Ivan Stepanov
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 6,799
- 22,209
Nchi ina entertain sana cheap stuffs, ndio mana issue nzito kama umeme, sukari, dollar nazo tunaziona wala sio ishu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiambiwa uandamane kupinga mgao wa umeme na ukosefu wa sukari, utaandamana!!??Nchi ina entertain sana cheap stuffs, ndio mana issue nzito kama umeme, sukari, dollar nazo tunaziona wala sio ishu
Kwa akili zako wewe zilivyo unafikiri kuandamana ndio kutaleta suluhisho la haya?Ukiambiwa uandamane kupinga mgao wa umeme na ukosefu wa sukari, utaandamana!!??
Si sukari wala umeme ambayo ni mambo mazito , hata Somalia haina hizo shidaNchi ina entertain sana cheap stuffs, ndio mana issue nzito kama umeme, sukari, dollar nazo tunaziona wala sio ishu
Uko sahihi kamanda, but hatuko somalia kumbuka!Si sukari wala umeme ambayo ni mambo mazito , hata Somalia haina hizo shida
Yn ukimuweka Lucas mwashambwa na Erythrocyte wote wanakaa kwenye sahani moja, hawa wote ni chawa kwenye vyama vyao na uandishi wao wote unafanana.Wewe nae naona unashindana na Lucas sasa, Mtanzania wa kwanza?
Martin amefanya vyema, familia ya Lowassa inastahili faraja kwa jinsi baba yao alivyoyagusa maisha ya wengi.
Sema ulikosea kuvaa hicho kisuruali ungevaa khanga. But all in all huwa unapendeza sana.tupate jibu kutoka kwa Chizi Maarifa 😀
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Walitimuliwa na Baba yake
Yaan wako [emoji91][emoji91]Watoto wa Lowassa ni [emoji91]
Mpiga spana mkuu wa Twitter 😅Ila Chadema bhana 😂 ety mtanzania wa kwanza 😂 haya em tuambie n nani nchi hii
Eh bc mengi yananipitaMpiga spana mkuu wa Twitter 😅
Nenda kajipendekeze kwenye account yake mkuu 😄 ni unakula spana za uhakikaEh bc mengi yananipita
Kama n hvy bc hawezi kuwa na akili timamuNenda kajipendekeze kwenye account yake mkuu 😄 ni unakula spana za uhakika
Ili kujua utimamu wake nenda kachokoze! Pale siyo jf ni anakupiga spana with facts mpaka unakimbiaKama n hvy bc hawezi kuwa na akili timamu
Lema ni Nabii wa MunguKwahiyo tumwingize kwenye kitabu cha historia? Huu ni mwendelezo wa vituko vya chadema baada ya kumtangaza lema eti ni nabii.