Kifurukutu
JF-Expert Member
- Aug 29, 2013
- 4,641
- 6,694
maranja ndio nani tenaTaarifa ikufikie popote ulipo kwamba Martin Maranja Masese , amekuwa Mtanzania wa kwanza kutembelea Kaburi la Edward Lowassa huko kijijini Ngarashi , Wilayani Monduli .
Bwana Masese amekutana na Familia ya Lowassa na kuteta nayo Mambo kadhaa , ikumbukwe kwamba Maranja Masese ni miongoni mwa Team Maalum ya Chadema , iliyoambatana na Lowassa kila Mahali kwenye kampeni za Urais za 2015
View attachment 2909275View attachment 2909276
anajishughulisha na nini?
isijekuwa unajaza saver Jf