Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #41
Tajiri kweli yaani , usiumie roho , nyie wengi mnalogana tu ili muwe masikini , Mungu hakuumba umasikiniAnajiita tajiri wa chadema...😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tajiri kweli yaani , usiumie roho , nyie wengi mnalogana tu ili muwe masikini , Mungu hakuumba umasikiniAnajiita tajiri wa chadema...😅
SssaKwamba mimi sasa naweza kuwa Chawa wa Maranja Masese siyo ? kwamba kwa Taarifa hii nimelipwa na Maranja Masese ambaye hagombei hata ubunge ili nimpaishe au unataka kumaanisha nini , kwamba hatukutakiwa kuandika kuhusu habari hizi au ulitakaje ?
Hamna tajiri mjingamjinga Kama wewe...Tajiri kweli yaani , usiumie roho , nyie wengi mnalogana tu ili muwe masikini , Mungu hakuumba umasikini
Huu uzi ulilenga kupiga kiberiti kwenye kichaka ili panya wakurupuke , na wamekurupuka kweli !Bavicha mna mbwembwe sana.
Ni mndeeNa huyo binti kwenye picha ni nani! Ni Kamanda?
Basi hayaSssa
Hamna tajiri mjingamjinga Kama wewe...
Babake naye atakufa. Atasusiwa.Inaitwa faradhi kifaya kwa waislamu (hakuna ulazima kwenda msibani kwa kila mtu )
Mbona mimi naona madume matupu au macho yangu kushnei .Na huyo binti kwenye picha ni nani! Ni Kamanda?
Kwamba mimi sasa naweza kuwa Chawa wa Maranja Masese siyo ? kwamba kwa Taarifa hii nimelipwa na Maranja Masese ambaye hagombei hata ubunge ili nimpaishe au unataka kumaanisha nini , kwamba hatukutakiwa kuandika kuhusu habari hizi au ulitakaje ?
Strategic Men......Big BrainsTaarifa ikufikie popote ulipo kwamba Martin Maranja Masese, amekuwa Mtanzania wa kwanza kutembelea Kaburi la Edward Lowassa huko kijijini Ngarashi, Wilayani Monduli.
Bwana Masese amekutana na Familia ya Lowassa na kuteta nayo Mambo kadhaa, ikumbukwe kwamba Maranja Masese ni miongoni mwa Team Maalum ya Chadema, iliyoambatana na Lowassa kila Mahali kwenye kampeni za Urais za 2015.
View attachment 2909275View attachment 2909276
Angalau wewe umeelewaStrategic Men......Big Brains
Ameacha kufanya biashara ya bangi kupeleka Kenya?Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba Martin Maranja Masese, amekuwa Mtanzania wa kwanza kutembelea Kaburi la Edward Lowassa huko kijijini Ngarashi, Wilayani Monduli.
Bwana Masese amekutana na Familia ya Lowassa na kuteta nayo Mambo kadhaa, ikumbukwe kwamba Maranja Masese ni miongoni mwa Team Maalum ya Chadema, iliyoambatana na Lowassa kila Mahali kwenye kampeni za Urais za 2015.
View attachment 2909275View attachment 2909276
Itakuwa labdaAmeacha kufanya biashara ya bangi kupeleka Kenya?
Ma spana
Yaan kweli CDM ni manyumbu, kabisa. Yaan watu wamefiwa na baba yao, wana uchungu. Wewe unatumia msiba kusiasa. Ndio maana lowasa aliwashiti, baada ya kuona hamana cha, maana. Akarud CCM.Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba Martin Maranja Masese, amekuwa Mtanzania wa kwanza kutembelea Kaburi la Edward Lowassa huko kijijini Ngarashi, Wilayani Monduli.
Bwana Masese amekutana na Familia ya Lowassa na kuteta nayo Mambo kadhaa, ikumbukwe kwamba Maranja Masese ni miongoni mwa Team Maalum ya Chadema, iliyoambatana na Lowassa kila Mahali kwenye kampeni za Urais za 2015.
View attachment 2909275View attachment 2909276
Na wewe ni Mwanaccm? Basi hakuna mtu hapaYaan kweli CDM ni manyumbu, kabisa. Yaan watu wamefiwa na baba yao, wana uchungu. Wewe unatumia msiba kusiasa. Ndio maana lowasa aliwashiti, baada ya kuona hamana cha, maana. Akarud CCM.
😆😆😆😆😆Na wewe ni Mwanaccm? Basi hakuna mtu hapa
Watu wajinga hawana nafasi Lushoto, labda aende Ruangwa au Mtama huko akakanyagwe mgongoni na mbunge kama wale mama zake walivyo kanyagwa na BumundaWewe ndiye umeonyesha upumbavu wako ,jifunze kusoma ili uelewe kuliko kuuliza maswali, tuliosoma chini ya mstari tumeelewa kuwa ni mtanzania wa kwanza(offcourse)nje ya familia yake, sawa sasa tatizo lipo wapi?,kama umeona wivu, nenda kule Lushoto kuna milima mingi, go and jump to hell
Ingekuwa faradhi, angekwenda msibani.Inaitwa faradhi kifaya kwa waislamu (hakuna ulazima kwenda msibani kwa kila mtu )
Nimeipenda hii lakini sikufarahishwa na mapicha yalioko nyuma ya kaburi. Lkn kwa kuwa sio muislamu basi tu. Lkn Lowasa angalikuwa muislamu naamini familia ingalikuwa ishapewa nasaha kuhusu mapicha hayo.Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba Martin Maranja Masese, amekuwa Mtanzania wa kwanza kutembelea Kaburi la Edward Lowassa huko kijijini Ngarashi, Wilayani Monduli.
Bwana Masese amekutana na Familia ya Lowassa na kuteta nayo Mambo kadhaa, ikumbukwe kwamba Maranja Masese ni miongoni mwa Team Maalum ya Chadema, iliyoambatana na Lowassa kila Mahali kwenye kampeni za Urais za 2015.
View attachment 2909275View attachment 2909276
Sidhani kama huwa unajaribu kutumia akili.Hata hivyo nina mashaka kama kweli akili yenyewe unayo.Eti Mtanzania wa kwanza kutembelea kaburi la Lowassa. Ndiyo maana mnaitwa manyumbu hivi hivi kwa ujinga wenu.
Waombolezaji,watoto wake,mke,nduguze,nk wote hao hawajalitembelea kaburi hadi huyo Masese awe namba one?