Marefa wanawalea sana Khalid Aucho na Mudathiri yahya mechi ya leo haki itendeke!

Marefa wanawalea sana Khalid Aucho na Mudathiri yahya mechi ya leo haki itendeke!

Tunashudia kila mechi khalidi aucha na Mudathiri huingia kwa lengo la kucheza rafu kupiga mateke wachezaji wa timu pinzani marefa huishia kuwapa onyo la mdomo na mwisho hutoa kadi ya manjano baada ya hapo huwaacha wakiendeleza uhuni wao uwanjani badala ya kupiga soka,
Naiona tabia hiyo ikizidi kuota mizizi bila kuchukuliwa hatua,niwaeleze marefa mechi ya leo hatutaki kuona huo upuuzi ikibidi kadi nyekundu zihusike kama ilivyo sheria kwa timu nyingine na hatujawahi ona penati dhidi ya yanga japo wanashika mipira na kucheza rafu ndani ya box yao leo vyote sheria ifuate mkondo!
Tunataka soka sio vioja na mechi za mipango!
Kweli kabisa, Khalid Aucho ndio Anaongoza Kwa kucheza Rafu kwenye Ligi yetu, lakini kitu Cha Ajabu Marefari wa Kitanzania Wanamfumbia Macho, Wanashindwa kuchukua Action, Sasa Sijuhi Ndio GSM Wanawaogopa? Umeona Juzi kocha wa YANGA Gamondi kampiga kocha Msaidizi wa Singida, TFF Wako kimiya tu, Akuna kocha Ambaye mtovu wa Nidhamu kama Gamondi, Ovyoo Sana huyu kocha
 
Tunashudia kila mechi khalidi aucha na Mudathiri huingia kwa lengo la kucheza rafu kupiga mateke wachezaji wa timu pinzani marefa huishia kuwapa onyo la mdomo na mwisho hutoa kadi ya manjano baada ya hapo huwaacha wakiendeleza uhuni wao uwanjani badala ya kupiga soka,
Naiona tabia hiyo ikizidi kuota mizizi bila kuchukuliwa hatua,niwaeleze marefa mechi ya leo hatutaki kuona huo upuuzi ikibidi kadi nyekundu zihusike kama ilivyo sheria kwa timu nyingine na hatujawahi ona penati dhidi ya yanga japo wanashika mipira na kucheza rafu ndani ya box yao leo vyote sheria ifuate mkondo!
Tunataka soka sio vioja na mechi za mipango!
Wazo zuri lakini marefa leo akili yao inafikiria namna ya kuchezesha mchezo sidhani kama huu ujumbe wako kama watausoma leo, labda wahusika wa TFF
 
Kweli kabisa, Khalid Aucho ndio Anaongoza Kwa kucheza Rafu kwenye Ligi yetu, lakini kitu Cha Ajabu Marefari wa Kitanzania Wanamfumbia Macho, Wanashindwa kuchukua Action, Sasa Sijuhi Ndio GSM Wanawaogopa? Umeona Juzi kocha wa YANGA Gamondi kampiga kocha Msaidizi wa Singida, TFF Wako kimiya tu, Akuna kocha Ambaye mtovu wa Nidhamu kama Gamondi, Ovyoo Sana huyu kocha
Unaufuatilia mpira wa bongo vizuri sana kuliko hata mimi wala tff umeviona hivyo vitendo kumbe hatari sana kwa afya ya soka la bongo!
 
Tunashudia kila mechi khalidi aucha na Mudathiri huingia kwa lengo la kucheza rafu kupiga mateke wachezaji wa timu pinzani marefa huishia kuwapa onyo la mdomo na mwisho hutoa kadi ya manjano baada ya hapo huwaacha wakiendeleza uhuni wao uwanjani badala ya kupiga soka,
Naiona tabia hiyo ikizidi kuota mizizi bila kuchukuliwa hatua,niwaeleze marefa mechi ya leo hatutaki kuona huo upuuzi ikibidi kadi nyekundu zihusike kama ilivyo sheria kwa timu nyingine na hatujawahi ona penati dhidi ya yanga japo wanashika mipira na kucheza rafu ndani ya box yao leo vyote sheria ifuate mkondo!
Tunataka soka sio vioja na mechi za mipango!
haki itendeke kabla ya game haijachezwa???
 
