Karne Dadakidoti Lamomy Melancholic Poor Brain Mzee wa kupambania Extrovert realMamy
Kwangu mm, moja ya mitego yangu ambayo ipo simpo sana na nimeigundua hivi karibuni, nikiona mdada mzuri, nina mpango wa kumtongoza na kufanya nae mahusiano ya mda mrefu, tukifahamiana ile kidogo, mimi nitamuomba kitu kidogo sana na nakua nahakikisha kua hela anayo, kikawaida kabisa mm nitakua wa kwanza kumuomba aninunulie kitu kidogo tu k.v biskuti ya tsh 500, andazi moja, soda, maji ya tsh 500 halafu naangalia reaction yake na maneno yake, reaction yake ndo itanipa mwanga kua yeye ni mwanamke wa aina gani, atakua ni mke wa aina gani kwa ndugu, na ananichukuliaje.
Kwa wanaume mnaweza ona huo ni mtego mdogo/simple, ila ewe mwanaume, wanawake wengi sana walio kwenye circle yako ambao sio nduguzo, ukiwapa huo mtego watafeli, logic ya huo mtego nimeitoa kwa Mungu alivomuomba Abraham ampe sadaka ya mwanae, kumpima Abraham
NB: mtego wangu hauna maana ya mm kua marioo, au kumfanyia mdada ndo aje kunihudumia kipesa, ni psychological move tu ambayo nai-employ kwa hawa parasitic females ambao kwa sasa ndo wako wengi kwenye dating market