarabu.Sijui kama Kampuni ya Canada ilikubali.Sina hakika.
Bado hiyo ni salama sana. Unajua afadhali kutumia simu ya shilingi 10,000 hii ya kubonyeza, ni salama kuliko za kupangusa!
 
Kutokana na habari zilizodhibitishwa ni kuwa UINGEREZA imekuwa ikiwafanyia UJASUSI marais 20 wa nchi za Afrika na zaidi ikiwa ni pamoja na KUSIKILIZA MAONGEZI yao na ya WASAIDIZI wao karibu na KUGAWANA SIRI hizi na CIA ya Marekani.

Makao makuu ya Mawasiliano ya kijasusi ya Uingereza GCSQ -British Government Communication Hq inayoshughulikia ku INTERCEPT/Kunasa mawasiliano ya KIJASUSI (SIGNIT) kutoka nchi mbali mbali ikiwemo viongozi wa nchi hizo kwa manufaa ya KISIASA na UCHUMI miongoni mwa MASLAHI yao mengine ya kisiasa imekuwa IKIFANYA KAZI HIYO!

Habari ZILIZOVUJA zinasema miongoni mwao ni viongozi waliopita na WALIOKO.....wa Afrka Mashariki ikiwa ni pamoja na Mawaziri wao Wakuu.

IKULU kadhaa ikiwemo ya Angola zimekuwa katika jicho kali 24/7 la shirika la ujasusi la Uingereza MI6.Hii ni kutokana na UTAJIRI wake mwingi wa mafuta.

KUVUJA kwa habari hizi kumela PANIC miongoni mwa viongozi na nchi za Afrika.
Nchi kama yetu na vyombo na vyombo
HUSIKA ni LAZIMA wawe ON TOP of things, ili KUZUIA ama KUKINGA MAWASILIANO ya rais Magufuli na WASAIDIZI wake wa KARIBU YASIVUJE!

Natumaini Rais Magufuli ATASIKILIZA USHAURI wa vyombo HUSIKA ili KUTOPIGA SIMU KIENYEJI katika ulimwengu uliobadilika.
Tukizingatia kuwa Tanzania ni NCHI TAJIRI lolote la kuchukua ADVANTAGE KIUCHUMI ama KISIASA na laweza kufanywa na the BIG BROTHERS kwa MANUFAA yao!
Chanzo Le monde la Ufaransa!

wewe hebu futa tongotongo eti nch tajiri labda useme nchi ya sarakasi za hapa na pale na kutokujitambuwa
 
Mfamo wa wakati huu wa mawasiliano hutegemea sana electronics. Huko kuna vitu vinne tu ambavyo ni😀iode ,capacitor,inductor na rsistor. Diode ndiyo bwana na wengine ni wasaidizi. Mchezo wote huchezwa kwenye diode ambayo huweza kupata derivatives nyingi kama transistors,thyristors nk hivyo kupelekea application tofauti. Muunganiko wa hivi hutoa chochote,mfano:radar,tv,radio,dvd,memory cards,computer nk,chumba kitakachowekwa humruhusu mtu wa IT kutumia maarifa kidogo aliyopewa kutumia chumba alichopewa kufanya programing na yafananayo. Naomba kuuliza wadau,hivi designer akitaka mtambo wake kutuchunguza kisha akatuuzia ama kutupa msaada kama ilivyozoeleka akaweka sehemu moja chumba tuwezachokukiona na kukitumia kwa mfano kama data center yetu na chumba cha pili kisionekane kwetu lakini kimsaidie designer kumpa taarifa yoyote ipitayo kwa chombo hicho je tutakuwa na jinsi ipi ya kujilinda?
Ni bahati mbaya sana kwamba elimu yetu imetugawa sana,mfano mtu wa umeme hujifunza kuzalisha umeme lakini hafundishwi umeme ni nini na unaenda kufanya kazi gani,mtu wa electronics anajifunza vifaa hivi lakini hafundishwi vitatumikaje kupitisha taarifa na mtu wa IT anafundishwa kupitisha taarifa kwa vifaa ambavyo hajui siri za uundaji wake,na bahati mbaya zaidi wote hawa sehemu kubwa wamejifunza kukidhi vigezo vya mitihani na siyo uelewa.
 
