Hujawahi. kama sikosei nilitumia neno discipline nikimaanisha KUJIZUIA kuongea kiholela kutumia simu hasa kwa viongozi wetu. Maana mara nyingi wanajisahau! Sijatumia neno la kiswahili kama hilo labda makosa ya kutaipu! Samahani!Tunazo encryption units lakini zinatoka wapi? Zinatumia mitandao (networks) zipi?
Back to square one, damned if you do damned if you don't.
Sijakuelewa hapo uliposema, tuheshi minne, una maanisha nini? Nimeshawahi kukuvunjia heshima?
It helps to make strategy to confuse usHivi nchi duni kama Tanzania hata ikidukuliwa kuna nini ?
Katika kuongezea. Canada na simu zao za Blackberry na utaalamu wao wa ENCRYPTED communication. CIA na NSA walitoa jasho na kuwasihi sana ili waweze KU CRACK kwa ajili ya usalama wao.Tunazo encryption units lakini zinatoka wapi? Zinatumia mitandao (networks) zipi?
Back to square one, damned if you do damned if you don't.
Sijakuelewa hapo uliposema, tunaweza kuwa na discipline, una maanisha nini?
Mbona unataka iwe kesi, wenye nyumba weshakusikiaUlitakaje haya futeni
Kutokana na habari zilizodhibitishwa ni kuwa UINGEREZA imekuwa ikiwafanyia UJASUSI marais 20 wa nchi za Afrika na zaidi ikiwa ni pamoja na KUSIKILIZA MAONGEZI yao na ya WASAIDIZI wao karibu na KUGAWANA SIRI hizi na CIA ya Marekani.
Makao makuu ya Mawasiliano ya kijasusi ya Uingereza GCSQ -British Government Communication Hq inayoshughulikia ku INTERCEPT/Kunasa mawasiliano ya KIJASUSI (SIGNIT) kutoka nchi mbali mbali ikiwemo viongozi wa nchi hizo kwa manufaa ya KISIASA na UCHUMI miongoni mwa MASLAHI yao mengine ya kisiasa imekuwa IKIFANYA KAZI HIYO!
Habari ZILIZOVUJA zinasema miongoni mwao ni viongozi waliopita na WALIOKO.....wa Afrka Mashariki ikiwa ni pamoja na Mawaziri wao Wakuu.
IKULU kadhaa ikiwemo ya Angola zimekuwa katika jicho kali 24/7 la shirika la ujasusi la Uingereza MI6.Hii ni kutokana na UTAJIRI wake mwingi wa mafuta.
KUVUJA kwa habari hizi kumela PANIC miongoni mwa viongozi na nchi za Afrika.
Nchi kama yetu na vyombo na vyombo
HUSIKA ni LAZIMA wawe ON TOP of things, ili KUZUIA ama KUKINGA MAWASILIANO ya rais Magufuli na WASAIDIZI wake wa KARIBU YASIVUJE!
Natumaini Rais Magufuli ATASIKILIZA USHAURI wa vyombo HUSIKA ili KUTOPIGA SIMU KIENYEJI katika ulimwengu uliobadilika.
Tukizingatia kuwa Tanzania ni NCHI TAJIRI lolote la kuchukua ADVANTAGE KIUCHUMI ama KISIASA na laweza kufanywa na the BIG BROTHERS kwa MANUFAA yao!
Chanzo Le monde la Ufaransa!
Baadaye CIA waliweza kuifuungua core na kusoma msg zote bila msaada wa kampuni ya simu.Inawezekana katika Encrypted format.
Unajua watengenezaji wa simu kama Blackberry waliwatoa jasho CIA.na hata NSA. Walishindwa ku CRACK simu zao. Walisihi sana wakiiomba kampuni hiyo iwape namna.
