PAGAN
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 12,181
- 20,148
Huyo Sugu ametia aibu mbunge mzima kuiba wimbo wa kijana mdogo.
Utetezi wanaotoa hauna ata mashiko.
Kama mashahiri yamemwishia kwani lazima aendelee kuimba.
We nae umedandia treni tu na kuanza kumshambulia Sugu hata story hujaielewa. Sasa mashairi gani unayosema wewe?