Marasta Arusha kuvuliwa ubingwa na Wazungu watalii

Duh Sakramenti ya Bangi..nimekuelewa umeelezea sio Kila mwenye Rasta anaamini Urasta
 
Hii ni fedheha kubwa kwa vijana Marasta wa Arusha kuutweza utu wao kwa ujira kiduchu wa Dola toka kwa watalii. Inakuaje kijana unajidhalilisha kisa pesa/pombe?
NB: kazi (Halali) kipimo cha utu
Ushakula kitu ya unga Ltd halafu umekuja nduki kutoa post kabla haujapoa.

Hebu pangilia post yako
 
Sijaelewa sana lakini nafikiri hapo ni msibani na hao ni mabodaboda na aliyefariki ni boda aliyefariki kwa ajali
Huyo dogo wa mwisho anasema bike ndiyo zinatukili pikipiki wanaita bike lakini hamna namna kazi hakuna


Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…