Hivi hawa tunaowaogopa wakija katika mifumo ya kidini,kitamaduni,NGOs nk na kisha kusomesha watu kwa malengo maalumu na watu hao wakawa waaminifu kwao,je hawawezi kupata habari watakavyo? Binafsi nashauri tusiwe waoga bali tuandae taifa la watu wa :haki,kweli,elimu bora ya uelewa na thabiti,uelewa katika rasilimali na uvunaji wake,na mengine mema yafananayo.
 
Inawezekana katika Encrypted format.
Unajua watengenezaji wa simu kama Blackberry waliwatoa jasho CIA.na hata NSA. Walishindwa ku CRACK simu zao. Walisihi sana wakiiomba kampuni hiyo iwape namna.
Sijui kama walikubaliwa. Mwenye habari anaweza kuchangia
Baadaye CIA waliweza kuifuungua core na kusoma msg zote bila msaada wa kampuni ya simu.
 
Mfamo wa wakati huu wa mawasiliano hutegemea sana electronics. Huko kuna vitu vinne tu ambavyo ni😀iode ,capacitor,inductor na rsistor. Diode ndiyo bwana na wengine ni wasaidizi. Mchezo wote huchezwa kwenye diode ambayo huweza kupata derivatives nyingi kama transistors,thyristors nk hivyo kupelekea application tofauti. Muunganiko wa hivi hutoa chochote,mfano:radar,tv,radio,dvd,memory cards,computer nk,chumba kitakachowekwa humruhusu mtu wa IT kutumia maarifa kidogo aliyopewa kutumia chumba alichopewa kufanya programing na yafananayo. Naomba kuuliza wadau,hivi designer akitaka mtambo wake kutuchunguza kisha akatuuzia ama kutupa msaada kama ilivyozoeleka akaweka sehemu moja chumba tuwezachokukiona na kukitumia kwa mfano kama data center yetu na chumba cha pili kisionekane kwetu lakini kimsaidie designer kumpa taarifa yoyote ipitayo kwa chombo hicho je tutakuwa na jinsi ipi ya kujilinda?
Ni bahati mbaya sana kwamba elimu yetu imetugawa sana,mfano mtu wa umeme hujifunza kuzalisha umeme lakini hafundishwi umeme ni nini na unaenda kufanya kazi gani,mtu wa electronics anajifunza vifaa hivi lakini hafundishwi vitatumikaje kupitisha taarifa na mtu wa IT anafundishwa kupitisha taarifa kwa vifaa ambavyo hajui siri za uundaji wake,na bahati mbaya zaidi wote hawa sehemu kubwa wamejifunza kukidhi vigezo vya mitihani na siyo uelewa.
Hiyo ilikuwa ni Transistor technology ya Miaka hiyo na sasa Unagusia Solid state ambayo inatumia Semiconductors, mimi kidogo hizi vitu ni Mtaalam kwa kuwa tunavitumia Kwenye PLC na SCADA. Lakini mambo yanabadilika Tena wakati Africa hata Technologia ya Transistor hatuiwezi, tunang,ang,ania kupambana na Wabunge na wake zao wamesema ninj Facebokk, Wenzetu wanahamia kwenye Nano technology, (Wiring with atoms) na Quantum communication, communication based on energy wave length, Light property energy levels of materials and super encryption.
 
yeah ni kweli but cku zote unapofanya investment lazima pia uangalie wnapata nn in return,mfano wadukuz weng wanaodukua nchi za ulaya na marekan weng wao huwa wanadukua siri za makampuni makubwa ya biashara ama ya silaha ili watumie taarifa hizo kuwasaidia kuendeleza makampuni yao pia kwahio hapa bajeti znazowekwa na serikali husika kwe viombo vyao usalama ili kuzlnda taarifa za kampun zao zinakuwa ni sawa.....nakumbk pia hawa wabritish kwa huku east africa wamekua wakidukua sana kenya hsa kwajili ya kutrace link za al shabab na c kwasababu zingne kwahio kwa mtazamp wang mm kwekeza huko ni muhimu lakin kwa sasa hatuna udharula huo labda uko mbelen kwasasa tuendelee tu kuwekeza kwe elimu itatusaidiaga huko mbelen kuja kusolve changamoto km hizi
Elimu ndio hii ambayo watu wanalazimishwa kusoma yasiyo vipaji vyao....na kwa kujiuza ili wapate ada afu unategemea kuzalisha ma genius?
 
