Marais 24 wa Afrika. Rais wa Bank ya Dunia, Rais wa Bank ya Afrika, n.k na Wengine 2600 kuhudhuria Mkutano Nishati Kesho

Marais 24 wa Afrika. Rais wa Bank ya Dunia, Rais wa Bank ya Afrika, n.k na Wengine 2600 kuhudhuria Mkutano Nishati Kesho

Meneja Wa Makampuni

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2020
Posts
7,899
Reaction score
10,415

๐—Ÿ๐—œ๐—ฉ๐—˜: ๐— ๐—ธ๐˜‚๐˜๐—ฎ๐—ป๐—ผ ๐˜„๐—ฎ ๐—ก๐—ถ๐˜€๐—ต๐—ฎ๐˜๐—ถ ๐—”๐—ณ๐—ฟ๐—ถ๐—ธ๐—ฎ (๐—”๐—ณ๐—ฟ๐—ถ๐—ฐ๐—ฎ ๐—˜๐—ป๐—ฒ๐—ฟ๐—ด๐˜† ๐—ฆ๐˜‚๐—บ๐—บ๐—ถ๐˜) ๐Ÿฎ๐Ÿณ-๐Ÿฎ๐Ÿด ๐—๐—ฎ๐—ป๐˜‚๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ, ๐Ÿฎ๐Ÿฌ๐Ÿฎ๐Ÿฑ​

1738065769122.jpeg

1738065767957.jpeg


1738065768425.jpeg

1738065769209.jpeg

Tazama live Hapa Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika Kuhusu Nishati (Africa Energy Summit)​



Utakaofanyika Jijini Dar es Salaam tarehe 27 โ€“ 28 Januari, 2025.

Mkutano huu muhimu unaandaliwa kwa pamoja na Serikali ya Tanzania, Benki ya Dunia, na Benki ya Maendeleo ya Afrika.

Washiriki wakuu watakuwa:
  • Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan
  • Marais wa Nchi za Afrika 24
  • Wawakilishi wa Wakuu wa Nchi na Serikali za Afrika 21
  • Wakuu wa Taasisi za Kimataifa 6, wakiwemo Rais wa Benki ya Dunia, Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika, na Rais wa Taasisi ya Rockefeller
  • Washirika wa Maendeleo 5
Zaidi ya washiriki 2,600 wa ndani na nje ya Tanzania wamejisajili kwa ajili ya kushiriki.

Tukio hili litarushwa live moja kwa moja kupitia link ifuatayo:
๐Ÿ‘‰ Tazama Live Hapa:
View: https://www.youtube.com/live/o6bgARGZYwg?si=gP6Q41jhT7znTZxh

Au hapa:
View: https://youtu.be/tbw0W_AeUKk

Au unaweza Kujisajili pia hapa:
Muda wa kuanza: Saa 8:00 Asubuhi (EAT)

Usikose kutazama tukio hili kubwa linalolenga kubuni njia za kuwafikishia umeme watu milioni 300 barani Afrika ifikapo mwaka 2030!

AGENDA:

1.jpg

2.jpg

Screenshot_20250126_201200_Chrome.jpg

Screenshot_20250126_201214_Chrome.jpg

Screenshot_20250126_201222_Chrome.jpg

Screenshot_20250126_201229_Chrome.jpg

Screenshot_20250126_201245_Chrome.jpg

Screenshot_20250126_201255_Chrome.jpg

Screenshot_20250126_201304_Chrome.jpg

Screenshot_20250126_201304_Chrome.jpg

Screenshot_20250126_201311_Chrome.jpg
 

Attachments

  • 3.jpg
    3.jpg
    422.7 KB · Views: 2
  • Screenshot_20250126_201237_Chrome.jpg
    Screenshot_20250126_201237_Chrome.jpg
    369.4 KB · Views: 3

LIVE: Tazama live Hapa Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika Kuhusu Nishati (Africa Energy Summit)​


Utakaofanyika Jijini Dar es Salaam tarehe 27 โ€“ 28 Januari, 2025.

Mkutano huu muhimu unaandaliwa kwa pamoja na Serikali ya Tanzania, Benki ya Dunia, na Benki ya Maendeleo ya Afrika.

Washiriki wakuu watakuwa:
  • Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan
  • Marais wa Nchi za Afrika 24
  • Wawakilishi wa Wakuu wa Nchi na Serikali za Afrika 21
  • Wakuu wa Taasisi za Kimataifa 6, wakiwemo Rais wa Benki ya Dunia, Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika, na Rais wa Taasisi ya Rockefeller
  • Washirika wa Maendeleo 5
Zaidi ya washiriki 2,600 wa ndani na nje ya Tanzania wamejisajili kwa ajili ya kushiriki.

Tukio hili litarushwa live moja kwa moja kupitia link ifuatayo:
๐Ÿ‘‰ Tazama Live Hapa:
Muda wa kuanza: Saa 8:00 Asubuhi (EAT)

Usikose kutazama tukio hili kubwa linalolenga kubuni njia za kuwafikishia umeme watu milioni 300 barani Afrika ifikapo mwaka 2030!

AGENDA:

View attachment 3215109
View attachment 3215110
View attachment 3215111
View attachment 3215113
View attachment 3215114
View attachment 3215115
View attachment 3215117
View attachment 3215118
View attachment 3215119
View attachment 3215119
View attachment 3215120
Asante Sana.
 
Back
Top Bottom