Marangu Coach imefikia hatua hii

Marangu Coach imefikia hatua hii

Tuliposema mabasi ya kichina ni hovyo tulishambuliwa tukaambiwa hatuendi na wakati, huo upuuzi hutausikia Kilimanjaro Express, wale gari zao nyingi kama siyo zote ni toughened and trusted Scania.
Bro hakuna gari haziharibiki. Hiyo Kili tu wiki iliyopita nimekuta imejitagia bagamoyo.

Shida bongo hatuna matunzo mazuri ya vifaa veyru
 
... biashara za kiswahili m'beba maono akitangulia na biashara humfuata tofauti na ngozi nyeupe.
Yaani kweli kabisa. Mwezi may mumiliki wa Precion Air alifariki saizi nayo inachechemea soon inakufa. Maana saizi inabeba abilia kutoaka mikoa mbalimbali huku wakibakiza mizigo ya abiria huko wakiahidi watakutafuta kukuletea kumbe hapo ndio imetokea utafatilia Hadi unakata tamaa. Wameshalizwa abilia wa Mbeya kibao
 
Yaani kweli kabisa. Mwezi may mumiliki wa Precion Air alifariki saizi nayo inachechemea soon inakufa. Maana saizi inabeba abilia kutoaka mikoa mbalimbali huku wakibakiza mizigo ya abiria huko wakiahidi watakutafuta kukuletea kumbe hapo ndio imetokea utafatilia Hadi unakata tamaa. Wameshalizwa abilia wa Mbeya kibao
Duh

Ova
 
Jana Jumatano 04/10/2023 basi la Marangu Coach liliondoka Dar es Salaam asubuhi kama kawaida na abiria wakiwa na matarajio ya kufika Moshi kwenye saa 10 hivi bila kujua lililo mbele yao, basi lilipofika wilaya ya Bagamoyo likaharibika ikabidi spea iagizwe toka Moshi iletwe Bagamoyo! Akili mbovu.

Spea haikuletwa kwa ndege wala ungo, Moshi siyo Dar masaa yalipita Mungu Mkuu ikafikishwa na basi likatengenezwa na kuendelea na safari, likaingia mkoa wa Tanga likaharibika tena na likatengenezwa na kuendelea na safari, mpaka saa nne usiku basi lilikuwa wilaya ya Same! Usingizi ukanipata nikazimika na sijui Moshi liliingia saa ngapi ila lilifika salama, hiyo ndiyo Marangu Coach.
Mkuu unafahamu mabasi ya kampani ya Najeem Nissa yale ndio kabisa
 
Yule kijana mpenda chini kampuni kusonga ni ngumu, anafanya mambo ya hovyo sana
Nami najua hivyo. Ndo nashangaa hapa anasoma mpk leo? Ma ni hizo hizo starehe alibamiza range. Anasema kwakua yeye ndo wa kiume basi arithi mali nyingi. Naogopa mambo ya watu mwaego. Mawakili wanakuchenchia dk 0 tu hawjaali nyie ndugu hahaha
 
Hukupata Kademu huo muda?
Ama hukuwa na Hela ukakadanganyia Vichipsi uakakala kwa Masiharaaaa
 
Wahindi na waarabu mtoto akizaliwa tu anaingizwa kwenye biashara na atakulia ndani ya biashara japo anaenda shule, akikua staendeleza biashara hiyo kwani amekulia ndani yake na ndicho kinafanya biashara zao ziendelee kuendeshwa na vitukuu na vilembwe kwa jina lilelile la mwaka 1920!
Wazazi wetu wa kiafrica roho mbaua sana
 
Hata Dar express hana maisha siyo muda ataaga mashindano.

Hizo ndiyo zilikuwa gari zangu nikiwa na safari za huko lakini siku hizi kuna hao wanajiita Tilisho na Esther wanawakata pumzi vibaya sana.
Dar ex press ana michina mipya. Huyu toka afiwe na mke na mtoto basi. Ila anbalai hotel imeamka tena maana loh. Na sisi wa vikapu ndo chimbo siku hizi
 
Wenzetu wanafundisha watoto wao kusimamia mali, sisi tukipata mali tunataka watoto wetu waishi kimayaimayai hata kujifulia nguo zao tu hawawezi, unakuta mzazi anamiliki gereji kubwa yenye mashine za maana lakin mtoto akiwa likizo anatumia huo muda kula bata kwenda anapotaka na kuangalia TV

Siku baba ukifa ujue na mali zinaondoka hizo wale mafundi lazima wagawane mali zako maana kwenye familia yako hamna mwenye idea na hizo mashine
Pia kwakua wao waliteseka sana na kuzisotea ndo sababu ha wao kutotaka mtoto ashiriki biashara zake. Wapo radhi waibiwe na ndugu, jamaa ama rafiki wa mbali ila si mtoto wake
 
Acha uongo wewe.una chuki zako binafsi.Mbona hizo scania leo sio nyingi barabarani kama haziharibiki.Hakuna gari ambalo halipati itilafu.Tuache kuongea kauli kwasababu ya mawazo yetu binafsi yasiyo sawa.
Ni chache kwasababu hakuna kibunda cha kumudu kuyanunua mengi. Hahahaa
Anaitwa Mr. Expensibe shit. G7 moja tunapata michina mingapi na mkopo juu?
 
Kwahiyo watu waache kupanda gari zuri lenye kiyoyozi wakaangaike na ngarangara la scania namba A kisa linatembea vizuri.hii sio dunia yakuangaika na matumizi ya nguvu bila akili.Hizo tetenus panda mwenyewe.Mchina kaleta mapinduzi makubwa kwenye usafiri nyie bakini uko uko kwenye maugumu yenu.
Hahaha kwahiyo G7 ni tetenus. Na unazijua scania unazoziona hapa tu? Umeziona za ulaya? Brazili? Kuwa serious basi. Labda useme kwa tz tu ndo kawaletea mapinduzi. Lkn ni kwakua u cant afford that G7 thing
 
Back
Top Bottom