Sawa mkuu, Ila kutokana na dharura iliyotokea ingekuwa busara zaidi kuagizia kutoka Dar ambapo ni karibu Sana na Bagamoyo. Hii ingepunguza adha kwa abiria.Huenda pia ana biashara ya spea moshi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mkuu, Ila kutokana na dharura iliyotokea ingekuwa busara zaidi kuagizia kutoka Dar ambapo ni karibu Sana na Bagamoyo. Hii ingepunguza adha kwa abiria.Huenda pia ana biashara ya spea moshi
Naona jamaa yupo na Promotion ya KLM wakati watu washaacha kusafiri na hayo madudu kwa sababu hizo hizo anakuja na story ya KLM 2023...Kilimanjaro yenyewe vimeo tu tatizo la mabasi ni maintenance tu. Hilo Kilimanjaro sina hamu nalo kabisa na tayari yashachoka.
Hapo ndipo walipofeli, lakini nadhan ishu ya ubora wa spea pia unachangia.Sawa mkuu, Ila kutokana na dharura iliyotokea ingekuwa busara zaidi kuagizia kutoka Dar ambapo ni karibu Sana na Bagamoyo. Hii ingepunguza adha kwa abiria.
Jana Jumatano 04/10/2023 basi la Marangu Coach liliondoka Dar es Salaam asubuhi kama kawaida na abiria wakiwa na matarajio ya kufika Moshi kwenye saa 10 hivi bila kujua lililo mbele yao, basi lilipofika wilaya ya Bagamoyo likaharibika ikabidi spea iagizwe toka Moshi iletwe Bagamoyo! Akili mbovu.
Spea haikuletwa kwa ndege wala ungo, Moshi siyo Dar masaa yalipita Mungu Mkuu ikafikishwa na basi likatengenezwa na kuendelea na safari, likaingia mkoa wa Tanga likaharibika tena na likatengenezwa na kuendelea na safari, mpaka saa nne usiku basi lilikuwa wilaya ya Same! Usingizi ukanipata nikazimika na sijui Moshi liliingia saa ngapi ila lilifika salama, hiyo ndiyo Marangu Coach.
Kwani kuna gari isiyoharibika mkuu?Jana Jumatano 04/10/2023 basi la Marangu Coach liliondoka Dar es Salaam asubuhi kama kawaida na abiria wakiwa na matarajio ya kufika Moshi kwenye saa 10 hivi bila kujua lililo mbele yao, basi lilipofika wilaya ya Bagamoyo likaharibika ikabidi spea iagizwe toka Moshi iletwe Bagamoyo! Akili mbovu.
Spea haikuletwa kwa ndege wala ungo, Moshi siyo Dar masaa yalipita Mungu Mkuu ikafikishwa na basi likatengenezwa na kuendelea na safari, likaingia mkoa wa Tanga likaharibika tena na likatengenezwa na kuendelea na safari, mpaka saa nne usiku basi lilikuwa wilaya ya Same! Usingizi ukanipata nikazimika na sijui Moshi liliingia saa ngapi ila lilifika salama, hiyo ndiyo Marangu Coach.
Ulisafiri na Kilimanjari lini mkuu?Tuliposema mabasi ya kichina ni hovyo tulishambuliwa tukaambiwa hatuendi na wakati, huo upuuzi hutausikia Kilimanjaro Express, wale gari zao nyingi kama siyo zote ni toughened and trusted Scania
Kuna siku nlikua natoka arusha to dom na shabiby, basi likapata tatzo kabla hata ya kufika makuyuni, spea ilitoka dodoma tulingoja zaidi ya 5 hrs. Nadhan wanakuwa na spea zao pia ndio maana ya kusubiria badala ya kununua karibu na eneo ilipotokea changamoto.Sawa mkuu, Ila kutokana na dharura iliyotokea ingekuwa busara zaidi kuagizia kutoka Dar ambapo ni karibu Sana na Bagamoyo. Hii ingepunguza adha kwa abiria.
Dar kila mtu mwizi au anajiandaa kuwa mwiziDar ujanja mwingi sana
Wanachukua kipuli sehemu ambayo wana dhamana ya kukopa Mkuu ingekua wananunua kwa kulipa Cash wangefata Dar..Kwani kuna gari isiyoharibika mkuu?
Sema kosa kubwa, spea itoke Moshi badala ya Dar.
Pili inafaa gari ikiharibika wafanye mbadala kufaulisha watu.
Hata ndege zinafaulishaga mkuu
Msamamehe.Tema Mate Chini, Kilimanjaro Moja Ya Tisa Alfajiri Kuna Siku Tuliondoka Saa Kumi Na Moja Bado Wana faults maana gari ilikuwepo pale na hatukubadilishiwa
Hili nalo nenoWanachukua kipuli sehemu ambayo wana dhamana ya kukopa Mkuu ingekua wananunua kwa kulipa Cash wangefata Dar..
Wengine tupo road kila siku, plz usidanganye ummaWamejirekebisha wana mabasi mazuri sana siku hizi
Namba A ya scania inafanya poa kuliko mchina wa namba E. Kama nasema uongo nionyeshe mchina wa namba A.Mkuu gari yeyote inahitaji matengenezo ya mara kwa mara ili yasitokee hayo hata Scania pia zinaharibika nyingi tu tatizo la Marangu ni Mmiliki kufariki naona wahuni wanaendesha Kampuni wanavyotaka...mbona hiyo ishu hakuna Shabiby,Ester na mengineyo ambao wamejaza Mchina...
Biashara za Kiswahili.Kuna siku nlikua natoka arusha to dom na shabiby, basi likapata tatzo kabla hata ya kufika makuyuni, spea ilitoka dodoma tulingoja zaidi ya 5 hrs. Nadhan wanakuwa na spea zao pia ndio maana ya kusubiria badala ya kununua karibu na eneo ilipotokea changamoto.
Wazazi kufariki.Marangu nayo inaelekea kuumaliza mwendo, inachechemea sijui shida n nn
Tatzo letu hatujali mudaBiashara za Kiswahili.
Hawana habari na usemi "Mteja ni Mfalme". Wanaweka mbele maslahi yao, basi!
Watoto waipambanie kampuni mwenendo wake sio mzuriWazazi kufariki.
ExactlyKuna siku nlikua natoka arusha to dom na shabiby, basi likapata tatzo kabla hata ya kufika makuyuni, spea ilitoka dodoma tulingoja zaidi ya 5 hrs. Nadhan wanakuwa na spea zao pia ndio maana ya kusubiria badala ya kununua karibu na eneo ilipotokea changamoto.