Mabalozi wenyewe tunaletewa majasusi nguli. Balozi wa US alikuwa Deputy Chief Of Staff White House. Balozi wa Uingereza aliyemaliza mda wake Diana Melrose naskia ni nguli MI6. Imagine alikuwa Cuba kabla ya kuletwa hapa. Rasilimali zetu ndio zinafanya tunafatiliwa hivi. Kutembelewe na Marais watatu wa US na wawili wa China sio jambo dogo. Hawa ndio mataifa makubwa ya kiuchumi duniani. Tulisikia pia mipango ya Putin kuja Tanzania naona aliharisha.
Bora tutembelewe na Putin sio hao matapeli wa kichina na kimarekani
 
Wakiamua ni watu hatari sana na utaalamu wao uko juu sana.
Hata BOMBA la MAJI ni MICROPHONE tosha kabisa kukusikiliza wewe na mke wako chumbani mkiongea ama MKIGOMBANA. ILI MRADI tu nyumba yako ina BOMBA la maji!
Sijakuekewa mkuu. Kwamba wametega mike kwenye bomba
 
Kutokana na habari zilizodhibitishwa ni kuwa UINGEREZA imekuwa ikiwafanyia UJASUSI marais 20 wa nchi za Afrika na zaidi ikiwa ni pamoja na KUSIKILIZA MAONGEZI yao na ya WASAIDIZI wao karibu na KUGAWANA SIRI hizi na CIA ya Marekani.

Makao makuu ya Mawasiliano ya kijasusi ya Uingereza GCSQ -British Government Communication Hq inayoshughulikia ku INTERCEPT/Kunasa mawasiliano ya KIJASUSI (SIGNIT) kutoka nchi mbali mbali ikiwemo viongozi wa nchi hizo kwa manufaa ya KISIASA na UCHUMI miongoni mwa MASLAHI yao mengine ya kisiasa imekuwa IKIFANYA KAZI HIYO!

Habari ZILIZOVUJA zinasema miongoni mwao ni viongozi waliopita na WALIOKO.....wa Afrka Mashariki ikiwa ni pamoja na Mawaziri wao Wakuu.

IKULU kadhaa ikiwemo ya Angola zimekuwa katika jicho kali 24/7 la shirika la ujasusi la Uingereza MI6.Hii ni kutokana na UTAJIRI wake mwingi wa mafuta.

KUVUJA kwa habari hizi kumela PANIC miongoni mwa viongozi na nchi za Afrika.
Nchi kama yetu na vyombo na vyombo
HUSIKA ni LAZIMA wawe ON TOP of things, ili KUZUIA ama KUKINGA MAWASILIANO ya rais Magufuli na WASAIDIZI wake wa KARIBU YASIVUJE!

Natumaini Rais Magufuli ATASIKILIZA USHAURI wa vyombo HUSIKA ili KUTOPIGA SIMU KIENYEJI katika ulimwengu uliobadilika.
Tukizingatia kuwa Tanzania ni NCHI TAJIRI lolote la kuchukua ADVANTAGE KIUCHUMI ama KISIASA na laweza kufanywa na the BIG BROTHERS kwa MANUFAA yao!
Chanzo Le monde la Ufaransa!
Huu ndio wakati muafaka wa software developers wakae wafanye kitu sio kukaa na kuflash simu na Ku unlock modem na samahani wale watu wa usalama kama mpo sio MTU kafanya network attacks au social net kwa wema sepetu eti anashikwa na kupelekwa jera miaka 30 inabidi watanzania tubadilike na tutumie watu wetu wenye kwenye mambo kama haya kufanya decryption ya kitu flani hasa simu na mawasiliano mengine sio kama wale jamaa wa TCRA Kazi yao kufungia simu tu.
 
pale ikulu kuna inzi hata haogopi mtu watu wanadhani inzi bandidu kumbe ni drone inakusanya habari. The only best way to curb or fight them is to not use their internet and expel their embassies them our home land. Je nani anataka kufanya hil? metti!
 
