kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
- Thread starter
- #21
Kuna kusudi na bahati mbaya!Hukumbuki Azam ilivowavunja Pacome, You, na Aucho , ikapelekea timu kuwakosa mafundi hao kwenye michezo ya robo fainali club bingwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna kusudi na bahati mbaya!Hukumbuki Azam ilivowavunja Pacome, You, na Aucho , ikapelekea timu kuwakosa mafundi hao kwenye michezo ya robo fainali club bingwa.
Kweli kabisa, Khalid Aucho ndio Anaongoza Kwa kucheza Rafu kwenye Ligi yetu, lakini kitu Cha Ajabu Marefari wa Kitanzania Wanamfumbia Macho, Wanashindwa kuchukua Action, Sasa Sijuhi Ndio GSM Wanawaogopa? Umeona Juzi kocha wa YANGA Gamondi kampiga kocha Msaidizi wa Singida, TFF Wako kimiya tu, Akuna kocha Ambaye mtovu wa Nidhamu kama Gamondi, Ovyoo Sana huyu kochaTunashudia kila mechi khalidi aucha na Mudathiri huingia kwa lengo la kucheza rafu kupiga mateke wachezaji wa timu pinzani marefa huishia kuwapa onyo la mdomo na mwisho hutoa kadi ya manjano baada ya hapo huwaacha wakiendeleza uhuni wao uwanjani badala ya kupiga soka,
Naiona tabia hiyo ikizidi kuota mizizi bila kuchukuliwa hatua,niwaeleze marefa mechi ya leo hatutaki kuona huo upuuzi ikibidi kadi nyekundu zihusike kama ilivyo sheria kwa timu nyingine na hatujawahi ona penati dhidi ya yanga japo wanashika mipira na kucheza rafu ndani ya box yao leo vyote sheria ifuate mkondo!
Tunataka soka sio vioja na mechi za mipango!
Wazo zuri lakini marefa leo akili yao inafikiria namna ya kuchezesha mchezo sidhani kama huu ujumbe wako kama watausoma leo, labda wahusika wa TFFTunashudia kila mechi khalidi aucha na Mudathiri huingia kwa lengo la kucheza rafu kupiga mateke wachezaji wa timu pinzani marefa huishia kuwapa onyo la mdomo na mwisho hutoa kadi ya manjano baada ya hapo huwaacha wakiendeleza uhuni wao uwanjani badala ya kupiga soka,
Naiona tabia hiyo ikizidi kuota mizizi bila kuchukuliwa hatua,niwaeleze marefa mechi ya leo hatutaki kuona huo upuuzi ikibidi kadi nyekundu zihusike kama ilivyo sheria kwa timu nyingine na hatujawahi ona penati dhidi ya yanga japo wanashika mipira na kucheza rafu ndani ya box yao leo vyote sheria ifuate mkondo!
Tunataka soka sio vioja na mechi za mipango!
Huu unabaki hapa hata baada ya leo watusoma tu!Wazo zuri lakini marefa leo akili yao inafikiria namna ya kuchezesha mchezo sidhani kama huu ujumbe wako kama watausoma leo, labda wahusika wa TFF
Unaufuatilia mpira wa bongo vizuri sana kuliko hata mimi wala tff umeviona hivyo vitendo kumbe hatari sana kwa afya ya soka la bongo!Kweli kabisa, Khalid Aucho ndio Anaongoza Kwa kucheza Rafu kwenye Ligi yetu, lakini kitu Cha Ajabu Marefari wa Kitanzania Wanamfumbia Macho, Wanashindwa kuchukua Action, Sasa Sijuhi Ndio GSM Wanawaogopa? Umeona Juzi kocha wa YANGA Gamondi kampiga kocha Msaidizi wa Singida, TFF Wako kimiya tu, Akuna kocha Ambaye mtovu wa Nidhamu kama Gamondi, Ovyoo Sana huyu kocha
Hapa akitokea mdau mkabishana kidogo tu utamtaja GSM.Yanga in general wanabebwa,Jana simba ananyimwa tuta ila ingekua yanga 100% mwamuzi angeweka kati.
Muda wake utakuwa umekwisha labda kwa matumizi ya baadaeHuu unabaki hapa hata baada ya leo watusoma tu!
Mechi zinaendelea!Muda wake utakuwa umekwisha labda kwa matumizi ya baadae
haki itendeke kabla ya game haijachezwa???Tunashudia kila mechi khalidi aucha na Mudathiri huingia kwa lengo la kucheza rafu kupiga mateke wachezaji wa timu pinzani marefa huishia kuwapa onyo la mdomo na mwisho hutoa kadi ya manjano baada ya hapo huwaacha wakiendeleza uhuni wao uwanjani badala ya kupiga soka,
Naiona tabia hiyo ikizidi kuota mizizi bila kuchukuliwa hatua,niwaeleze marefa mechi ya leo hatutaki kuona huo upuuzi ikibidi kadi nyekundu zihusike kama ilivyo sheria kwa timu nyingine na hatujawahi ona penati dhidi ya yanga japo wanashika mipira na kucheza rafu ndani ya box yao leo vyote sheria ifuate mkondo!
Tunataka soka sio vioja na mechi za mipango!
Kukumbushwa!haki itendeke kabla ya game haijachezwa???
