Mbaga Jr JF-Expert Member Joined May 28, 2018 Posts 29,028 Reaction score 69,666 Feb 26, 2024 #81 startergear said: Ili kujua utimamu wake nenda kachokoze! Pale siyo jf ni anakupiga spana with facts mpaka unakimbia Click to expand... Tatizo lenu ni mnawatukuza watu mpaka wanajiona miungu ndio tatizo lenu, ety anakupiga spana with facts 😂 Wabongo bhana
startergear said: Ili kujua utimamu wake nenda kachokoze! Pale siyo jf ni anakupiga spana with facts mpaka unakimbia Click to expand... Tatizo lenu ni mnawatukuza watu mpaka wanajiona miungu ndio tatizo lenu, ety anakupiga spana with facts 😂 Wabongo bhana
Goldnessa JF-Expert Member Joined Apr 30, 2021 Posts 373 Reaction score 1,037 Feb 26, 2024 #82 Kijana ana mdomo mchafu huyu kama shimo la choo.Hana adabu kwa wakubwa zake,ipo siku atawacharua maboss zake wa chadema.We ngoja waendelee kumchekea.
Kijana ana mdomo mchafu huyu kama shimo la choo.Hana adabu kwa wakubwa zake,ipo siku atawacharua maboss zake wa chadema.We ngoja waendelee kumchekea.
Erythrocyte JF-Expert Member Joined Nov 6, 2012 Posts 128,308 Reaction score 245,426 Feb 26, 2024 Thread starter #83 Goldnessa said: Kijana ana mdomo mchafu huyu kama shimo la choo.Hana adabu kwa wakubwa zake,ipo siku atawacharua maboss zake wa chadema.We ngoja waendelee kumchekea. Click to expand... Huyu hana unafiki , ukileta ujinga unakula spana
Goldnessa said: Kijana ana mdomo mchafu huyu kama shimo la choo.Hana adabu kwa wakubwa zake,ipo siku atawacharua maboss zake wa chadema.We ngoja waendelee kumchekea. Click to expand... Huyu hana unafiki , ukileta ujinga unakula spana
Mbaga Jr JF-Expert Member Joined May 28, 2018 Posts 29,028 Reaction score 69,666 Feb 27, 2024 #84 Erythrocyte said: Huyu hana unafiki , ukileta ujinga unakula spana Click to expand... Chadema nyie wote ni wapumbavu, tofautisha kula spana na kumfanya mtu ajione mungu. Mnachofanya nyie n kumtukuza huyo mpumbavu mwenzenu
Erythrocyte said: Huyu hana unafiki , ukileta ujinga unakula spana Click to expand... Chadema nyie wote ni wapumbavu, tofautisha kula spana na kumfanya mtu ajione mungu. Mnachofanya nyie n kumtukuza huyo mpumbavu mwenzenu
Antennah JF-Expert Member Joined Oct 14, 2015 Posts 6,754 Reaction score 8,750 Feb 27, 2024 #85 Mwenyewe anajiita BRIGEDIA,,,, anakula sana vichwa kule mjini X
Kadhi Mkuu 1 JF-Expert Member Joined Feb 4, 2015 Posts 19,687 Reaction score 23,689 Feb 27, 2024 #86 Tate Mkuu said: Na huyo binti kwenye picha ni nani! Ni Kamanda? Click to expand... Fisi hawezi jificha.
Tate Mkuu said: Na huyo binti kwenye picha ni nani! Ni Kamanda? Click to expand... Fisi hawezi jificha.