Nothing can be done about it,hatuna technology la kuzuia hilo,wa kwetu yeye ni kiswahili tu,watapata tabu kumuelewa!

Mitambo inatafsiri kwa Kiingereza au Kirashia au Kifaransa moja kwa moja bila kupitia kwa mkalimani wa kwetu!! Hukuna pa kujificha kwani mpaka msalani wanakuona na kusikia wa kwetu! If you cannot go against them you join them au vipi!
 
nilijua mitambo iliyotengenezwa na watanzania wazalendo maprofesa na madaktari wa sayansi ya mawasiliano na wahandisi kwa ujumla kumbe kutoka israel?
Haaa Hao Wanaweza Majungu Na Kujikomba Na Wanasiasa Ili Wapate Vyeo. Baadhi Yao Wakina Dk Bana
Wale Wa TWAWEZA
 
Hiyo ilikuwa ni Transistor technology ya Miaka hiyo na sasa Unagusia Solid state ambayo inatumia Semiconductors, mimi kidogo hizi vitu ni Mtaalam kwa kuwa tunavitumia Kwenye PLC na SCADA. Lakini mambo yanabadilika Tena wakati Africa hata Technologia ya Transistor hatuiwezi, tunang,ang,ania kupambana na Wabunge na wake zao wamesema ninj Facebokk, Wenzetu wanahamia kwenye Nano technology, (Wiring with atoms) na Quantum communication, communication based on energy wave length, Light property energy levels of materials and super encryption.


Mokili Fumulauhi, nafurahi kusikia u mtaalamu na umejifunza PLC na SCADA, hizo ni software ambazo unatumia katika vyumba utakavyopewa na uko limited utumie wapi na hugusi wapi katika kifaa husika,mfano umepewa drive na kuambiwa hii ni 40GB,utundu na utaalamu wote wa soft ware utafanyika katika hiyo 40GB tu,lkn sehemu itakayokuwa imezuiwa isitumiwe na mtu wa software bali ibaki kuchukuwa na kutoa taarifa za siri zako kwa desiner ,mtu wa software hataweza kuitumia. Yote hayo yatachezewa katika vifaa vinne nilivyovitaja.Kumbuka usemapo diode ni semiconductor ,na unaposema nano technology umemaanisha ukubwa wa anode na cathode katika diode hiyo ambayo kadiri iwavyo ndogo inawezesha kutengeneza chip ndogo sana zenye circuit zenye uwezomkubwa katika nafasi ndogo.Mfano wajua kama hata flash wakiamua kuitumia kuchukuwa taarifa zetu na kuzituma kwenda kwenye satellites inawezekana hata bila vibali vya TCRA? Technolojia iko mbali sana tofauti na wengi wanavyofikiri,lkn ni bahati mbaya kwamba sisi tunahangaika na yasiyotusaidia.Habari njema ni kwamba haya yote yako wazi kama tukiamua kubadili mawazo na kuingiza uhalisia katika elimu zetu kuanzia designing level mpaka application .
 
Sijakuekewa mkuu. Kwamba wametega mike kwenye bomba
Mkuu nilikuwa ninasema tekinolojia iko juu sana kiasi kuwa maji na bomba lako wakitaka wanaweza kulitumia kama microphone.
Maana maji yanaweza kubeba sauti kutokana na molecules zilizo ndani ya maji.
Pia bomba lako la maji linatosha sana.
Zamani yalikuwa mzigo mkubwa siku hizi ni ka kitu kadogo sana mini-Hydrophone.Wakitaka kujua kuwa HUWA MNAPIGANAGA wewe na mke wako WATAJUA tu na KUSIKILIZA makelele yote.Na wakati muafaka WANATOA SIRI zako zote!
 
Back
Top Bottom