Kifurukutu
JF-Expert Member
- Aug 29, 2013
- 4,641
- 6,694
maranja ndio nani tenaTaarifa ikufikie popote ulipo kwamba Martin Maranja Masese , amekuwa Mtanzania wa kwanza kutembelea Kaburi la Edward Lowassa huko kijijini Ngarashi , Wilayani Monduli .
Bwana Masese amekutana na Familia ya Lowassa na kuteta nayo Mambo kadhaa , ikumbukwe kwamba Maranja Masese ni miongoni mwa Team Maalum ya Chadema , iliyoambatana na Lowassa kila Mahali kwenye kampeni za Urais za 2015
View attachment 2909275View attachment 2909276
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba Martin Maranja Masese, amekuwa Mtanzania wa kwanza kutembelea Kaburi la Edward Lowassa huko kijijini Ngarashi , Wilayani Monduli .
Bwana Masese amekutana na Familia ya Lowassa na kuteta nayo Mambo kadhaa , ikumbukwe kwamba Maranja Masese ni miongoni mwa Team Maalum ya Chadema , iliyoambatana na Lowassa kila Mahali kwenye kampeni za Urais za 201
Zile tents na red carpet zilibadilisha sana madhari huwezi kuamini kama ndio hapo tulikuwa juzi tukitoa salam za mwisho kwa Mwamba wa kasikaziniTaarifa ikufikie popote ulipo kwamba Martin Maranja Masese, amekuwa Mtanzania wa kwanza kutembelea Kaburi la Edward Lowassa huko kijijini Ngarashi, Wilayani Monduli.
Bwana Masese amekutana na Familia ya Lowassa na kuteta nayo Mambo kadhaa, ikumbukwe kwamba Maranja Masese ni miongoni mwa Team Maalum ya Chadema, iliyoambatana na Lowassa kila Mahali kwenye kampeni za Urais za 2015.
View attachment 2909275View attachment 2909276
sasa tukujibu au tuache ili tusijaze servermaranja ndio nani tena
anajishughulisha na nini?
isijekuwa unajaza saver Jf
Hawana tofauti. Kimsingi, jamaa ni chawa kama alivyo lucas, baba levo au mwijaku, wanatofautiana tu taasisi au watu wanaowaabudu.Wewe nae naona unashindana na Lucas sasa, Mtanzania wa kwanza?
Ni mtu wa mtu huyo, achana naye 😄Na huyo binti kwenye picha ni nani! Ni Kamanda?
Anajiita tajiri wa chadema...😅Hawana tofauti. Kimsingi, jamaa ni chawa kama alivyo lucas, baba levo au mwijaku, wanatofautiana tu taasisi au watu wanaowaabudu.
Mwenye picha ya JK akiwa na familia ya lowasa msibani tafadhari iwekwe hapa kwa afya ya akili.Akina Sugu watakuja Wakati wa maandamano ya Arusha
Rip Edward Lowasa
Walitimuliwa na Baba yakeRidhiwan hakwenda msibani. Sijui naye ataenda kutembelea kaburi la Lowasa na akutane na familia pia?
Usimlinganishe na Lucas kubwa jinga.Wewe nae naona unashindana na Lucas sasa, Mtanzania wa kwanza?
Martin amefanya vyema, familia ya Lowassa inastahili faraja kwa jinsi baba yao alivyoyagusa maisha ya wengi.
Nyie wanyonge lini mtaenda kulitembelea kaburi la lowasaEti Mtanzania wa kwanza kutembelea kaburi la Lowassa. Ndiyo maana mnaitwa manyumbu hivi hivi kwa ujinga wenu.
Waombolezaji,watoto wake,mke,nduguze,nk wote hao hawajalitembelea kaburi hadi huyo Masese awe namba one?
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba Martin Maranja Masese, amekuwa Mtanzania wa kwanza kutembelea Kaburi la Edward Lowassa huko kijijini Ngarashi, Wilayani Monduli.
Bwana Masese amekutana na Familia ya Lowassa na kuteta nayo Mambo kadhaa, ikumbukwe kwamba Maranja Masese ni miongoni mwa Team Maalum ya Chadema, iliyoambatana na Lowassa kila Mahali kwenye kampeni za Urais za 2015.
View attachment 2909275View attachment 2909276
Punguza stress mkuu. Hilo limekuuma nini? Nenda na wewe uwe wa pili.Eti Mtanzania wa kwanza kutembelea kaburi la Lowassa. Ndiyo maana mnaitwa manyumbu hivi hivi kwa ujinga wenu.
Waombolezaji,watoto wake,mke,nduguze,nk wote hao hawajalitembelea kaburi hadi huyo Masese awe namba one?
JK alienda kuzika siyo kupiga pichaMwenye picha ya JK akiwa na familia ya lowasa msibani tafadhari iwekwe hapa kwa afya ya akili.
Kwamba mimi sasa naweza kuwa Chawa wa Maranja Masese siyo? Kwamba kwa Taarifa hii nimelipwa na Maranja Masese ambaye hagombei hata ubunge ili nimpaishe au unataka kumaanisha nini , kwamba hatukutakiwa kuandika kuhusu habari hizi au ulitakaje ?Tofauti yako na mwasamba ni vyama mnavyoshabikia tu ila nyie watu wawili mnaupa mkoa wa mbeya sifa mbaya. Mnasifia hadi mnapitiliza.
ni wa wapiTaarifa ikufikie popote ulipo kwamba Martin Maranja Masese, amekuwa Mtanzania wa kwanza kutembelea Kaburi la Edward Lowassa huko kijijini Ngarashi, Wilayani Monduli.
Bwana Masese amekutana na Familia ya Lowassa na kuteta nayo Mambo kadhaa, ikumbukwe kwamba Maranja Masese ni miongoni mwa Team Maalum ya Chadema, iliyoambatana na Lowassa kila Mahali kwenye kampeni za Urais za 2015.
View attachment 2909275View attachment 2909276