Geronimo CIA ndo walikuwa wamemfundisha wao wakati Sovieti wakati huo ikiwa afghanistani. Alipowageuka alikuwa anajua hata MUDA upi SETILAITI zitakuwa angani ANAZIMA kila kitu na kujificha! Tumia simu ya kawaida ni afadhali.ndio maana geronimo aliachana kabisa na mfumo wa kutumia simu ktk kuwasiliana na makamanda wake.hii ilimsaidia kukwepa viunzi vingi alivotegeshewa na CIA pamoja na washirika wao.
wanakwambia kama unataka uishi salama bila kudukuliwa kwa namna yoyote ile ktk zama hizi,itakubidi ukubali kuishi maisha ya zama za watu wa kale (old stone age).
Anasahau kinachoendelea sasa USA baada ya uchaguzi ati Urusi ilingilia huo uchaguziWe unashangaa leo?
Uko dunia gani?
Obama mwenyewe alikamatwa redhanded akimjasusi Angela Merkel karibu miaka mitatu iliyopita, ilibidi aombe radhi.
Kuchunguzwa na Idara za kijasusi za kimataifa ni jambo la kawaida kabisa.
Ni wewe tu unajiwekaje kutunza usalama na siri zako.
halafu kweli bwana, mengine haya!Anasahau kinachoendelea sasa USA baada ya uchaguzi ati Urusi ilingilia huo uchaguzi
Hakuna siri. Nilisema hata bomba lako la maji laweza kutumika kujua kama huwa mnagombanaga na mke wako nyumbani ama la.kwani siku hizi kuna mtu anaongea ishu ya siri kwa kutumia simu?
"labda siri za ndani" yaani za mke na mume maana hazina maslahi na mtu mwingine
Nasikia mfanyabiashara mmoja ni rafiki yake Trumphalafu kweli bwana, mengine haya!
hivi urusi wana maslahi gani na Donald Trump?
yap mkuu tatizo letu sisi waafrica kila kitu kinafanywa kisiasa na hatko organized kwenye mipango yetu ya kitaifa na hata hii issue ya kuwekeza kwe elimu yaan inafanyika as if tunalazimishwa ama kuna mtu anatuburuza vile hakuna userious kivile yaan leo hii vyama vya siasa hatujawah ckia vilalamike vmecheleweshewa ruzuku zao lakin kwa vijana walioko vyuon kucheleweshewa ama kutopata kabisa wala c jambo la ajabu hata kidogoElimu ndio hii ambayo watu wanalazimishwa kusoma yasiyo vipaji vyao....na kwa kujiuza ili wapate ada afu unategemea kuzalisha ma genius?
KUVUJA kwa habari hizi kumela PANIC miongoni mwa viongozi na nchi za Afrika.
Nchi kama yetu na vyombo na vyombo
HUSIKA ni LAZIMA wawe ON TOP of things, ili KUZUIA ama KUKINGA MAWASILIANO ya rais Magufuli na WASAIDIZI wake wa KARIBU YASIVUJE!
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]Sisi wetu kama walikua wanamdukua nahisi hawakupata tabu sana maana yeye kupiga simu clouds na kwa makonda hana shida baba wa watu
Msifute post yangu
Siyo tu ushawishi wetu umeshuka,hatuna ushawishi tena mzee wetu kule Bulundi juzi wamemkataa inabidi tujiangalie sana maana kupoteza ushawishi siyo kitu kizuri.Wazo la maana sana. Nadhani issue muhimu sana Raisi wetu atumia staili za Osama Man tu man communication/Face to Face tena na watu waliomakini.
Ukizingatia kwa sasa ushawishi wetu maziwa makuu na kusini mwa Afrika umeshuka na pia hali ya hewa kati yetu na Malawi haya mambo siyo ya kupuuzia.
bonge la point !!!yeah ni kweli but cku zote unapofanya investment lazima pia uangalie wnapata nn in return,mfano wadukuz weng wanaodukua nchi za ulaya na marekan weng wao huwa wanadukua siri za makampuni makubwa ya biashara ama ya silaha ili watumie taarifa hizo kuwasaidia kuendeleza makampuni yao pia kwahio hapa bajeti znazowekwa na serikali husika kwe viombo vyao usalama ili kuzlnda taarifa za kampun zao zinakuwa ni sawa.....nakumbk pia hawa wabritish kwa huku east africa wamekua wakidukua sana kenya hsa kwajili ya kutrace link za al shabab na c kwasababu zingne kwahio kwa mtazamp wang mm kwekeza huko ni muhimu lakin kwa sasa hatuna udharula huo labda uko mbelen kwasasa tuendelee tu kuwekeza kwe elimu itatusaidiaga huko mbelen kuja kusolve changamoto km hizi
labda nitoe wazo langu mkuu, kwa sasa watanzani inabidi wafahamu nini maana ya uzalendo wa nchi yao, hakuna silaha kali ya watu walio maskini kama uzalendo halisi maana huleta mshikamano wa kweli, nisilaha ambayo adui huiogopa sana. wakati huo huo tujikite kwenye elimu.Hishakiye1974 Hebu jaribu kufafanua kidogo. Ulikuwa unasema tufanye nini kwa sasa?
Acha na mimi niwape yangu.
Tusijidharau bhana, sisi tupo juu kwa teknolojia. Kwhyo la muhimu ni mipango na kuwawezesha kifedha na mashirikiano wasomi wetu.
Ni kweli "Mipango na kuwezeshwa kifedha".Acha na mimi niwape yangu.
Tusijidharau bhana, sisi tupo juu kwa teknolojia. Kwhyo la muhimu ni mipango na kuwawezesha kifedha na mashirikiano wasomi wetu.
Unaposema kuna nini nakushangaa. Udukuzi unaweza kuwapa washindani wetu faida ya kibiashara. Kisiasa, nk. Uzalendo ndo jambo la maanaHivi nchi duni kama Tanzania hata ikidukuliwa kuna nini ?
Mkuu kiswahili ni lugha ya kimataifa. Na inaeleweka sana!Nothing can be done about it,hatuna technology la kuzuia hilo,wa kwetu yeye ni kiswahili tu,watapata tabu kumuelewa!