Sijui kama walikubaliwa. Mwenye habari anaweza kuchangia
Hiyo ilikuwa ni Transistor technology ya Miaka hiyo na sasa Unagusia Solid state ambayo inatumia Semiconductors, mimi kidogo hizi vitu ni Mtaalam kwa kuwa tunavitumia Kwenye PLC na SCADA. Lakini mambo yanabadilika Tena wakati Africa hata Technologia ya Transistor hatuiwezi, tunang,ang,ania kupambana na Wabunge na wake zao wamesema ninj Facebokk, Wenzetu wanahamia kwenye Nano technology, (Wiring with atoms) na Quantum communication, communication based on energy wave length, Light property energy levels of materials and super encryption.Mfamo wa wakati huu wa mawasiliano hutegemea sana electronics. Huko kuna vitu vinne tu ambavyo ni😀iode ,capacitor,inductor na rsistor. Diode ndiyo bwana na wengine ni wasaidizi. Mchezo wote huchezwa kwenye diode ambayo huweza kupata derivatives nyingi kama transistors,thyristors nk hivyo kupelekea application tofauti. Muunganiko wa hivi hutoa chochote,mfano:radar,tv,radio,dvd,memory cards,computer nk,chumba kitakachowekwa humruhusu mtu wa IT kutumia maarifa kidogo aliyopewa kutumia chumba alichopewa kufanya programing na yafananayo. Naomba kuuliza wadau,hivi designer akitaka mtambo wake kutuchunguza kisha akatuuzia ama kutupa msaada kama ilivyozoeleka akaweka sehemu moja chumba tuwezachokukiona na kukitumia kwa mfano kama data center yetu na chumba cha pili kisionekane kwetu lakini kimsaidie designer kumpa taarifa yoyote ipitayo kwa chombo hicho je tutakuwa na jinsi ipi ya kujilinda?
Ni bahati mbaya sana kwamba elimu yetu imetugawa sana,mfano mtu wa umeme hujifunza kuzalisha umeme lakini hafundishwi umeme ni nini na unaenda kufanya kazi gani,mtu wa electronics anajifunza vifaa hivi lakini hafundishwi vitatumikaje kupitisha taarifa na mtu wa IT anafundishwa kupitisha taarifa kwa vifaa ambavyo hajui siri za uundaji wake,na bahati mbaya zaidi wote hawa sehemu kubwa wamejifunza kukidhi vigezo vya mitihani na siyo uelewa.
Elimu ndio hii ambayo watu wanalazimishwa kusoma yasiyo vipaji vyao....na kwa kujiuza ili wapate ada afu unategemea kuzalisha ma genius?yeah ni kweli but cku zote unapofanya investment lazima pia uangalie wnapata nn in return,mfano wadukuz weng wanaodukua nchi za ulaya na marekan weng wao huwa wanadukua siri za makampuni makubwa ya biashara ama ya silaha ili watumie taarifa hizo kuwasaidia kuendeleza makampuni yao pia kwahio hapa bajeti znazowekwa na serikali husika kwe viombo vyao usalama ili kuzlnda taarifa za kampun zao zinakuwa ni sawa.....nakumbk pia hawa wabritish kwa huku east africa wamekua wakidukua sana kenya hsa kwajili ya kutrace link za al shabab na c kwasababu zingne kwahio kwa mtazamp wang mm kwekeza huko ni muhimu lakin kwa sasa hatuna udharula huo labda uko mbelen kwasasa tuendelee tu kuwekeza kwe elimu itatusaidiaga huko mbelen kuja kusolve changamoto km hizi
Bora tutembelewe na Putin sio hao matapeli wa kichina na kimarekaniMabalozi wenyewe tunaletewa majasusi nguli. Balozi wa US alikuwa Deputy Chief Of Staff White House. Balozi wa Uingereza aliyemaliza mda wake Diana Melrose naskia ni nguli MI6. Imagine alikuwa Cuba kabla ya kuletwa hapa. Rasilimali zetu ndio zinafanya tunafatiliwa hivi. Kutembelewe na Marais watatu wa US na wawili wa China sio jambo dogo. Hawa ndio mataifa makubwa ya kiuchumi duniani. Tulisikia pia mipango ya Putin kuja Tanzania naona aliharisha.
Teh teh .,.........Pale TZ inapoogopa kudukuliwa.Inadukuliwa Ujerumani sembuse sisi makapuku tusio na technology.
Sijakuekewa mkuu. Kwamba wametega mike kwenye bombaWakiamua ni watu hatari sana na utaalamu wao uko juu sana.