Sisi ndiyo Simba SC AKA;Tunashudia kila mechi khalidi aucha na Mudathiri huingia kwa lengo la kucheza rafu kupiga mateke wachezaji wa timu pinzani marefa huishia kuwapa onyo la mdomo na mwisho hutoa kadi ya manjano baada ya hapo huwaacha wakiendeleza uhuni wao uwanjani badala ya kupiga soka,
Naiona tabia hiyo ikizidi kuota mizizi bila kuchukuliwa hatua,niwaeleze marefa mechi ya leo hatutaki kuona huo upuuzi ikibidi kadi nyekundu zihusike kama ilivyo sheria kwa timu nyingine na hatujawahi ona penati dhidi ya yanga japo wanashika mipira na kucheza rafu ndani ya box yao leo vyote sheria ifuate mkondo!
Tunataka soka sio vioja na mechi za mipango!
Bado baka anapiga wenzake ngumi, TFF wapo kimyaKweli kabisa, Khalid Aucho ndio Anaongoza Kwa kucheza Rafu kwenye Ligi yetu, lakini kitu Cha Ajabu Marefari wa Kitanzania Wanamfumbia Macho, Wanashindwa kuchukua Action, Sasa Sijuhi Ndio GSM Wanawaogopa? Umeona Juzi kocha wa YANGA Gamondi kampiga kocha Msaidizi wa Singida, TFF Wako kimiya tu, Akuna kocha Ambaye mtovu wa Nidhamu kama Gamondi, Ovyoo Sana huyu kocha
Kuna kocha alimpiga mtu ngumi alifungiwa mwaka mzimaKweli kabisa, Khalid Aucho ndio Anaongoza Kwa kucheza Rafu kwenye Ligi yetu, lakini kitu Cha Ajabu Marefari wa Kitanzania Wanamfumbia Macho, Wanashindwa kuchukua Action, Sasa Sijuhi Ndio GSM Wanawaogopa? Umeona Juzi kocha wa YANGA Gamondi kampiga kocha Msaidizi wa Singida, TFF Wako kimiya tu, Akuna kocha Ambaye mtovu wa Nidhamu kama Gamondi, Ovyoo Sana huyu kocha
Haya!Sisi ndiyo Simba SC AKA;
1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
24. Visingizio SC (Visababu) View attachment 3141406
Ukiwa na hasira na yanga mpaka utaharisha yanga hii mbele kwa mbeleTunashudia kila mechi khalidi aucha na Mudathiri huingia kwa lengo la kucheza rafu kupiga mateke wachezaji wa timu pinzani marefa huishia kuwapa onyo la mdomo na mwisho hutoa kadi ya manjano baada ya hapo huwaacha wakiendeleza uhuni wao uwanjani badala ya kupiga soka,
Naiona tabia hiyo ikizidi kuota mizizi bila kuchukuliwa hatua,niwaeleze marefa mechi ya leo hatutaki kuona huo upuuzi ikibidi kadi nyekundu zihusike kama ilivyo sheria kwa timu nyingine na hatujawahi ona penati dhidi ya yanga japo wanashika mipira na kucheza rafu ndani ya box yao leo vyote sheria ifuate mkondo!
Tunataka soka sio vioja na mechi za mipango!
Vizuri....!Ukiwa na hasira na yanga mpaka utaharisha yanga hii mbele kwa mbele
Ulisema kweli..wamekoswa kapatwa ndugu yaoTunashudia kila mechi khalidi aucha na Mudathiri huingia kwa lengo la kucheza rafu kupiga mateke wachezaji wa timu pinzani marefa huishia kuwapa onyo la mdomo na mwisho hutoa kadi ya manjano baada ya hapo huwaacha wakiendeleza uhuni wao uwanjani badala ya kupiga soka,
Naiona tabia hiyo ikizidi kuota mizizi bila kuchukuliwa hatua,niwaeleze marefa mechi ya leo hatutaki kuona huo upuuzi ikibidi kadi nyekundu zihusike kama ilivyo sheria kwa timu nyingine na hatujawahi ona penati dhidi ya yanga japo wanashika mipira na kucheza rafu ndani ya box yao leo vyote sheria ifuate mkondo!
Tunataka soka sio vioja na mechi za mipango!
Ulisema kweli..wamekoswa kapatwa ndugu yaoTunashudia kila mechi khalidi aucha na Mudathiri huingia kwa lengo la kucheza rafu kupiga mateke wachezaji wa timu pinzani marefa huishia kuwapa onyo la mdomo na mwisho hutoa kadi ya manjano baada ya hapo huwaacha wakiendeleza uhuni wao uwanjani badala ya kupiga soka,
Naiona tabia hiyo ikizidi kuota mizizi bila kuchukuliwa hatua,niwaeleze marefa mechi ya leo hatutaki kuona huo upuuzi ikibidi kadi nyekundu zihusike kama ilivyo sheria kwa timu nyingine na hatujawahi ona penati dhidi ya yanga japo wanashika mipira na kucheza rafu ndani ya box yao leo vyote sheria ifuate mkondo!
Tunataka soka sio vioja na mechi za mipango!
Nafikiri umeamini!Ulisema kweli..wamekoswa kapatwa ndugu yao