Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakubali chaguo langu kaangukia pua.Ikulu ya Kenya Odinga ataisikia tu.
Umemsahau kikwetemtazamo wangu utakuwa na uharisia namuhitaji kenyata ndio chaguo la mungu mungu huchagua vijana watumike.sipendi viongozi wazee.mf.mugabe.satta,slaa,odinga,belskon.shein.museven.odinga
Kwani ikulu wanaenda kukwapua na kutoka spidi...hawaendi kuiba simu mkuu.Ujana wewe ndiyo unaokufaa kwa hiyo shughuli yako
akishinda Uhuru, kwa maoni yangu, nahisi Wakenya hawatakua wamechagua vizuri...
mtazamo wangu utakuwa na uharisia namuhitaji kenyata ndio chaguo la mungu mungu huchagua vijana watumike.sipendi viongozi wazee.mf.mugabe.satta,slaa,odinga,belskon.shein.museven.odinga
Nakubali chaguo langu kaangukia pua.Ikulu ya Kenya Odinga ataisikia tu.
Hahaaa jiwe gizaniiiiiii.
akishinda Uhuru, kwa maoni yangu, nahisi Wakenya hawatakua wamechagua vizuri...
Kwa nini unasema watakuwa hawachagua vizuri wakati wao ndo walikuwa wanamsikiliza kwenye mikutano ya kampeni?akishinda Uhuru, kwa maoni yangu, nahisi Wakenya hawatakua wamechagua vizuri...
Usiitelekeze ile ID ya TUNTEMEKE kiasi hicho....Maliza shule urudi Kibaha kaka.Achana na hii miradi ya simu.Pole