Hata BOMBA la MAJI ni MICROPHONE tosha kabisa kukusikiliza wewe na mke wako chumbani mkiongea ama MKIGOMBANA. ILI MRADI tu nyumba yako ina BOMBA la maji!
Huu ndio wakati muafaka wa software developers wakae wafanye kitu sio kukaa na kuflash simu na Ku unlock modem na samahani wale watu wa usalama kama mpo sio MTU kafanya network attacks au social net kwa wema sepetu eti anashikwa na kupelekwa jera miaka 30 inabidi watanzania tubadilike na tutumie watu wetu wenye kwenye mambo kama haya kufanya decryption ya kitu flani hasa simu na mawasiliano mengine sio kama wale jamaa wa TCRA Kazi yao kufungia simu tu.Kutokana na habari zilizodhibitishwa ni kuwa UINGEREZA imekuwa ikiwafanyia UJASUSI marais 20 wa nchi za Afrika na zaidi ikiwa ni pamoja na KUSIKILIZA MAONGEZI yao na ya WASAIDIZI wao karibu na KUGAWANA SIRI hizi na CIA ya Marekani.
Makao makuu ya Mawasiliano ya kijasusi ya Uingereza GCSQ -British Government Communication Hq inayoshughulikia ku INTERCEPT/Kunasa mawasiliano ya KIJASUSI (SIGNIT) kutoka nchi mbali mbali ikiwemo viongozi wa nchi hizo kwa manufaa ya KISIASA na UCHUMI miongoni mwa MASLAHI yao mengine ya kisiasa imekuwa IKIFANYA KAZI HIYO!
Habari ZILIZOVUJA zinasema miongoni mwao ni viongozi waliopita na WALIOKO.....wa Afrka Mashariki ikiwa ni pamoja na Mawaziri wao Wakuu.
IKULU kadhaa ikiwemo ya Angola zimekuwa katika jicho kali 24/7 la shirika la ujasusi la Uingereza MI6.Hii ni kutokana na UTAJIRI wake mwingi wa mafuta.
KUVUJA kwa habari hizi kumela PANIC miongoni mwa viongozi na nchi za Afrika.
Nchi kama yetu na vyombo na vyombo
HUSIKA ni LAZIMA wawe ON TOP of things, ili KUZUIA ama KUKINGA MAWASILIANO ya rais Magufuli na WASAIDIZI wake wa KARIBU YASIVUJE!
Natumaini Rais Magufuli ATASIKILIZA USHAURI wa vyombo HUSIKA ili KUTOPIGA SIMU KIENYEJI katika ulimwengu uliobadilika.
Tukizingatia kuwa Tanzania ni NCHI TAJIRI lolote la kuchukua ADVANTAGE KIUCHUMI ama KISIASA na laweza kufanywa na the BIG BROTHERS kwa MANUFAA yao!
Chanzo Le monde la Ufaransa!
Nothing can be done about it,hatuna technology la kuzuia hilo,wa kwetu yeye ni kiswahili tu,watapata tabu kumuelewa!
Haaa Hao Wanaweza Majungu Na Kujikomba Na Wanasiasa Ili Wapate Vyeo. Baadhi Yao Wakina Dk Bananilijua mitambo iliyotengenezwa na watanzania wazalendo maprofesa na madaktari wa sayansi ya mawasiliano na wahandisi kwa ujumla kumbe kutoka israel?
Hiyo ilikuwa ni Transistor technology ya Miaka hiyo na sasa Unagusia Solid state ambayo inatumia Semiconductors, mimi kidogo hizi vitu ni Mtaalam kwa kuwa tunavitumia Kwenye PLC na SCADA. Lakini mambo yanabadilika Tena wakati Africa hata Technologia ya Transistor hatuiwezi, tunang,ang,ania kupambana na Wabunge na wake zao wamesema ninj Facebokk, Wenzetu wanahamia kwenye Nano technology, (Wiring with atoms) na Quantum communication, communication based on energy wave length, Light property energy levels of materials and super encryption.
basi sawa.Mkuu nimefanya na ni muda sasa sijaona lolote?
Mkuu nilikuwa ninasema tekinolojia iko juu sana kiasi kuwa maji na bomba lako wakitaka wanaweza kulitumia kama microphone.Sijakuekewa mkuu. Kwamba wametega mike kwenye bomba