Tunashudia kila mechi khalidi aucha na Mudathiri huingia kwa lengo la kucheza rafu kupiga mateke wachezaji wa timu pinzani marefa huishia kuwapa onyo la mdomo na mwisho hutoa kadi ya manjano baada ya hapo huwaacha wakiendeleza uhuni wao uwanjani badala ya kupiga soka,
Naiona tabia hiyo ikizidi kuota mizizi bila kuchukuliwa hatua,niwaeleze marefa mechi ya leo hatutaki kuona huo upuuzi ikibidi kadi nyekundu zihusike kama ilivyo sheria kwa timu nyingine na hatujawahi ona penati dhidi ya yanga japo wanashika mipira na kucheza rafu ndani ya box yao leo vyote sheria ifuate mkondo!
Tunataka soka sio vioja na mechi za mipango!
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
24. Visingizio SC (Visababu)
JamiiForums-1769471325.jpeg
 
Kweli kabisa, Khalid Aucho ndio Anaongoza Kwa kucheza Rafu kwenye Ligi yetu, lakini kitu Cha Ajabu Marefari wa Kitanzania Wanamfumbia Macho, Wanashindwa kuchukua Action, Sasa Sijuhi Ndio GSM Wanawaogopa? Umeona Juzi kocha wa YANGA Gamondi kampiga kocha Msaidizi wa Singida, TFF Wako kimiya tu, Akuna kocha Ambaye mtovu wa Nidhamu kama Gamondi, Ovyoo Sana huyu kocha
Bado baka anapiga wenzake ngumi, TFF wapo kimya
 
ku
Kweli kabisa, Khalid Aucho ndio Anaongoza Kwa kucheza Rafu kwenye Ligi yetu, lakini kitu Cha Ajabu Marefari wa Kitanzania Wanamfumbia Macho, Wanashindwa kuchukua Action, Sasa Sijuhi Ndio GSM Wanawaogopa? Umeona Juzi kocha wa YANGA Gamondi kampiga kocha Msaidizi wa Singida, TFF Wako kimiya tu, Akuna kocha Ambaye mtovu wa Nidhamu kama Gamondi, Ovyoo Sana huyu kocha
Kuna kocha alimpiga mtu ngumi alifungiwa mwaka mzima
 
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
24. Visingizio SC (Visababu) View attachment 3141406
Haya!
 
Tunashudia kila mechi khalidi aucha na Mudathiri huingia kwa lengo la kucheza rafu kupiga mateke wachezaji wa timu pinzani marefa huishia kuwapa onyo la mdomo na mwisho hutoa kadi ya manjano baada ya hapo huwaacha wakiendeleza uhuni wao uwanjani badala ya kupiga soka,
Naiona tabia hiyo ikizidi kuota mizizi bila kuchukuliwa hatua,niwaeleze marefa mechi ya leo hatutaki kuona huo upuuzi ikibidi kadi nyekundu zihusike kama ilivyo sheria kwa timu nyingine na hatujawahi ona penati dhidi ya yanga japo wanashika mipira na kucheza rafu ndani ya box yao leo vyote sheria ifuate mkondo!
Tunataka soka sio vioja na mechi za mipango!
Ukiwa na hasira na yanga mpaka utaharisha yanga hii mbele kwa mbele
 
Tunashudia kila mechi khalidi aucha na Mudathiri huingia kwa lengo la kucheza rafu kupiga mateke wachezaji wa timu pinzani marefa huishia kuwapa onyo la mdomo na mwisho hutoa kadi ya manjano baada ya hapo huwaacha wakiendeleza uhuni wao uwanjani badala ya kupiga soka,
Naiona tabia hiyo ikizidi kuota mizizi bila kuchukuliwa hatua,niwaeleze marefa mechi ya leo hatutaki kuona huo upuuzi ikibidi kadi nyekundu zihusike kama ilivyo sheria kwa timu nyingine na hatujawahi ona penati dhidi ya yanga japo wanashika mipira na kucheza rafu ndani ya box yao leo vyote sheria ifuate mkondo!
Tunataka soka sio vioja na mechi za mipango!
Ulisema kweli..wamekoswa kapatwa ndugu yao
 
Tunashudia kila mechi khalidi aucha na Mudathiri huingia kwa lengo la kucheza rafu kupiga mateke wachezaji wa timu pinzani marefa huishia kuwapa onyo la mdomo na mwisho hutoa kadi ya manjano baada ya hapo huwaacha wakiendeleza uhuni wao uwanjani badala ya kupiga soka,
Naiona tabia hiyo ikizidi kuota mizizi bila kuchukuliwa hatua,niwaeleze marefa mechi ya leo hatutaki kuona huo upuuzi ikibidi kadi nyekundu zihusike kama ilivyo sheria kwa timu nyingine na hatujawahi ona penati dhidi ya yanga japo wanashika mipira na kucheza rafu ndani ya box yao leo vyote sheria ifuate mkondo!
Tunataka soka sio vioja na mechi za mipango!
Ulisema kweli..wamekoswa kapatwa ndugu yao
 
Back
Top Bottom